Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

Watu weupe waliingia Misri baada ya mavita yao wenyewe kwa wenyewe. ...kwa kweli mzungu amevuruga historia lakini tunashukuru kwa yote kwani MAULANA MOLA WETU RHABUKA NI MWAMINIFU SANA. ...tuna HEKIMA NA UFAHAMU NA BUSARA
 
Who is the Queen of Sheba? In the Bible we are introduced to an unnamed queen from the land of Sheba who travels to Jerusalem to meet King Solomon (see 1 Kings 10; 2 Chronicles 9). Accompanied by many attendants and camels, the Queen of Sheba brings a large quantity of spices, gold and precious stones with her. She is drawn to Jerusalem because of Solomon’s fame, and she tests the king with hard questions. Solomon is able to answer them all.
Impressed by Solomon’s wisdom —and by the riches of his kingdom—she proclaims, “Your wisdom and prosperity far surpass the report that I had heard” (1 Kings 10:7). The Queen of Sheba gives King Solomon 120 talents of gold, precious stones and the largest quantity of spices ever brought to Jerusalem (1 Kings 10:10). In return King Solomon gives the Queen of Sheba gifts and “every desire that she expressed” (1 Kings 10:13). After receiving these gifts, the queen returns to the land of Sheba with her retinue.
The Biblical account of the Queen of Sheba and King Solomon ends there, but later Jewish, Christian and Islamic sources have elaborated the story—adding details to the famous queen’s visit. In his article “Where Is the Land of Sheba—Arabia or Africa?” published in the September/October 2016 issue of Biblical Archaeology Review, Bar Kribus investigates the location of the land of Sheba and looks at the figure of the Queen of Sheba—both in the Bible and in a text called the Kebra Nagast .

Dated between the 6th–14th centuries C.E., the Kebra Nagast ( The Glory of Kings) is an important text to the Ethiopian Orthodox Church. It names the Queen of Sheba as the beautiful queen Makeda and identifies the land of Sheba as ancient Ethiopia. Kribus thoroughly examines the latter claim in his article “Where Is the Land of Sheba—Arabia or Africa?”
According to the Kebra Nagast , Queen Makeda travels to Jerusalem and has a love affair with King Solomon . Makeda then returns to the land of Sheba—giving birth to a son, Menelik, along the way. Menelik is raised in Ethiopia, but when he turns 22, he travels to Jerusalem to meet his father. King Solomon is delighted with his firstborn son and tries in vain to convince Menelik to remain in Israel and succeed him as king. However, Menelik chooses to return to the land of Sheba. Solomon sends the firstborn sons of Israel’s elders with his son from Israel to Ethiopia, and the Ark of the Covenant travels with them. To this day, many Ethiopians believe that the Ark of the Covenant resides within the Chapel of the Tablet next to the Church of Maryam Tsion in Aksum, Ethiopia.
Is this the final resting place of the Ark of the Covenant? Many Ethiopians believe that the Ark of the Covenant resides within the Chapel of the Tablet next to the Church of Maryam Tsion in Aksum, Ethiopia.
Ethiopians claim the Queen of Sheba as part of their heritage, and through her union with King Solomon, Ethiopians also claimed a connection between their kings and the Davidic monarchy of Israel. Bar Kribus explains: “Their [Ethiopian] kings were seen as direct descendants of the House of David, rulers by divine right.”
With 11 rock-hewn churches, Lalibela, Ethiopia, is understandably a place of pilgrimage for those in the Ethiopian
But is the land of Sheba truly ancient Ethiopia, as purported by the Kebra Nagast ? Archaeological and historical sources document a Kingdom of Saba (Sheba) during Biblical times in modern-day Yemen. Those in ancient Ethiopia were fully aware of the Kingdom of Saba in southern Arabia—and sometimes even appropriated aspects of their culture.
The Queen of Sheba and King Solomon: Another depiction of the Queen of Sheba is seen in Giovanni Demin’s 19th-century painting
Solomon and the Queen of Sheba, which shows the meeting of the Queen of Sheba and King Solomon.
Where is the land of Sheba? Is it in Africa or Arabia? Bar Kribus wades through history, archaeology, tradition and legend as he pieces together the story of the Queen of Sheba and investigates the land of Sheba. Who has the rightful claim to the Queen of Sheba?
 
wengi wanajifananisha hawajui historia yake au pengine jina lake pia queen of sheba. alikuwa mzuri lakini si kma cleopatra.

