Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Kwa hiyo mzee Abdul alikuwa anateleza ,so Diamond ni mluguru wa Morogoro na si mmanyema.
 
Ka-panick kivipi?! Ina maana ka-react hizi habari, au?!
Mzee kaongea hadi mambo ya kitandani, mwisho Kasema diamond akiendelea kutumia jina lake atamshtaki
 
Wao ndio walioanza kumtumia kwenye kiki zao nae akajitokeza kukoleza mambo ona sasa wanayakuza. Wale wanaodiss single mothers hapa watajipatia point muhimu. Mzee alimkubali mama domo akiwa na esma kumbe akabambikiziwa hadi mimba
Na amesema waache kutumia jina lake atawapeleka mahakamani

Ila yalianza zamani kumbe

View attachment 1678269
 
Bond ya Diamond na Queen imetengenezwa na mama yake Queen na mama Diamond sababu wote inavyo onekana mzee Abdul hakuwa na time nao,so walivyokuwa wakikutana walikuwa wanafarijiana sababu matatizo yao yanafanana.
 
Kwa hiyo mzee Abdul alikuwa anateleza ,so Diamond ni mluguru wa Morogoro na si mmanyema.
OMG! OMG! OMG! OMG! Hivi unajua kwanini nimeweka hizo OMG nyingi?! Kwanza ndo unanijuza kwamba Nyange ni Waluguru! Pili, nakumbuka kuna siku Diamond kulikuwa na event fulani hivi Morogoro akasema "hapa ni home" lakini watu hawakutilia maanani!!!
 
ina maana maza ake DAi alikuwa anakit**** mpaka anashindwa jua baba wa mwanae?
 
OMG! OMG! OMG! OMG! Hivi unajua kwanini nimeweka hizo OMG nyingi?! Kwanza ndo unanijuza kwamba Nyange ni Waluguru! Pili, nakumbuka kuna siku Diamond kulikuwa na event fulani hivi Morogoro akasema "hapa ni home" lakini watu hawakutilia maanani!!!
Ndio hivyo naona hata Sallam Sk amemtania leo.
 
Wangeacha kumpa lawama za malezi wakati wanajua sio damu yake

Sakata la FA na baba yake ni tofauti na la domo. FA hajawahi kuleta ukaribu na mzee wake ila huyu wa wasafi keshamtumia sana mzee kwenye kiki zake wakati anafahamu sio baba yake.

Wangeweka wazi tangu mwanzo
Sana huyu yeye angekula buyu kama mzee wake Mwana Fa.

Mzee wake Mwana Fa kuna picha yake kapiga,yupo bar anakula nyagi alafu anaonekana hana time kabisa yani na yeye mwenyewe alivyo hojiwa wala hajutii.
 
Kwa hiyo mzee Abdul alikuwa anateleza ,so Diamond ni mluguru wa Morogoro na si mmanyema.

Mzee Abdul alikua anatelezaaa, ila aligoma kutoa huduma

Halafu kuna dogo alisoma na Queen Darleen walikua marafiki sana, baada ya Diamond kuja kuwa maarufu na kumjua kama kaka wa Queen akawa anasema ilikua huyu mzee akatae kumsomesha Nasib wakati alikua anampa Queen pesa na good time kiasi kwamba Queen alikua DonMtoto pale kariakoo?!!

Kumbe mzee alikua na mapesa tuu lakini aligoma kabisa kumsaidia Nasib na sasa Nasib ana pesa yeye analalama kila siku hapati huduma

Mama Diamond kachoka kaamua kutema nyongo💣💣
 
Wangeacha kumpa lawama za malezi wakati wanajua sio damu yake

Sakata la FA na baba yake ni tofauti na la domo. FA hajawahi kuleta ukaribu na mzee wake ila huyu wa wasafi keshamtumia sana mzee kwenye kiki zake wakati anafahamu sio baba yake.

Diamond hajawahi kumtumia huyu mzee kwa kiki,bali Shigongo ndiye kamuibua na kauza sana magazeti kwa kupitia huyu mzee.We mzee mwenyewe kila siku yupo kwenye kamera ,anahojiwa tu hajui anawatengenezea wenzake hela YouTube.Nilishamshangaa mpaka
global walitengeneza kiki na yule Dada wa London kujifanya mwanae,aje ampatanishe na Diamond kume yule mdada alikuwa anatafuta umaarufu nikamwona hana maana.

Yeye angekaza kutafuta hela awatunze watoto wake wa uzeeni huko kishakataliwa achane na hivi vitu.
Wangeweka wazi tangu mwanzo
 
Dar es Salaam. Sanura Kassim maarufu mama Dangote ambaye ni mama mzazi wa msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz amesema baba halisi wa mwanaye ni Salum Iddi Nyange na si Abdul Juma ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifahamika kama baba wa mkali huyo wa Bongofleva.

Mama Dangote ameeleza hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 baada ya kupigiwa simu na Dida, mtangazaji wa kipindi cha Mashamsham kinachorushwa na redio ya Wasafi kueleza kuhusu uhusiano kati ya Diamond na Ricardo Momo aliyekuwa akihojiwa na redio hiyo.

Katika majibu yake, mama Dangote amesema Ricardo na Diamond ni ndugu na baba yao ni Nyange ambaye kwa sasa ni marehemu.
Akizungumza na Mwananchi Digital baada ya kumalizika kwa mahojiano hayo, Abdul amesema amefurahi kusikia jambo hilo akidai kuwa hata yeye alikuwa hajielewi wala kujitambua.

“Nadhani mhusika ameshazungumza sawasawa kabisa,” amesema Abdul na alipoulizwa sababu za kutoweka wazi jambo hilo amesema, “si mmeshapata jibu kwa mwenyewe mnataka mimi niseme nini tena wakati yeye ndio aliyebeba mimba.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…