Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Naumia sana mkuu hasa ukizingatia sina namna ya kurejesha ghrama zangu
Shimo lenyewe wanatushangaa kwanini hata tunalipia hela za mahali,hawa wadudu sio poa kabisa,kama una uwezo acha
kila kitu,Kumbuka wanaweza kukuua wakifanikiwa mission Yao
Kuna jamaa kafukuzwa kwake Dsm na jumba lake.la gholofa kalikimbia na amekuwa confused hata biashara zote akifanya.mke anaziaharibu ili Mwamba ateseka,hawa watu ni hatari sana nina kesi nyingi za wanaume waliobugi kama mimi wanawake akikuwahi,done deal.
Lakini kama Kuna haja stay away from that toxic familia
 
Achana na huyo Mke uishi na Mama Mkwe.
 
Majuto ni mjukuu. Najuta kumjua huyu mwanamke.
Bado hujachelewa,mpige chini anza upya,huko mbeleni hakuna dalili nzuri,

Utaishi na huyo mkeo kwa maisha ya wasiwasi tu,

Life is too short,usiishi kwa kujitesa,piga chini kabla hujamzalisha ili watoto wasije kuteseka na single mother,sioni future ya ndoa hapo.
 
Your case is very complicated.

1st of all jaribu kujua msimamo wa mke wako, je yupo upande wa wako au wa Mama ake?? Umesema alimjibu mama ake "sawa mama nimekuelewa" ila hilo ni jibu tata, hata mm wazazi wangu wakinambia kitu ambacho sikubaliani nacho na sitaki nigombane nao ntajibu hivohivo kama huyo mkeo na sitofanya chochote, so tafuta kujua msimamo wa mkeo ukoje, hapo sasa inabidi utumie tricks za kiume kama kujifanya umefulia, kama utafikiria njia zingine sawa apply them.

Ukishajua msimamo wa mkeo na upendo wake kwako umelalia wapi, bac unaweza sasa uka proceed kufanya maamuzi mengine magumu.

Hii ni kama midlife crisis, kukosea kuoa kunaweza kufanya maisha ya mwanaume yakawa miserable hadi anakufa, Good Luck broo.
 
Badilika anza kuwa huna hela usimshirikishe mambo yako. Badilika ghafla. Usimwambie kitu.

Hapo umekutana na kausha damu.
Sali sana mzee hao ni vigagula visokoropwinyo vibaka kabsa....

Ila haya mambo ya mapenzi unaweza kurudi home ukamwaga siri wana JF ndio tumekushauri. Akatuloga na sisi.😄... penzi la limbwata noma sana....

Kabla sijasahau. Mtie mimba dabo dabo amsahau mama yake awe busy.
 
Sasa tatizo la mkeo au Mama mkwe? Unaanza kumhukumu juu ya watoto, hata hamjazaa? Anakuibia kivipi na duka ni lenu?
 
Kweli kabisa mkuu. Kwa hayo mambo makuu niliyomtendea mke wangu na familia yake sikutarajia kama mama mkwe angenifanyia umafia kama huu.
Kata misaada kiujanja na akikisha una Mfilisi mtaji ulio mfungulia na chuguza Bank ana Akiba ya kiasi gani.
 
Mkuu hiyo option ya pili wanaiweza Wazungu kwa %100
 
Ijapokuwa bado nampenda na ananipa mambo ya nguvu kitandani, sasa uvumilivu wangu umefika. Ndugu zangu wengi nilioongea nao pia walinipa hii option namba 2 lakini nahitaji kwanza kukusanya ujasiri kabla ya kutekeleza hilo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…