Mama mwenye hali ngumu anakaa na binti mdogo mjamzito ambaye sio ndugu yake

Aiseee huyo jamaa yako ana roho ya ibilisi kabisa
mkuu hilo ni tukio moja, nikieleza hapa huwez amini jamaa ana roho mbaya mnooo.
ila yeye sasa anapenda saidiwa balaa, mtaa anao kaa hakuna mtu anapatana nae. ofisini ni mtu mkubwa tu ila akijua haumkubali ama una urafiki na mtu asiye mkubali basi anakupiga zengwe ufukuzwe

kifupi jamaa ana roho mbaya sana
 
Duuh mkuu, hii mbona ni balaa sasa??
 
A sad truth
 
A sad truth kongole mkuu
 
Wazaramo wakarimu sana ila hao wandengereko sidhani kama upo sahihi.
 
Aisee hiyo ni ibilisi.
Sio mpare huyo mtu?
 
Mkuu, may you please elaborate this more??
Yes , I can elaborate it .
Yesu alitoa mifano mingi.
Mmoja alisema wazinzi na walevi watawatangulia kuingia kwenye ufalme wa mbinguni alimaanisha kuwa kuacha tabia ya uzinzi na ulevi haitoshi kukudanya uingie mbinguni ikiwa moyo wako huwaza mabaya juu ya mwingine, au ikiwa huleti furaha katika maisha ya mtu mwingine.
Kuhusu haki yenu isipozidi haki ya Mafarisayo hamtairithi mbingu maana yake ni kwamba watu wa Mungu wanapaswa kuwa na moyo safi na matendo safi zaidi kuliko watu wa dini.
Yaani you should do more than religious people they do.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…