Mama weee mkeo asiwepo humu mkuuhyo ya kutusamehe ni maamuzi yenu wala hakuna anayewalazimisha. Mm binafsi nikimfuma mke wangu hakuna mjadala ni mwendo wa talaka tu. Hata yeye akinifuma uamuzi ni wake kuniacha. Akijifanya kunisamehe hicho ni kiherehere chake
I like the promise of respect toward our comments. Believe me I understand the pain you feel. Hata ungelala na wanawake 1000 mbele yake, it still happened (Your wife slept with your friend). Truth is, it hurts her as well that you sleep with other women. Kaumia same as you and even more. Please stop digging the hole? (If u ever find urself in a hole stop digging is the first solution).
Time will pass and this will go away. Mkeo hatakufanyia hivyo tena for the fear of what happened. Utakuwa na mke anayekuheshimu. Mtalea watoto vizuri nao tena kwa experience madhara ya kuchepuka, I hope watajifufunza huko ukubwani.
Brother ni wanawake wachache sana hawatachepuka kwenye mazingira kama hayo ya safari (and if u try to be honest, maybe na wewe kule ulichepuka). Utaoa mwingine na mambo hayo yatatokea. Nikwambie kitu? It will be hard kumfukuza huyu mwingine, coz utahisi jamii itakujudge una tatizo, kwanini we uwe wa kufukuza wanawake tu?
Hizi mambo ni aibu brother. Just make it with your wife, nothing else will be better for you, your wife na watoto. Umeumia ndio ila huko mwenyewe asilimia kubwa ya wanandoa wameumia. We msamehe tu, usione wazazi hawana uchungu na wewe mtoto wao kwa kukuambia umrudie. Its because they've lived long, they have seen these things, they know better....
Pokea huu ushauri ni kweli tupu.I like the promise of respect toward our comments. Believe me I understand the pain you feel. Hata ungelala na wanawake 1000 mbele yake, it still happened (Your wife slept with your friend). Truth is, it hurts her as well that you sleep with other women. Kaumia same as you and even more. Please stop digging the hole? (If u ever find urself in a hole stop digging is the first solution).
Time will pass and this will go away. Mkeo hatakufanyia hivyo tena for the fear of what happened. Utakuwa na mke anayekuheshimu. Mtalea watoto vizuri nao tena kwa experience madhara ya kuchepuka, I hope watajifufunza huko ukubwani.
Brother ni wanawake wachache sana hawatachepuka kwenye mazingira kama hayo ya safari (and if u try to be honest, maybe na wewe kule ulichepuka). Utaoa mwingine na mambo hayo yatatokea. Nikwambie kitu? It will be hard kumfukuza huyu mwingine, coz utahisi jamii itakujudge una tatizo, kwanini we uwe wa kufukuza wanawake tu?
Hizi mambo ni aibu brother. Just make it with your wife, nothing else will be better for you, your wife na watoto. Umeumia ndio ila huko mwenyewe asilimia kubwa ya wanandoa wameumia. We msamehe tu, usione wazazi hawana uchungu na wewe mtoto wao kwa kukuambia umrudie. Its because they've lived long, they have seen these things, they know better....
Baaaaaaaaaaaaasi umemaliza, ilitakiwa tu baada ya kudibitisha habari hizi za wife wako kutiwa na rafiki yako ungepaswa kufungusha kilicho chako na kuelekea kusikojulikana.dawa nyepesi sana ondoka wewe kaanze maisha kwingine mbona simple like that mkuu..... weka miakakati namana ya kullipia watoto ada na matunzo yote.. acheni ubinafsi vikojoleo vyenu vinawaumiza watoto embu wapeni watoto relief hata kidogo jamani.. baba analala na mwanamke mwingine mama analala na wanaume mwingine kweli? mnafundisha nini hawa malaika? embu we mwanume kuwa mwanaume ondoka hapo kama ni swala la hati ya nyumba transfer kwenye majina ya watoto that all .... usiwaze kwamaba unampa faida mama waza kuwa watoto wako wanahitaji malezi mema .. kama ni wasi wasi wa mkeo kuja kutiwa ndani kwako kashatiwa hata kwabla ujamwacha.......
kuwaacha watoto kwa dada yako eti kisa nyie mnashindana kugongana kwenye nyumba yeni ni upuuzi tena upuuzi mkubwa
Lakini akafanya ufala wa kuna kutia mwanamke mwingine ndaniBaaaaaaaaaaaaasi umemaliza, ilitakiwa tu baada ya kudibitisha habari hizi za wife wako kutiwa na rafiki yako ungepaswa kufungusha kilicho chako na kuelekea kusikojulikana.
Hakukua na haja ya kushindana na kujivunjia heshima hapo mtaani na pengine watu wengi walikuwa wakimheshimu lkn kwa aliyoyafanya yeye ndio kaonekana chizi badala ya mke wake, yani hii inanikumbusha msemo usemao nani ataonekana chizi pale mtu aliyechukuliwa nguo na chizi na kuanza kumfukuza huku yeye akiwa uchi?Lakini akafanya ufala wa kuna kutia mwanamke mwingine ndani
Anayemkimbiza chizi akiwa uchi.. Bad enough wameharibu watoto yani mbaya sanaHakukua na haja ya kushindana na kujivunjia heshima hapo mtaani na pengine watu wengi walikuwa wakimheshimu lkn kwa aliyoyafanya yeye ndio kaonekana chizi badala ya mke wake, yani hii inanikumbusha msemo usemao nani ataonekana chizi pale mtu aliyechukuliwa nguo na chizi na kuanza kumfukuza huku yeye akiwa uchi?
Its much better for him to look for the new beginning, all in all pole zake. I think hasira ilitawala sana badala ya busara kwakweli ni vyema kila mtu awe anajiuliza what would you do once ikitokea umepatwa na janga kama hili, maana unaweza ukajikuta umechukua maamuzi ya hovyooo.....kabisa ukashangaza jamii inayokuzunguka.Anayemkimbiza chizi akiwa uchi.. Bad enough wameharibu watoto yani mbaya sana
Big uoUzinzi hauna msamaha daima. Endelea na mbinu mbalimbali mpaka aondoke
Je kwengine akikuta maxuri unajuaje?kaka ngoja nikushauri kitu ni ngumu sana ila cha msingi ni kwamba wewe samehe bro
unaweza mwacha huyo ukaenda kwa mwingine ukakakutana nayo hayo hayo bora
ni kusamehe na maisha yaendeleee
Ahsante..!! Hili na mimi ndio niliona suruhisho la mwisho