Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Acha inyeshe tujue panapovuja


Pray that ikinyesha mvua hiyo, hutosombwa na mafuriko, ili baadaye ujue panapovuja. Sometimes hata jengo lote hukokotwa na maji ya mafuriko. So think again. Think twice. Never underestimate the strength & power of an outpouring of the rain even from a seemingly cloudless sky, sawa!???
 
Kwani kabla ya Magu kuingia madarakani yalikuwa yana ripotiwa?

Je walivyo Kuwa wana yaripoti walikuwa wanachukua hatua gani?

Manake haya matatizo yalikuwepo kabla ya Magu.
Matatizo yapo siku zote yalikuwa hayaripotiwi; ndo "faida" za kuminya uhuru wa watu kusema!
 
Ukweli ndo huo ni mchungu lakini kubalini usemwe; Bandari ya Dar haijawahi kuwa na Ufanisi na haitakaa iwe na Ufanisi, utanunua Vifaa lakini bado mvua ikinyesha barabara za kuingia bandarini haziingikiliki; aliyetaka kujenga Bandari Bagamoyo hakuwa mjinga!

Umehamisha mgali mara ya kwanza ulisema uhuru sasa hivi bandari ya Bagamoyo.

Kwani nani alikataa bandani ya Bagamoyo? Kilichotiliwa shaka mkataba na ndio maana wanaomba upelekwe bungeni hujadiliwe,kuna ubaya? cha msingi tuombe Mungu uende bungeni.

Upende husipende legacy ya Magu kuifuta kazi,nenda kwenye kampuni zote za Bakheresa jiulize kwa nini maboss wengi wahindi?

Hapo ndio utajua Watanzania tumezoea kusukumwa,ujanja ujanja,wizi,wavivu ndio tabia yetu,Dangote kawajaza wahindi kibao huko Mtwara sababu anataka ufanisi.Hata ijengwe hiyo bandari ya Bagamoyo kwa tabia zetu hali itakuwa hivyo hivyo,tutacreate tatizo ili tupige hela.
 
Sasa utawasukuma wafanyakazi wapakue meli kwa mikono mkuu? Au wewe unaweza kubeba makontena mgongoni?
Kwani zamani walikuwa wanafanyaje?au walikuwa wanabeba vichwani?

Huo ndio uhalisia wetu hapo watu washacreate tatizo (kwa kujaribu mitambo) ili wapige hela bandari inapo elekea itakosa usimamizi ndio uhalisia wetu na ndio maana Bakheresa na Dangote hawacheki na kima kazi kazi.
 
Matatizo yapo siku zote wewe unafikiri yameanza leo baada ya hiyo clip ya gazeti la Mwananchi...rudi kuisikiliza tena utaelewa ninachokwambia; huyo jamaa si anasema mashine iko moja au hujamsikia?
Kwa sasa hivi mashine ipo moja,zamani je zilikuwa ngapi?

Sina haja ya kusikiliza mimi nina marafiki zangu wapo bandari,wengine wana endesha malori ya mizigo na matank ya mafuta.

Huyu mama yetu awe makini sio bandari tu kuna kampuni moja ya SCIPA wana mashine zao wamezifunga kwenye viwanda vyote vya vinywaji ili kuhesabu kila unit inayo zalishwa kiwandani ili wakadilie kodi kiuhalisia, kama sikosei kampuni ina miaka kama minne wameanza na viwanda vya vinywaji ,naona kabisa ile mitambo inavyo enda kuharibiwa.

Ndio tabia yetu wa bongo hata hiyo bandari bagamoyo iwe na mitambo hata mia unaweza ukakuta inayofanya kazi 20,kwa kifupi hatujui kujisimamia mpaka tusukumwe.
 
Bandari upande wa TPA ni matatizo matupu mkuu...ukiona kuna chembe ya ufanisi basi ujue ni upande wa TICTS siyo TPA

Hilo unalosema hatuwezi kujisimamia maana yake ndo hiyo hiyo...hakuna vifaa
Kabla ya Magu TICTS si ilikiwepo ? Ufanisi ulikuwaje ? na ilikiwa ina lalamikiwa mpaka bungeni.
 
