Kuna teke hapo au kamsukuma na mguu? Hakuna kipigo chochote cha maana hapo basi tu siku hizi watu mitandaoni wanajiona malaika. Katoto kafundi ka kupiga mayowe tu.Kwa hiyo unaona ni sawa mtu mzima kumpiga mtoto mateke kwani hakuna njia nyingine ya kumpa punishment.
Utawaweza baba na mama junior? Ndio hao wanaona huyo mtoto kapigwa sana yaani angeweza kufa.Ila watoto wa siku hizi tunawadekeza sana! Hicho hakiwezi kuitwa kipigo au kumshambulia mtoto. Ni cha kawaida sana kwa mtoto mtovu wa nidhamu. Kama huwa anampiga kila siku hiyo ni habari nyingine lakini kama ni pale anapokosea, ni kawaida sana!
Watu wanashadadia upuuzi sana.
Mtoto kapewa adhabu ya kawaida sana.
Huwezi kumlea mtoto bila adhabu. Utavuna mabua.
Yaani upige mwanangu kiasi hiki nikuache salama?Wananchi walipaza sauti Heko kwao...viongozi waliochukua hatua...ndio kazi yao...mwezi huu wanakula mshahara kutoka kwaa wananchi walipa kodi kihalali.
Ukiona mtoto amefikia hatua ya kutosikia ujue chanzo kikuu ni mzazi.Utawaweza baba na mama junior? Ndio hao wanaona huyo mtoto kapigwa sana yaani angeweza kufa.
Kacheki afya ya akili mkuuMbona amempapasa tu
Ni ujinga tu kupiga watoto. Ninao wanne wa kwanza 18 wa mwisho 11 sijawahi wapiga hata siku moja na wote wana tabia njema. Tena mitoto inayo pigwa pigwa ndio inakua minunda na katili.Watu wanashadadia upuuzi sana.
Mtoto kapewa adhabu ya kawaida sana.
Huwezi kumlea mtoto bila adhabu. Utavuna mabua.
Una watoto?Hcho ndo kipigo chote ama Kuna chengine hakijaoneshwa mana hcho naona Cha kawaida , hajampiga kichwani Wala kumtoa damu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Sabrina Shabani, mwenye umri wa miaka 28, mkazi wa Mbezi Mwisho, baada ya video kusambaa mitandaoni ikimuonesha akimshambulia mtoto mdogo. Tukio hilo limeibua masikitiko na hasira kwa umma, na uchunguzi wa awali ulifanywa kwa kushirikiana na Idara ya Ustawi wa Jamii.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara tu uchunguzi utakapokamilika. Jeshi la Polisi limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya ukatili, likionya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahalifu.
Taarifa ya Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linapenda kutoa taarifa kuhusiana na tukio la picha mjongeo (video) zilizoonekana kwenye mitandao ya kijamii zikionesha mwanamke mmoja akimshambulia mtoto mdogo kwenye eneo la makazi. Vitendo hivyo havikubaliki na kwa hali hiyo upelelezi wa awali ulifanyika kwa kushirikiana na idara ya ustawi wa jamii na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Sabrina Shabani miaka 28 mkazi wa Mbezi mwisho Ubungo Dar es Salaam.
Pia, Soma:
+ Waziri Gwajima kukomesha ukatili baada ya video ya Mama akimshambulia mtoto kusambaa
+ House girl aliyemkata shingo mtoto wa mwajiri wake akamatwa na polisi
+ Kemeo la ukatili dhidi ya mtoto Malik Hashim Kitumbi
+ TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam
Mtoto hufundishwa akiwa mdogo, utii, nidhamu na uwajibikaji hayaji tu hivi hivi. Awe mama yake au sio mama yake mzazi binafsi sijaona ukatili hapo. Tena kampiga vibao vinne tu kama sijakosea.
Kwa malezi ya online, no wonder watoto wanatukana wazazi wao mitandaoni huko, watoto hawali mpaka uwawekee cortoon zao pendwa, watoto wawatuma hadi dada wa kazi ππ
Utawaweza baba na mama junior? Ndio hao wanaona huyo mtoto kapigwa sana yaani angeweza kufa.
Bila kupepesa macho nilikuja mbio nikitegemea ntaona ukatili wa hali ya juu na nilipoona yale madumu nikawaza hii video ikiendelea huyu mama atampiga na madumu huyu dogo kumbe duuuh hebu tuwe serious hivi vipigo tulivyopewa na wazee wetu si zaidi ya hivyo hapo jamani
Ni ujinga tu kupiga watoto. Ninao wanne wa kwanza 18 wa mwisho 11 sijawahi wapiga hata siku moja na wote wana tabia njema. Tena mitoto inayo pigwa pigwa ndio inakua minunda na katili.
Wewe mbona kipigo kilikusaidia? Watoto wasiosikia mara moja moja unamtandika. Mbona wengi wananyooka tu.Ukiona mtoto amefikia hatua ya kutosikia ujue chanzo kikuu ni mzazi.
Siku hizi watoto hawana malezi bora na kipigo cha namna hiyo hakisaidii
Kuna wazazi siku wanaambiwa watoto wao ni majambazi huwa hawaamini. Hongera kwa kukuza raia wema.Ni ujinga tu kupiga watoto. Ninao wanne wa kwanza 18 wa mwisho 11 sijawahi wapiga hata siku moja na wote wana tabia njema. Tena mitoto inayo pigwa pigwa ndio inakua minunda na katili.
Ficha ujinga wako.Mama wa kiislamu anamwadibisha mwanae.
Ulitaka mpaka azimeTunakoelekea hata kuadhibu watoto wazazi wataacha Kwa hofu ya kuitwa makatili,hicho kipigo Kwa huyo mtoto ni Cha kawaida sana,
NB sipendi ukatili Kwa watoto
Si ngumi za mbavu sasa, ni viboko vinavyoendana na umriLet be honest ,ulivokua unapigwa na maza ako ,unaweza sadiki kua huo ni ukatili