Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ni wachache wenye roho mbaya ndio hawafanyi hivyo ila wamama ntilie wengi hata ambao sio wa ukanda huo wanafanya sana hayo.Yes. Upo sahihi mkuu. Wengi ni wa kipato cha chini, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo.
Kuna mama wa kizaramo alikuwa ni mama Lishe zamani wakati nipo mdogo. Alikuwa akimaliza kuuza chakula, ilikuwa lazima anibakishie wali na maharage. Si unajua tena sisi watoto wa uswazi tunavyopenda ubwabwa??
Mungu aendelee kumpa pumziko jema mama yule huko mbinguni..
Sasa umetuandikia usenge Gani huu?Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje?
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
From my experience, wengi wenu hamkusoma sana na mna vipato vidogo, lakini Mwenyezi Mungu amewapa mioyo iliyojaa upendo mnoo.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara na sio mtu wa Pwani.
Kama unaniamini unaweza ukanitumia kisha mimi nitampa na kumjulisha kuwa amepewa na wasamaria wema.Ningeomba utushirikishe na sisi tumsaidie japo kwa michango kidogo kwa kadri tutakavyo jaaliwa.
🤣🤣🤣 Sasa wewe unachelewa kufanya maamuzi mi nifanyaje baba?We jichanganye ujute utaishia kuvaa vijora bila kyupi
tulia usimwage mchele kwenye kuku wengi 😂🤣🤣🤣 Sasa wewe unachelewa kufanya maamuzi mi nifanyaje baba?
Slope ni tabia na haihusuani na kipato,hao wa watu wa pwani mnaeza kuwa hata mwafanya kazi pamoja na mshahara mpo sawa,ila bado Kuna namna atajining'iniza Kwa mtu TU!!!Kwani mtu wa kipato cha chini akiomba msaada kuna ubaya gani??
Hamna neno naomba tuwasilianeKama unaniamini unaweza ukanitumia kisha mimi nitampa na kumjulisha kuwa amepewa na wasamaria wema.
ANGALIZO: IF YOU CAN TRUST ME.
Mseng* baba yako kum* wewe. Welcome to my ignore list. SSIT wamekutuma kunifanyia psychological provocation?? Kum* l* m*m* yako..Sasa umetuandikia usenge Gani huu?
Sijawahi kumsikia akitoa kauli ya kibaguzi lakini wafuasi wake walikuwa na kauli za kibaguzi na hakuwakemeaMaalim alikuwa mpinzani safi sana. Muungwana, hatoi matusi jukwaani.
Ninamuomba Mwenye Mungu aendelee kumpa pumziko jema yule Mzee wetu..
Poa mkuu..Hamna neno naomba tuwasiliane
Mkuu, Jenga picha unakuja kupata mtoto kama Maalim Seif au Dr. SheIn. Safi sana mkuu..Sijawahi kumsikia akitoa kauli ya kibaguzi Cha wafuasi wake walikuwa na kauli za kibaguzi na hakuwakemea
AiseeMwanamke mjamzito huwa anatia huruma fulani hivi.
Jana tulikuwa tunaongelea watu wanaokuja kwa Mwamposa kutoka mikoani na kukosa huduma za kijamii. Kuna jamaa mwanaume anasema ilibidi amuokoe mwanamke mjamzito aliyekuja kwa Mawamposa bila mwenyeji, akawa anaumwa, ikabidi jamaa amchukue ampeleke nyumbani kwake, ambako alikuwa na mke tayari, mpaka akaingia lawamani majirani wakawa wanamwambia mke wake kwamba huyo bwana kamletea mkemwenza.
Walianza kumtuma Hellen akaja Proscovia, sasa hivi wamekutuma wewe?? Nitakutolea matusi mpaka ushangae. Sitaki ujinga sasa hivi...Sasa umetuandikia usenge Gani huu?
Kuna watu ni low income earners ila wana huruma mnoo..Aisee
Hata kama ni vetting hazifanywi hivyo mbw* wewe. Unamtukana mtu hajakufanyia jambo lolote baya. Nenda U.K na Russia uone jinsi wanavyofanya vetting zao kama mtaona wanatukana.Sasa umetuandikia usenge Gani huu?
Kweli kabisa mkuu. Mama wa watu amejitoa mhanga. Mungu kamnyima mali akampa karama ya upendo..Hiyo ndio tafsiri ya kutoa ni moyo na sio utajiri.
Mtanzania anayo dini ila serikali yake haina dini. Nchi yetu Haina dini. It's a secular state.Au sio ila pale kuapishana utasikia ee MUNGU nisaidie, serikali inaamini katika MUNGU?
yaaaah kutoa kwa moyo mkunjufu kuna faida sanaa.Kabisa ila watu wengu hawalijui hili. Ukiwa unatoa kwa moyo Mungu anakurudishia zaidi yake.
Mimi huwa natoa niko hivyo, naambiwa toka mdogo nina huruma. Nimerudishiwa kwa mengi sana.
La mwishoni, nilikuwa na fundi ujenzi, nikamuona mlemavu mkaka anasotea miguu. Nikawaza bora angekuwa kwenye vibaiskeli vya kusukuma.
Ilikuwa njiani, nikakunja 20k, nikamuomba fundi, akampe. hakukuwa na parking. Ananiambia alishangaa sana, akamwambia mbona nyingi? Ina maana labda huwa anasaidiwa pesa chini ya hapo.
Tulichoenda kufata hatukukipata, tukageuza, nikamuona tena mmmh!!!
Safari hii nilishuka mwenyewe, alikuwa anaingia sehemu ya kula, ilikuwa asubuhi. Nikasalimiana naye na kumpa tena 30k alishukuru sana na ni mpole sana anaonyesha. Nikawaomba wahudumu wamuhudumie chochote, pesa anayo.
Mwezi huu nilimwambia mtu wa karibu, mradi mpya naotaka kuanzisha bahati nzuri ni mwana JF. Aliniongezea 5m. Ilinichukua muda kuunganisha ile 50k imelipwa imekuwa 5m. Nilitoa kwa moyo mmoja kwa yule kaka. So kwenye kutoa ndiyo kunakupokea.