TICTS inalalamikiwa sababu ya wivu tu(mambo ya mikataba), siyo Ufanisi....ukiona mambo hayaendi bandarini ujue ni TPA/serikali.
Sababu ya wivu ina maana wabunge wale wote walio kuwa wana ilalamikia TICTS wana wivu,mimi siamini.

Tuwe wakeli kitu chochote ili kiwe vizuri kina hitaji usimamizi na ufuatiliaji wa ukaribu.Ndio maana Bakheresa ,Mo,Dangote wanafanikiwa sababu wao wanamini ktk wahindi so wakiwaweka hela yao haipotei sababu wanajua kusimamia na kufuatilia.

Najua watu wanamponda sana Magu ila ukweli,bila usimamizi na ufuatiliaji madhubuti wa Magu leo hii hizi barabara zinazo unganisha mikoa zingekuwa zinasuasua na Kikwete alilijua hilo alijua kabisa nikiweka hela hii ktk wizara ya ujenzi na nikimweka Magu lazima mambo yataenda sababu jamaa anajua kusimamia na kufuatilia.

Utake usitake ukubali ukatae Magu alikuwa msimamizi na alikuwa anajua kufuatilia vizuri hasa zile sehemu nyeti.

Huyu mama namuonea huruma kama hana msimamo na hali hii ya sasa uchumi ulivyo tikisika sababu ya Corona mapato yanaweza kupungua zaidi.Mimi wabongo nawajua sio bandari tu, nakupa miaka mitatu mitambo ya SCIPA watu wataanza kuiharibu makusudi na kuna uwezekano SCIPA ikapotelea mbali.
 
System kufail and foleni Kuna watu wako kazini kupiga pesa saiv...wakati mwendazake yupo ulisikia hata siku moja system ya TRA na bandari zimecollapse? Kuna vitu vya upigaji vinaendelea....
 
Zaidi ya Malori zaidi ya 1000 yamekwamaKatika Bandari ya Mjini Dares-Salam Utafikiri wahusika hawapo.
Meneja wa Bandari, Mkurugenzi wa Bandari na Waziri Anayehusika na uchukuzi. Mheshimiwa Rais Mama Samia Hassan Suluhu Wawajibishe hao viongozi watatu .Wanalitia Hasara Taifa kwa kutopata pesa katika Bandari ya Mjini Dares-Salaam .Mambo ya rushwa yamerudi tena Bandarini Mama Rais Fanya kazi yako.


View attachment 1781266
Bandarini upande wa TPA Kuna ujenzi mkubwa sana unaendelea ,so foleni ni lazima,huko barabarani tu barabara ikiwa Ina jengwa kunakuwa na foleni ,sembuse ndani mle
 
Kaka MTU akishakufa amekufa.
tarehe 28 mwezi wa 10 mlipanga yenu.
Na mungu tarehe 17 mwezi wa 3 alipanga yake.
KWANINI HAUTAKI KUKUBALI KUWA ZAMA ZIMEBADILIKA?
Bi Mkubwa kazi yake kula good time tuuu na kwenda Kenya kusaini mkataba hewa wa gesi. Tunataka raia waliodhulumiwa hela zao uwanjani tarehe nane juzi kati hapa wafidiwe kikamilifu.
 
MATAGA+SUKUMA GANG mna pumzi ya kutosha? Maana naona mnataka kuijaribu sumu kwa kuilamba.

Tena watakaowateka na kuwang'oa kucha na meno bila ganzi ni wasukuma wenzenu.

Acheni hiyo michezo kubalini ukweli kuwa bosi wenu yupo futi sita chini na ameshaoza tayari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magufuli hakufanya lolote kuisaidia bandari iwe na Ufanisi...baada ya zile ziara zake za kufokafoka na kugombana na ambulance za Membe uliwahi tena kumwona akifika bandarini na fujo zake zile? Unafikiri kwanini hakufika? Jibu simple...tatizo lake lilikuwa wateule wa Kikwete, alipofanikiwa kuwaondoa akaweka wapiga dili wake wa Tanroads hakuwa na habari tena na bandari, akina Kakoko wakaota mapembe, wakafanya ufisadi wa kutisha kwa kushirikiana na Mamlaka ya Juu...ndo juzi mlikuwa mnashangilia ametumbuliwa kwa wizi mlifikiri aliiba baada ya Magufuli kufa? au mlikuwa mnashangilia kitu gani?
Ushuzi tupu
 
Back
Top Bottom