Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

😂😂😂😂😂😂tumuulize boss wako hadi mishipa ya shingo ilikua inamtoka kulalamika wolper anamkana
Kwa hiyo ukitembea na Wolper na Wema nyota ing'aa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Wema na Wolper ni waganga wakusafisha nyota?

Kwa kipindi Wema anazindua filam,Hamorapa alivyoenda na ile mipendeji ilikuwa sio Kiki.
 
Duuuù, ndiyo mana kidg tu kwenye nyimbo utasia RICARDO MOMOOO, 🤣🤣🤣🤣 Unajivuna et ww n mtot wa Julius, mwulize vzr mama yako unaweza kuta ww n mtot wa Miraji🤣🤣🤣🤣

Ndio maana wanasema una uhakika 100% wa mama yako lakini sio baba yako!
 
Mm nawakumbusha tu mabaharia wenzangu hawa masingle mother hawa tuwe nao makini jaman Leo mzee Abdul anadhalilishwa kwasababu hakuchanga vizur karata zake ujanan
 
Kwao kila kitu ni kiki hawajui kutofautisha uhalisia na maigizo mfano harusi ya esma anzia gari mpaka kumnanga petit

Domo angekua mbali ila familia yake inamdondosha sana. Cheki wanavyoitumia wasafi media vibaya.
Wao wanadhan wanamsaidia kumbe wanamdidimiza. Au wanataka kuwa kardashians wa bongo?
Uswahili mwingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..

Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network

Umbea unakutajirisha fasta ukijua kuutumia. Diamond na familia yake wanalijua hilo..ndio wanawapa umbea sasa kama huo wa kuzua tu

Umbea umempa shigongo utajiri

Umbea umewapa watu wengi ajira wanaendesha magari mazuri na wanajenga kina juma lokole, carry mastory, kumbuka, shilawadu etc

Umbea hauna posho. Twanga Pepeta waliimba zamani. Ila Sasa posho ipo kwenye umbea
 
Hii ishu imekuwa created now coz huyo mzee ni mgonjwa balaa, so wametapika sasa hivi ili siku ikitokea ametangulia wasiende msibani.. ( this is the main reason
 
Mi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..

Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network

Umbea unakutajirisha fasta ukijua kuutumia. Diamond na familia yake wanalijua hilo..ndio wanawapa umbea sasa kama huo wa kuzua tu

Umbea umempa shigongo utajiri

Umbea umewapa watu wengi ajira wanaendesha magari mazuri na wanajenga kina juma lokole, carry mastory, kumbuka, shilawadu etc
Umemsahau MANGE
 
Haya mambo yanatokana na falsafa za familia. Mfano Mimi nimewaandikisha wajomba zangu shule January hii kwa majina ya ukoo wetu kwa sababu tu baba zao wamewatelekeza watoto wao. Hata mama zao malezi yao ni kidogo Sana, asilimia kubwa wanalelewa na bibi ambaye ni mama yangu.
Kwa hiyo huko mbeleni mojawapo akiwa maarufu, atajulikana kuwa Yuko ukoo wetu, Baba yake akija kusema huyu ni mwanangu basi itafahamika hivyo lakini si kwa jina analotaka.

Ukiangalia Ricardo Momo na diamond wanafanana kuanzia sura Hadi sauti. Yule mzee Abdul anatakiwa apewe heshima ya ubaba mlezi na si baba mzazi. Katika miaka ya Sasa malezi Yana nguvu kuliko kuzaa. Ricardo amesema amemlea Diamond Kama mdogo wake tangia diamond akiwa na miaka 10.Mzee Abdul hapewi heshima kwa sababu hakumlea diamond ipasavyo Kama ule masomo wa "ukipenda boga penda na ua lake".

Suala la Sasa ni kuangalia hii familia ya Iddi Nyange ilikuwaje na ikoje Sasa ndugu zao ni kina Nani Ili tujue ukweli.
 
Hii ishu imekuwa created now coz huyo mzee ni mgonjwa balaa, so wametapika sasa hivi ili siku ikitokea ametangulia wasiende msibani.. ( this is the main reason
Nadhani ungeandika Kama unatoa maoni lakini hapa umeandika Kana kwamba ulichoandika Ni kweli na ndivyo kitakavyokuwa, all in all mzee Yuko fit na dai Hana Tatizo na mzee wake.
 
Back
Top Bottom