Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Pole sana, deal nae perpendicular ila mwanamke mwenye tamaa yq mali hata kwa waganga atakuendea

Kama mama mzazi ndio mwenye akili hizo, basi hapo huna mke
 


"kukosea kuoa kunaweza kufanya maisha ya mwanaume yakawa miserable hadi anakufa, Good Luck broo"πŸ“Œ
 
Wakuu mnazidi kututisha kama mambo yenyewe ndio hayo, sasa yale maviapo makanisani na misikitini ya nini, ivi MUNGU huwa anaweka baraka kweli kwa ndoa za kitapeli?, bora nisije oa kbsaa maan nitaenda jela.
 
Me Kila siku huwa nasema Hapa

MKE ana thamani kubwa Sanaaaaaaa... Wala thamani yake haiwezi kulinganishwa na vyote vitamanikwavyo juu ya hi ardhi

Kama thamani ya MKE ni kubwa Sana basi hata kumpata huyo mke kuna gharama kubwa Sana na Sio ya fedha wala mali

Na ukiwaambia vijana haya maneno wanakujia juu Sana na Wakati huo wanaapetite ya kuoa na kuingia katika NDOA

Kuna tofauti kati ya MKE na MWANAMKE

Kama hi simulizi ni ya Kweli basi huyu Mkuu ameoa MWANAMKE na Sio MKE na ni HATARI Sana kwa future ya MWANAUME kuoa MWANAMKE

Tazama yaliyomkuta kamwe MWANAMKE hawezi kua na huruma na wewe, atakuigizia upendo fake na target yake ipo kwenye Pesa na mali zako

Wanaume walifanikiwa kuoa WANAWAKE wamekufa mapema Sana



Nakazia Tena kwa vijana wenzangu wa kiume

KOSEA VITU VYOTE ILA USIKOSEE KUOA.... TAFUTA MKE UOE USIKUBALI KUOA MWANAMKE ATAKUMALIZA πŸ“Œ

NOTE : ILI UPATE MKE LAZIMA NA WEWE UWE MME
 
Wakuu mnazidi kututisha kama mambo yenyewe ndio hayo, sasa yale maviapo makanisani na misikitini ya nini, ivi MUNGU huwa anaweka baraka kweli kwa ndoa za kitapeli?, bora nisije oa kbsaa maan nitaenda jela.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

TAFUTA MKE kijana uoe, usioe MWANAMKE
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

TAFUTA MKE kijana uoe, usioe MWANAMKE
huyo unampta wapi mkuu? hao walioend age ni used wakutupwa, hivi vibint vya 2000 bado vinataka kula bata wee, havijui maisha, sometimes nikifikiriaga sana nasema potelea mbali bora nije nizalishe nilee wanangu tu.
 
Mkuu simple sana, fanya uchunguzi anapendelea nini, mtume binti yake ampelekee kama mara 3 hivi safar ya nne peleka mwenyewe. Kisha siku nyingine mwambie kuna kitu mkwe nataka kukutana nawe nikuelezeee unishauri, akija muitie sehem lounge kali sana, mpe anavyopenda kula na kunywa, ksiha muombe radhi umeitwa dharula, kwa vile anapenda hela muachie laki mezani. Mwamvie utamuita tena, wakat unafanya hayo unamsoma respond yake, pia unamvuta aanze kukuwaza.

Ukimaliza hii hatua nirejee hapa nikupe point ya kumalizia vua chupi hiyo maza ujenge heshima.
Ikibidi naweza kumpelekea ili kulipiza fedha zangu ambazo nimetumia kumjengea choo na jiko la kisasa lakini naanzia wapi mkuu?
 
Jambo ni moja kuwa kila mnachofanya sio kwa ajili yenu tu bali na kwa watoto wenu, hivyo hamna budi kuhakikisha mnajenga misingi bora kwa ajili ya siku zijazo.

Asipoelewa hapo huko mbele sikio la kulia litakuwa kwako wakati la kushoto lipo kwa mama na ndoa itakuwa kwenye vikwazo.
 
huyo unampta wapi mkuu? hao walioend age ni used wakutupwa, hivi vibint vya 2000 bado vinataka kula bata wee, havijui maisha, sometimes nikifikiriaga sana nasema potelea mbali bora nije nizalishe nilee wanangu tu.

Mithali 19:14

"Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana"

Inategemea mahusiano YAKO na MUNGU wako, kama ni mazuri atakuongoza kupata MKE 😁
 
Huyu mother kweli anaudhi sana aisee! Dawa yake inaweza kuwa hiyo mkuu. Ngoja nitafute ujasiri kwanza.
 
Tulishasema tukatae ndoa jamani.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamii forum ina bipolars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…