Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

Sawa.
 
Kesi Miaka 18 ?..
 
Watoto wanagombania Mali na mama mzazi ! Au mama wa kufikia au mama wa kambo

Vyovyote vile Ila haileti maana ni aina fulani ya familia za kijinga .kuanzia Mama MTU na watoto .
 
Una hakika ni mama yao mzazi!
Kwani mtu ukimuita mama ni lazima awe amekuweka tumboni miezi 9?
 
Hatari sana.
 
mpaka wazazi wa marehemu??? hivi unajitambua wee kijanaa..
 
Watoto wanagombania Mali na mama mzazi ! Au mama wa kufikia au mama wa kambo

Vyovyote vile Ila haileti maana ni aina fulani ya familia za kijinga .kuanzia Mama MTU na watoto .

Haya Man si ungepata sikiliza au soma kidunchu

Hayajakukuta yanayowakuta

Mama mzazi huyo
 
Ukiona hivyo jua mama ana watoto wengine nje ya hao na baba yao aliaacha amewarithisha.
 
Ndio hasara ya kufuga matoto badala ya kulea wapate akili za kutafuta za kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…