Mama amteka mtoto wake ili apate milion 20 kutoka kwa mumewe

Mama amteka mtoto wake ili apate milion 20 kutoka kwa mumewe

Kwamba ghafla wavulana/wanaume wote wa nchi hii wamekua Malaikah watakatifu?!

Hao wasichana/wanawake wanachetua akili na akina nani?

Ambae bado anatizama uvundo wa maadili ndani ya jamii kwa macho ya jinsia, bado amechelewa sana.
Siku hz ni rahisi kutafuta dhahabu kuliko kutafuta mke wa kuoa. Dunia imeharibika sana. Wasichana wengi wanaanza kudinywa wakiwa under 17. Wakifika 20 tu K zinakuwa sugu, hawafai kabisa.
 
Kadri siku zinacyosonga tunashuhudia maovu ya wanawake. Jana mwanamke mmoja kamuua mumewe kwa kumchoma kisu tumboni huko Arusha.
 
Tukiwauliza wanawake wanaweza kutuambia kwa kuwa wao ndio walioonana na shetani live kule Eden
Jinsia ni mbili tu, ya kiume na ya Kike. Sasa ndugu shetani yake ipi mpaka akafanikiwa kumlaghai Eva?

Na walaghai wakubwa wa jinsia Ke wanajulikana.
 
Siku hz ni rahisi kutafuta dhahabu kuliko kutafuta mke wa kuoa. Dunia imeharibika sana. Wasichana wengi wanaanza kudinywa wakiwa under 17. Wakifika 20 tu K zinakuwa sugu, hawafai kabisa.
Kumbe wanadinywa??

Basi maajabu hakuna, nilidhani wanajidinya wenyewe.

Hao wadinyaji nao wana usafi kiasi gani?
 
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).

Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.

Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.


View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD

Aisee wanawake bhana kila kukicha wanazidi kugundua vyanzo vipya vya mapato
 
Na ukute huko vicobani anadaiwa 20,000 tu lakini yeye kaamua kukamua 20,000,000. Wanawake wengine akili zao anazijua Mungu tu.
Hivi hakuona kama anahatarisha maisha ya mtoto kwa upuuzi wake?Ndiyo maana kuna nchi ukimteka mtu unafungwa kifungo kirefu hadi uimbe nyimbo zote.
 
Sasa ngoja aende kunyea debe akili zimrudie mpuuzi mkubwa. Hana akili kabisa punguani wahed.
 
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa kuvuna Tsh 20,000,000 kutoka kwa mume wake (baba wa mtekwaji).

Kufuatia utekahi huu, mkuu wa mkoa wa Mbeya, kwa kushirikiana na polisi, wamefanikiwa kuwanasa wahalifu wote, akiwemo mwanaume mmoja aliyekuwa akishirikiana na mama wa mtoto ili kujipatia kitita hicho bila jasho.

Hivi wanawake kweli wamefikia ukatili wa kiasi hiki? Huyu mwanamke hatifautiani na yule askari polisi aliyekula njama za kumuua mume wake kule Arusha ili anyakue mali zake. Wanawake wanajifanya wapole lakini wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Mungu anawaona.


View: https://youtu.be/FSkfOIB4Gl0?si=XGRKpAJ71CD7p7OD

Huyo mama ana hatari kubwa. Hivi mtoto wake ,huyo akiwa mkubwa akasimuliwa na watu jinsi alivyotekwa na mama atamueleza nini?
 
Back
Top Bottom