Uwaziri ukiisha ndio anakumbuka kanisa katoliki aiseeeee what!!!!!January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Mzee Makamba huwa anatukoga kwa vifungu vya biblia kumbe darasa lote kapewa na mama.Safi sana.🙏
Huu ndio uzuri wa Tanzania, siyo ule udini wa faiza.January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Daah harakati zimeanzaJanuary Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Hii historia aliwahi kuizungumza mwenyewe,hata ya kupika na kuuza gongo(enkonyagi) na rubisi aliwahi kuzisimulia pia. Humble background lakini ni 'ntu ya dili' na ndiyo polipomfelisha labda ile yao ya kumpanga mtu na kumbeba kama atakuwa mlengwa wao(Chama Cha Midosho-CCM).Hakuna ugumu, uislamu wa January ulikua wa ukubwani, January kakulia na kulelewa kyaka Kagera kwa Bibi mzaa mama na alikua anaenda Sana kanisani na alibatizwa katoliki wakati huo Baba yake akiwa vitani Uganda , na kavaa Sana rozari na Wana Kagera hasa wa kyaka wanamjua kama mkatoliki ,
Husitukumbushe ile plagiarism ya speech ya Obama, that was such an embarrassment!Mama ni Muhaya kutoka Bunazi Mutukula Mkristo wa kanisa moja tu takatifu la mitume. January ni mtoto muislam- mkatoriki ambaye ameishi maisha ya kuama ama sababu baba yake aliku mjeda mama nesi. January kalelewa bukoba bunazi ata vita ya Kagera alikuwa bukoba anaishi na kusoma kule uku anapima gogo na lubisi pombe maalufua sana kwa watu wa mkoa wa kagera. Trust me guys kama uliwai kukoshwa na hotuba za rais Jakaya kikwete basi Muandishi ni January Makamba a very humble man and the next president to be sasa wewe mtu wa nyanjirinji jitoe ufahamu.
Just be serious nipe mfano wa hotuba nzuri za rais wa nchi mbali na za Nyerere.Husitukumbushe ile plagiarism ya speech ya Obama, that was such an embarrassment!
Mungu gani huyo mpumbavu?Hakuna ndoa ya hivyo,kwa Mungu ni uzinzi tu
Hongera mama kwa kujitunza,bado mbichi kabisa uishi miaka 100
Just be serious nipe mfano wa hotuba nzuri za rais wa nchi mbali na za Nyerere.
I mean kwenye orodha ya hotuba bora za marais wa nchi ya Tanzania. President kikwete was the second.Husitukumbushe ile plagiarism ya speech ya Obama, that was such an embarrassment!
a very good question!JMakamba atachukua fomu 2025?
Fomu ni moja tua very good question!
Allah (s.w) hiyo ndoa haitambui in short kwa mujibu wa mtume Muhammad (s.a.w) hao wana zini tu, alafu usicho kijua uislamu haulazimishi mtu kuwa Muslim, Allah ana tuambia hata kama wote tumuasi ulimwengu mzima basi hata pungukiwa na kitu, kuwa Muslim kwa yoyote yeye Allah hapati manufaa yoyote,Hongera mama January na Baba january kwa kushinda ulimbukeni wa dini. Hapo wengine wangelazimishana mmoja abadili dini lakini ninyi mmeweza kuishi pamoja kila mtu akiheahimu dini ya mwenzake. Hakika huu ni mfano mkubwa wa kuigwa. Nilikuaha sielewi kwenini mzee makamba anaikua biblia sasa nimejua sababu. Hongera wazee kwa fundisho kubwa hili.
Makamba kasoma shule gani ya mission?Makamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Nikishakupa ndio itafuta hio plagiarism aliyofanya na kumuabisha Rais wake (haswa Internationally)?Just be serious nipe mfano wa hotuba nzuri za rais wa nchi mbali na za Nyerere.
“Was the second and among his most famous speeches, was a plagiarized one…”I mean kwenye orodha ya hotuba bora za marais wa nchi ya Tanzania. President kikwete was the second.
Sura ya Mama bado ina nuru kama ana 50 hivi