Dah....mkuu umewahi kutumia bandari.....kabla ya JPM.... wakati wa JPM....na baada ya JPM? Au unaandika tu? ,[emoji2960]MATAGA+SUKUMA GANG mna pumzi ya kutosha? Maana naona mnataka kuijaribu sumu kwa kuilamba.
Tena watakaowateka na kuwang'oa kucha na meno bila ganzi ni wasukuma wenzenu.
Acheni hiyo michezo kubalini ukweli kuwa bosi wenu yupo futi sita chini na ameshaoza tayari.
Na bado mtamkumbuka sana JPMZaidi ya Malori zaidi ya 1000 yamekwamaKatika Bandari ya Mjini Dares-Salam Utafikiri wahusika hawapo.
Meneja wa Bandari, Mkurugenzi wa Bandari na Waziri Anayehusika na uchukuzi. Mheshimiwa Rais Mama Samia Hassan Suluhu Wawajibishe hao viongozi watatu .Wanalitia Hasara Taifa kwa kutopata pesa katika Bandari ya Mjini Dares-Salaam .Mambo ya rushwa yamerudi tena Bandarini Mama Rais Fanya kazi yako.
View attachment 1781266
Dah....mtaongea Sana...upuuzi....ujinga...na kila mtakaloweza....Ila walipa Kodi tuna macho....masikio na ubongo. Muda si mrefu mtarudi na rangi nyingine. Kuna watanzania million 60 walionjesha asali...Ukweli ndo huo; vifaa vimekufa vyote...huwezi kupakua meli ya Makontena na Mashine moja; hali ni mbaya ikinyesha mvua ndo balaa...naamini sababu moja ya Mama Samia kumtumbua Kakoko ni hiyo; mshenzi sana yule kazi yake ilikuwa kuiba hela wakajenge vituo vya kuuza mafuta kwao Burundi na Rwanda na kuacha bandari iko hoi; Vifaa havinunuliwi, Wakandarasi hawalipwi, Wafanyakazi hawalipwi...Wizi mtupu pumbavu!
Dah....akikujibu nitag mkuu....Ila liwe jibu la maana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu bado hujajibu swali langu,kama issue ni vifaa vya kupakulia,kwanini wakati wa jpm hakukua na hizo delay? Hilo tatizo limekuja ghafla baada ya jpm kufariki au kuna uzembe tu unatokea?
Dah .... Delays hizo mbona hatukuziona? Au walikuwa wanashushia mikono? imekuwa ghafla Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Delay zilikuwepo ila nani atamfunga paka kengele nikimaanisha nani ana uwezo wa kusema kwa bwana mkubwa vifaa hakuna..
Ivi unajua pale bandarini hawana uwezo wa kuhudumia meli nne za general cargo halafu zote ziwe zimebeba heavy cargo.....yote hii inasababishwa na vyombo duni
Dah....Sasa haya malori mbona hayakuwepo mkuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Matatizo yapo siku zote yalikuwa hayaripotiwi; ndo "faida" za kuminya uhuru wa watu kusema!
Acha upumbavu watu waongea vitu vya maana wewe unaleta u james delicious jinga kabisa.MATAGA+SUKUMA GANG mna pumzi ya kutosha? Maana naona mnataka kuijaribu sumu kwa kuilamba.
Tena watakaowateka na kuwang'oa kucha na meno bila ganzi ni wasukuma wenzenu.
Acheni hiyo michezo kubalini ukweli kuwa bosi wenu yupo futi sita chini na ameshaoza tayari.
Ndiyo Ukweli WenyeweTulieni nyie haya mambo ndio yanaleta mzunguko wa pesa mtaani, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 1781294
Mbona wajinga mpo wengi namna hii!!?? Inamaana mpaka magufuli anafariki na kakoko anaondolewa hapoa bandarini meli zilikuwa zinapakuliwa na matako yako!?Utalaumu Watumishi unafikiri meli inapakuliwa kwa mikono? Mwulizeni Magufuli na Kakoko walioiba fedha zote za Bandari wakaiacha haina hata uwezo wa kununua wala kurepea mashine za kupakua na kupakilia mizigo; mnalaumu msiyoyajua...Samia atamwajibisha mfanyakazi asiyekuwa na vifaa vya kazi, na ambaye kwa miaka mitano amedhulumiwa haki zake?
Toa ufafanuzi uhimara wa taasisi inatakiwa uwaje? Je anayesimamia hiyo taasisi anatakiwa awaje?ndio maana wenzetu wamewekeza kwenye uimara wa taasisi maana wanasiasa wanakuja na kupita ila taasisi zpo palepale cku zote, anyway tumwache mama ajipange afanye kazi
Dah....mnapotea Sana...hamjui hata kinachoongelewa..ama kwa ujinga ama kwa ulevi tu...hoja si kutaka JPM arudi...hoja ni kutaka kujaribu kumsitiri Mama na aibu...Kaka MTU akishakufa amekufa.
tarehe 28 mwezi wa 10 mlipanga yenu.
Na mungu tarehe 17 mwezi wa 3 alipanga yake.
KWANINI HAUTAKI KUKUBALI KUWA ZAMA ZIMEBADILIKA?
Huwezi kuwa na taasisi imara wakati una rasilimali watu yenye mapungufu makubwa kama yetu. Mnalilia taasisi imara kwa watanzania wapi mkuu, hawa wezi, wavivu, wasio wazalendo? Taasisi imara zinaletwa na raia waliokuzwa katika malezi bora.ndio maana wenzetu wamewekeza kwenye uimara wa taasisi maana wanasiasa wanakuja na kupita ila taasisi zpo palepale cku zote, anyway tumwache mama ajipange afanye kazi
Hivyo vifaa vilikufa na Magu? Mbona hapo kabla hii kadhia haikuwepo?Umeongea ukweli mtu
Vifaa vinavyotumika kupakia na kupakua mizigo vingi vimekufa na mbaya zaidi jamaa mpaka ananyofolewa alikua mzito mno kununua mpaka unajiuliza ivi huyu kakoko hajui kama bandari ni vyombo
Dah....mnapotea Sana...hamjui hata kinachoongelewa..ama kwa ujinga ama kwa ulevi tu...hoja si kutaka JPM arudi...hoja ni kutaka kujaribu kumsitiri Mama na aibu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa hata jpk mwenyewe alilazimika kwenda mara kwa mara bandarini na kila mara alikuta mapungufu, , hii ina maana kuwa alipotoka tu watu walikuwa wanaendelea na hamsin zao.ndio maana wenzetu wamewekeza kwenye uimara wa taasisi maana wanasiasa wanakuja na kupita ila taasisi zpo palepale cku zote, anyway tumwache mama ajipange afanye kazi
Hata wakati wa Jpm rushwa bado ililkuwepo , hakujawahi kupungua rushwa bandariniMkuu kwani wakati wa JPM hiyo mizigo ilikua inapakuliwa na nini? Au hizo mashine za kupakua zimekua na tatizo baada ya JPM kufariki?
Si kweli kuwa bandari ya dar haikuwa na delays , infact ndio the slowest port ukanda wa mashariki .Mkuu bado hujajibu swali langu,kama issue ni vifaa vya kupakulia,kwanini wakati wa jpm hakukua na hizo delay? Hilo tatizo limekuja ghafla baada ya jpm kufariki au kuna uzembe tu unatokea?
Nachokiona ni kama umemezeshwa maneno na wewe unaishi nayo hivyo hivyo bila ya kufikiria kwa kina.Matatizo yapo siku zote yalikuwa hayaripotiwi; ndo "faida" za kuminya uhuru wa watu kusema!