Mama amteka mtoto wake ili apate milion 20 kutoka kwa mumewe

Mama amteka mtoto wake ili apate milion 20 kutoka kwa mumewe

Japo mimi ni mngoni ila angekuwa Mmachame kafanya hii kitu pasingetosha hapa.
Wanawake wana mambo ya ajabu sana. Walichokiongea na shetani kule Eden wanakijua wenyewe.
 
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).

Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.

Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.


View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD

Hayo yamefika Tanzania? Mimi nilifikiri hayo yametokea huko duniani!

Hata hivyo si vizuri kuwahukumu wanawake wote kwa kosa la mpumbavu mmoja. Kumbuka, hata mama yako ni mwanamke lakini hakukufanyia hilo.
 
Narudia tena, wanawake ni chanzo cha matatizo mengi hapa duniani. Pengine ndiyo sababu Yesu kristo hakujihusisha nao.
 
Narudia tena, wanawake ni chanzo cha matatizo mengi hapa duniani. Pengine ndiyo sababu Yesu kristo hakujihusisha nao.
Wanawake ni majitu ya ajabu sana hapa duniani
 
Tukiwaonya kuwa ndoa ni uhuni na utapeli hamuelewi, tufanyeje?
 
bila shaka alkua anadaiwa vikoba na silk
 
bila shaka alkua anadaiwa vikoba na silk
Vicoba ndio vimdai milioni 20? Huyo atakuwa alikengeushwa na mchepuko wake wakaamua kula deal la kumkamua mume wake mamilioni ya hela kisha wamuue waenjoy maisha.
 
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).

Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.

Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.


View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD

Sasa siangemteka mumewe ndo mwenyepesa
Mpuuzi sn.
 
Maoni ya mwanamke mmmoja haya hapachini
=======================
Hii ni story ya kweli, kina jamaa alinipa kazi yakumtafutia mke nikiwa University, for sure nilikosa . Nilimwona mmoja tu mwenye nidhamu. Wakati najipanga kumpa mrejesho kuwa Kuna niliyemwona, nikaletewa kadi ya mchango na yule Binti kuwa anaolewa.Nikanyoosha mikono na kumrudisha majibu kuwa nimemkosa katika wanachuo zaidi ya elfu kumi. Malezi yameharibu sana watoto wengi na bado yanaendelea kuharibu.Nawaonea hura sana vijana wanaotafuta wake na mateso watakayokumbana Nayo. Mimi Kwa Sasa ni mama nayaona magumu watakayoyapitia ila sioni namna yakuwasaidia. Mwenyezi mungu awanusuru vijana wote wa kiume na awape uso wa kuona haya vijana wote wa kike waache kuchetua akili🙆‍♂️🙆‍♂️
Kwamba ghafla wavulana/wanaume wote wa nchi hii wamekua Malaikah watakatifu?!

Hao wasichana/wanawake wanachetua akili na akina nani?

Ambae bado anatizama uvundo wa maadili ndani ya jamii kwa macho ya jinsia, bado amechelewa sana.
 
Back
Top Bottom