Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.

Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Na ndio hao hao mifisadi papa, wakwepa kodi wakubwa na wauza unga waliokubuhu na misijdah yao mikubwa kama chapati pajini.

Nyau de adriz
 
Peleka umbea wako huko.

Nyau de adriz
 
Serikali Haina dini acheni tamaa Kwa mgongo wa dini
 
Mume akifa automatic Mali zake zinahamia Kwa mke
 
Watoto kama hao wapo sana kwenye jamii zetu na wengi huwaombea wazazi watangulie mapema ili warithi mali ambazo hawajazitafuta wao, tufanyeni kazi kwa bidii kujitafutia vyetu binafsi. Na watoto pia tuwakuze na mentality ya kuwajibika kufanya kazi ili wajitegemee vinginevyo kina junia wataleta shida sana.
 
Mitoto 9 inagombea nyumba na mama ya mzazi wa kuwazaa yeye mwenyewe; mzee mjane asiye na hili wala lile! By any means, hakuna sheria yoyote iwe ya kidini au kisekula inayotakiwa kuhalalisha uhuni wa aina hiyo. Huyo bibi kikongwe mjane aende wapi sasa! Mahakama imetenda haki japo kwa kuchelewa mno 20 yrs kupata haki is not acceptable.
 
ukisikia hivyo huyo ni mama wa kambo siyo wa kuwazaa wenyewe.
 
Watanzania hata mahakama ikitoa haki anashukuriwa rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…