The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Na ndio hao hao mifisadi papa, wakwepa kodi wakubwa na wauza unga waliokubuhu na misijdah yao mikubwa kama chapati pajini.Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.
Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Peleka umbea wako huko.Acha ujinga wewe, hao ni watoto wake wa kuzaa, wamekaa tumboni kwake miezi 9, hivyo kama kudhulumu angewadhulumu wakati akiwa hajawazaa kwa kutoa mimba zao.
Hivi unaijua thamani ya mzazi uliekaa tumboni kwake miezi 9? Je akiwarudishia hiyo mirathi akawaomba na wao wamlipe kwa kukaa tumboni kwao miezi 9 halafu ndo wamzae kama alivyowazaa wao wataweza?
Bila yeye kuwazaa au kuwalea mpaka wakakuwa wakubwa hiyo mali wangeweza kuirithi? Yani mali au nyumba ndio isababishe ukasimame na mama yako mzazi mahakamani? Nyumba inaweza kuungua au ikaanguka kama lilivyoanguka lile jengo la juzi hapo kariakoo lkn mzazi atabaki kuwa mzazi miaka yote ya maisha yenu iwe kwa raha au kwa shida.
Serikali Haina dini acheni tamaa Kwa mgongo wa diniAmeshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!
Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Mume akifa automatic Mali zake zinahamia Kwa mkeNi mama yao wa kuwazaa ? ama ni Hawa mama wa kufikia ama wa kambo ?
Kama mama yao mzazi kabisa pengine nyumba hiyo inaweza kuwa Mali si ya mumewe bali ni ya wazazi wake
Mara nyingi nijuavyo Mali kama hiyo ingekuwa upande wa mume au baba wa hao watoto asilimia nyingi zingeenda kwa watoto lakini ki ujumla mambo ya urithi/mirathi ni magumu mno.
Hakuna kuuza akae afaidi maisha! Baadaye awarithishe wajukuu wanaojitambuaHuyo mama auze hiyo nyumba akajilie pesa yake. Watoto wajinga hao
Kumbe Ngoma ya 'mgongo binuka' ilitokea huku!!! Au macho yangu sijaona vizuri!
Hapana auze tu au atoe wakfu.Hakuna kuuza akae afaidi maisha! Baadaye awarithishe wajukuu wanaojitambua
Mke wa lyatonga mrema na watoto wa mrema wanavaa kobazi na baibui?Ukichunguza sana ni waswahili fulani wanaoshinda ba mabaibui na vikanzu mixer kobaz..
Atakuwa wa kamboSasa watoto mnashtakiana vipi na mama yenu?
Mitoto 9 inagombea nyumba na mama ya mzazi wa kuwazaa yeye mwenyewe; mzee mjane asiye na hili wala lile! By any means, hakuna sheria yoyote iwe ya kidini au kisekula inayotakiwa kuhalalisha uhuni wa aina hiyo. Huyo bibi kikongwe mjane aende wapi sasa! Mahakama imetenda haki japo kwa kuchelewa mno 20 yrs kupata haki is not acceptable.Ni mama yao wa kuwazaa ? ama ni Hawa mama wa kufikia ama wa kambo ?
Kama mama yao mzazi kabisa pengine nyumba hiyo inaweza kuwa Mali si ya mumewe bali ni ya wazazi wake
Mara nyingi nijuavyo Mali kama hiyo ingekuwa upande wa mume au baba wa hao watoto asilimia nyingi zingeenda kwa watoto lakini ki ujumla mambo ya urithi/mirathi ni magumu mno.
Ukichunguza hiyo mitoto 9 utakuta hakuna aliyevuka F4 I tell you. Elimu elimu elimu.Kuna familia zingine za ajabu sana
ukisikia hivyo huyo ni mama wa kambo siyo wa kuwazaa wenyewe.Acha ujinga wewe, hao ni watoto wake wa kuzaa, wamekaa tumboni kwake miezi 9, hivyo kama kudhulumu angewadhulumu wakati akiwa hajawazaa kwa kutoa mimba zao.
Hivi unaijua thamani ya mzazi uliekaa tumboni kwake miezi 9? Je akiwarudishia hiyo mirathi akawaomba na wao wamlipe kwa kukaa tumboni kwao miezi 9 halafu ndo wamzae kama alivyowazaa wao wataweza?
Bila yeye kuwazaa au kuwalea mpaka wakakuwa wakubwa hiyo mali wangeweza kuirithi? Yani mali au nyumba ndio isababishe ukasimame na mama yako mzazi mahakamani? Nyumba inaweza kuungua au ikaanguka kama lilivyoanguka lile jengo la juzi hapo kariakoo lkn mzazi atabaki kuwa mzazi miaka yote ya maisha yenu iwe kwa raha au kwa shida.
Watanzania hata mahakama ikitoa haki anashukuriwa rais.Fatma Awadh mkazi wa Kariakoo amemshukuru Rais Samia na aliyekuwa waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (sasa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari) baada ya kushinda kesi ya Mirathi ya Nyumba dhidi ya watoto wake.
Kesi hiyo iliyoanza 2006 imepata majibu baada ya kudumu mahakamani kwa miaka 18 ambapo Mama amewashinda watoto wake kwenye Mirathi ya nyumba iliyopo Kariakoo Dar es salaam.
View attachment 3170874
Sikiliza hiyo clip; kwa kinywa chake anashuhudia kuwabeba mimba wote hao the foxes!Atakuwa wa kambo