Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui hata kama ana hilo wazo naona yeye hata akiona unakula hindi la kuchoma anakufata anadhania ni mike aongee.Mzee nasibu achangamkie fursa. Akitaka kuhojiwa aweke bei elekezi ya laki mbili kwa dakika moja. Ili apate hela. Na pesa yote lazima alipwe kwenye account kabla ya kuhojiwa.
Huyu mzee zamani aliwangoa sana maana mambo yake yalikuwa bam bamMama yuko radhi ampe mtoto marehemu ili asigawane pasu kwa pasu na binadamu aliye hai.
Ndiyo maana sasa hivi hapewi supporter!Huyu mzee zamani aliwangoa sana maana mambo yake yalikuwa bam bam
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile appall
Mama tu ameamua kumkomesha chuki tuNdiyo maana sasa hivi hapewi supporter!
Ohhh kumbe hii ndiyo akili yakeMama yuko radhi ampe mtoto marehemu ili asigawane pasu kwa pasu na binadamu aliye hai.
Sauti easy kuiga, Ricardo ameangaika sana kwa waganga ili akubalike na mama DangoteSema ukimsikiliza huyo mchizi(Ricardo) anasound kama Diamond.
Mkuu kuna yule tajiri wa mabasi ya Machame safari alikuwa muuza mitumba, Yan kauza mitumba hadi kununua mabasi hayo,.........Nimegeuza upande mwengine na shilingi,sikuchoshi nimekuuliza Mondi kama angekuwa muuza mitumba kazi yake ya zamani angemg'ang'ania.
Sijakataa huyo katoboa,vipi kama anagekuwa still bado yupo na mitumba yake hajatoboa au bado anauza siso,je angemtafuta.Mkuu kuna yule tajiri wa mabasi ya Machame safari alikuwa muuza mitumba, Yan kauza mitumba hadi kununua mabasi hayo,.........
Hayo mabasi sasa Ni full luxury Dar to chuga hiyo mzee Baba,
Mkuu acha kuwaza mambo ya Diamond unapoteza muda wa kufanya au kuwaza yako. Waswahili wanasema ya ngoswe mwachie ngoswe.Yule mama ni aina ya wanawake waswahili wasiojiheshimu , na wasioelewa thamani ya mwanaume. Si shangai walivyotosana na mumewe na wanaume wengine pia.
Diamond ni mtoto wa kiume . Afikie aanze kumdhibiti huyu mama. Ili naye yasije kumkuta haya ya Mzee Abdul
Odhis *