Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Wabongo bwana! January yupo pale hadi 2030. Tunajua mna wivu lakini vumilieni tu. Mnazidi kuiponda Serikali, pamoja na January, wenzenu wanazindua miradi tu, Wanakopeshwa na kukopesheka, na wanaongoza bila wasiwasi. Watu wanakula kuku, huku nyinyi mnapiga ramli za kuwanga atatoka lini. Poleni Wabongo roho mbaya.
Ila kweli aisee
 
Wabongo bwana! January yupo pale hadi 2030. Tunajua mna wivu lakini vumilieni tu. Mnazidi kuiponda Serikali, pamoja na January, wenzenu wanazindua miradi tu, Wanakopeshwa na kukopesheka, na wanaongoza bila wasiwasi. Watu wanakula kuku, huku nyinyi mnapiga ramli za kuwanga atatoka lini. Poleni Wabongo roho mbaya.

yuko pale mpaka lini tena?
 
Wabongo bwana! January yupo pale hadi 2030. Tunajua mna wivu lakini vumilieni tu. Mnazidi kuiponda Serikali, pamoja na January, wenzenu wanazindua miradi tu, Wanakopeshwa na kukopesheka, na wanaongoza bila wasiwasi. Watu wanakula kuku, huku nyinyi mnapiga ramli za kuwanga atatoka lini. Poleni Wabongo roho mbaya.
Atatoka tu hatokaa milele afanyiwe roho mbaya ye nani bwana wakati wake wa kutoka ukifika atatoka tu
 
Anamtupa huko kumnyamazisha kipara!!

NGOJA tuone!
Dogo janja kazi imemshinda bwawa la Nyerere hakuna kinachoendelea ni siasa na ngonjera tu zinapigwa kuwahadaa wananchi sasa kelele za umeme zimekuwa nyingi kaona dogo anachafuka kila uchwao kaamua kwenda kumficha mambo ya nje
 
Huko
Kwanza ampeleke kwenye wizara ambayo ipo kimya kidogo yaani haivumi sana wala haina impact Moja kwa moja kwa wananchi!

Kama mazingira, Muungano, sanaa na utamaduni!! yaani amfiche kama alivomficha mchengerwa!

Halafu Kalemani arudi kwake!
Huko mazingira kuna pesa ya bure kupitia NEMC na viwanda pamoja na migodi, huko ndiko alikokuwa dogo janja akiwa msaidizi wa mama miaka ya nyuma na huko ndiko alianza kuujua utamu wa asali, dogo jajnja ni ligi ingine kabisa si ajabu mwendazake alimfurusha mapema, na alivyo mjanja baada ya kufurumushwa akatoa picha kapiga yeye na mzee wa watu mzee Ruksa, nadhani sote tunamkumbuka mzee Ruksa alivyomtolea uvivu dogo janja na kumwambia aitoe hiyo picha mitandaoni haraka.
 
Dogo janja kazi imemshinda bwawa la Nyerere hakuna kinachoendelea ni siasa na ngonjera tu zinapigwa kuwahadaa wananchi sasa kelele za umeme zimekuwa nyingi kaona dogo anachafuka kila uchwao kaamua kwenda kumficha mambo ya nje
Sasa ni wakati Doto amtose mabeans, hakuna anachokifanya hapo Tanesco, Tanescoilirudi kwa wahandisi mitambo/umeme wenyewe, timu mabeans iondoke na dogo janja wote wanede huko alikoenda ,huko hata wakilewa kazini hatuna shida nao. Mama kachelewa sana kwa Dogo janja.
 
Sasa ni wakati Doto amtose mabeans, hakuna anachokifanya hapo Tanesco, Tanescoilirudi kwa wahandisi mitambo/umeme wenyewe, timu mabeans iondoke na dogo janja wote wanede huko alikoenda ,huko hata wakilewa kazini hatuna shida nao. Mama kachelewa sana kwa Dogo janja.
Naunga mkono hoja pale TANESCO waliweka wezi watupu Taifa lilikuwa linaelekea kubaya sana wewe imagine mikoa karibu yote inakuwa gizani kwa siku 2 halafu wamekaa porojo tu

Beans out😏
 
Huu uzi umeandikwa na mtu wa JPM anayedhani Kalemani ni mtakatifu asiye na makosa katika utendaji wake.

Nilichojifunza ndani ya miaka sita ya mwishoni ni kwamba sisi watu wa kanda ya ziwa hatufai kabisa kupewa vyeo vya juu vyenye majukumu ya kufanya maamuzi mazito, tupo sana na ile superiority complex ambayo ni mbaya sana.

Ujasiri ukizidi ni mbaya kwa hao wanaoongozwa.
Wewe siyo mtu ya Kanda ya ziwa
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Angempa ubalozi basi wa tanzania kule Haiti
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Ngoma bila kulewa tutaichezaje? pekechu pekechu pekechu, mpaka chini, mpaka chini, mpaka chiiniiii.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Wabongo bwana! January yupo pale hadi 2030. Tunajua mna wivu lakini vumilieni tu. Mnazidi kuiponda Serikali, pamoja na January, wenzenu wanazindua miradi tu, Wanakopeshwa na kukopesheka, na wanaongoza bila wasiwasi. Watu wanakula kuku, huku nyinyi mnapiga ramli za kuwanga atatoka lini. Poleni Wabongo roho mbaya.
Miaka ya kwenye keyboard inaenda fasta sana. Leo tuko 2030 tayari
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Hivi Rais una Police Force,TISS,Jeshi la Wananchi,Magereza, halafu unamuogopa mtu kama Makamba!Kama unaona ana leta sintofahamu si unamkamata na kumwajibisha kwa yale anayofanya.Makamba ni mvuragaji wa mambo na opportunist, hafai,sio tu kwenye uongozi,lakini pia kwenye jamii ya Watanzania,aondolewe.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Unajua,Kalemani kuondolewa ilikuwa chuki tu against Magufuli,lakini Samia is paying for her evil. Kalemani, was so good,amuombe radhi,amrudishe apige kazi.Frankly binafsi sikuona ubaya wa Kalemani,he was so good,labda uzuri wake ndio uliokuwa ubaya wake,maana siku hizi wazuri hawatakiwi
 
Back
Top Bottom