Cleopatra hakuwah kuwa mzuri wa sura hat kidogo , ila alikua na akili nyingi sana ; Spiritually n intellectually na alikua ana ushawishi mkubwa na haiba ya kipekee, mcheshi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cleopatra hakuwah kuwa mzuri wa sura hat kidogo , ila alikua na akili nyingi sana ; Spiritually n intellectually na alikua ana ushawishi mkubwa na haiba ya kipekee, mcheshi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona umeamua kufufua Uzi
 
Nachojiuliza juu ya hii historia ni hiki.

Nabii Suleiman na Malkia huyo walizaa mtoto ni mweusi kabisa na ndiye huyu Menelik wa kwanza. Malkia alikuwa ni wa Yemen na kipindi hiko wanakaa waarabu, maana yake ni mwarabu. Sasa Mwarabu na Mtu mweupe(wengi wanavyoamini Nabii Suleiman ni mweupe) watatoaje mtoto mweusi?
 
MENELIK ALIKUJA NA SANDUKU LA AGANO LILILOKUWA NA AMRI KUMI ZA MUNGU ALIZOTOA KWA WAYAHUDI
hizi amri kumi kwa mujibu wa biblia zilishuka kwa musa alipokuwa jangawani akielekea kanani na musa alikuja baadae sana baada ya selemani ,hadithi za biblia zinajichanganya sana
 
wengi wanajifananisha hawajui historia yake au pengine jina lake pia queen of sheba. alikuwa mzuri lakini si kma cleopatra.
ebu tupe tufauti unayoijua ya uzuri wao kati ya huyo sheba na cleopatra
 
 
ndio musa alikuja baada ya suleiman ,ina maana hujui hilo? kama huji ficha ujinga wako endelea kusoma coments za watu ujifunze.
musa ni wajuzi tu ,baada ya musa ndio akaja yesu
 
ndio musa alikuja baada ya suleiman ,ina maana hujui hilo? kama huji ficha ujinga wako endelea kusoma coments za watu ujifunze.
musa ni wajuzi tu ,baada ya musa ndio akaja yesu
 
hapana ufalme haukuanzia hapo. kama ufalme ulianzia hapo wakati anaenda kumtembelea sulemani alikuwa nani huoni unaondoka kwenye point mkuu
 
1000 ivi na kitu ndio huyu mtoto wa malkia wa sheba alianza ufalme then later ukaitwa solomon dynast (menelik ndio mtoto wa kiume wa huyu malkia) ukomo wa huu ufalme wa solomon uliisha pale haile selesie alipopinduliwa mwaka 1975.
habari ya menelik ni ya juzi sana malkia wa sheba alikuwa mtawala wa ethiopia na sio kwamba huyo mtoto alianzisha ufalme hapana isipokuwa aliukuta na yeye akapata nafasi kuuendeleza. kiufupi huyo mtoto ndo alileta uchafuzi kwenye historia ya ethiopia
 
biblical israelite ni weusi
 
m
ndio musa alikuja baada ya suleiman ,ina maana hujui hilo? kama huji ficha ujinga wako endelea kusoma coments za watu ujifunze.
musa ni wajuzi tu ,baada ya musa ndio akaja yesu
musa ni kabla wewe kweli hujui kitu kama musa alikuja baada ya sulemani nani aliwatoa wana wa israeli misri?
 
m

musa ni kabla wewe kweli hujui kitu kama musa alikuja baada ya sulemani nani aliwatoa wana wa israeli misri?
Duu jamaa wa ajabu huyu yan anamuona mwenzake ndo mjinga kumbe yeye ndo hajui kitu af anabisha kam ukweli vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…