Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hz ni rahisi kutafuta dhahabu kuliko kutafuta mke wa kuoa. Dunia imeharibika sana. Wasichana wengi wanaanza kudinywa wakiwa under 17. Wakifika 20 tu K zinakuwa sugu, hawafai kabisa.Kwamba ghafla wavulana/wanaume wote wa nchi hii wamekua Malaikah watakatifu?!
Hao wasichana/wanawake wanachetua akili na akina nani?
Ambae bado anatizama uvundo wa maadili ndani ya jamii kwa macho ya jinsia, bado amechelewa sana.
You wish.True. Hata wewe ni product ya wanawake wa ovyo na matapeli kama huyo mama aliyemteka mwanaye.
Jinsia ni mbili tu, ya kiume na ya Kike. Sasa ndugu shetani yake ipi mpaka akafanikiwa kumlaghai Eva?Tukiwauliza wanawake wanaweza kutuambia kwa kuwa wao ndio walioonana na shetani live kule Eden
Kumbe wanadinywa??Siku hz ni rahisi kutafuta dhahabu kuliko kutafuta mke wa kuoa. Dunia imeharibika sana. Wasichana wengi wanaanza kudinywa wakiwa under 17. Wakifika 20 tu K zinakuwa sugu, hawafai kabisa.
Seriously???Huyu mama ni roli modo wangu kabisa[emoji23]
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).
Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.
Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.
View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD
Hivi hakuona kama anahatarisha maisha ya mtoto kwa upuuzi wake?Ndiyo maana kuna nchi ukimteka mtu unafungwa kifungo kirefu hadi uimbe nyimbo zote.Na ukute huko vicobani anadaiwa 20,000 tu lakini yeye kaamua kukamua 20,000,000. Wanawake wengine akili zao anazijua Mungu tu.
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).
Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.
Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.
View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD
Tamaa iliyotamaukaKweli kabisa aisee. Huyu mama ana matatizo makubwa sana kichwani mwake.