Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #81
Kuna watu wana elimu ndogo na vipato vya chini, ila Mungu amewapa roho za upendo mnoo..Andiko laki linatufundisha nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wana elimu ndogo na vipato vya chini, ila Mungu amewapa roho za upendo mnoo..Andiko laki linatufundisha nini
Inasikitisha sana mkuu..Huyo ni troll tu, nimempeleka ignore list.
Anakuja kuharibu nyuzi za watu tu.
Mhhh. CCM na siasa tena??Hongera! Siku hizi umetelekeza chama cha CCM. Huweki uzi kusifia tena. Wewe pamoja na malaria sugu mepotea sana
Ni roho tu njema ya watu wa Pwani..Maskin hana cha kupoteza
Sawa. Kila la kheri..Huyu mama kwani ni mzaramo? Au kuishi dar lazima uwe mzaramo? Mimi nafikiri huyo mama ni msukuma.
Hakika mkuu..Huyo mama anaishi maisha ambayo ni sahihi sana . Kafanikiwa kuigusa Ile sehemu yake ya juu .
Pia anajitengenezea good karma
Kwa level ya Kiranga, hao ni vijana wa hovyo tu..nimecheka sana majibu yako kwa jamaa hahahahaha msikilize mkuu labda mnafahamiana hahahaha
Kiranga ni mswahili sanaKwa level ya Kiranga, hao ni vijana wa hovyo tu..
Hio DP hapo vp!?Mkono utoao ndo upokeao daima
mkuu hilo ni tukio moja, nikieleza hapa huwez amini jamaa ana roho mbaya mnooo.Aiseee huyo jamaa yako ana roho ya ibilisi kabisa
Duuh mkuu, hii mbona ni balaa sasa??roho nzuri ama mbaya ni mtu kuzaliwa nayo
nna mshikaji wangu ana roho mbaya ana roho ya uchoyo hata yeye analijua hilo
kuna siku tumekaa analaumu kwa nini mtoto wake wa kwanza ni me hana roho ya mbaya (uchungu na kitu chake )
anamfurahia mtoto wake wa kike kumfata roho ya uchoyo (yeye anaita uchungu na kitu chake)
A sad truthHawajali hilo na nadhani pia wapo sahihi!, kuna raha gani kumalizia uzee na drip za insulin pamoja na madawa ya presha wakati mzaramo anapiga chai chapati hadi anaingia kaburini
Tunayachukulia maisha seriously sana lakini mwishoni impact yake ni magonjwa ya gharama
A sad truth kongole mkuuHawajali hilo na nadhani pia wapo sahihi!, kuna raha gani kumalizia uzee na drip za insulin pamoja na madawa ya presha wakati mzaramo anapiga chai chapati hadi anaingia kaburini
Tunayachukulia maisha seriously sana lakini mwishoni impact yake ni magonjwa ya gharama
Kwa huo wema wao hawanaga makuu kama sie WakiraYes, mkuu. Watu wengi wa Pwani wakiwemo wazaramo na Wandengereko, licha ya watu kuwasema kuwa wanatabia za uswahili kupenda taarabu na singeli, ni watu wenye mioyo mema mnoo..
Wazaramo wakarimu sana ila hao wandengereko sidhani kama upo sahihi.Mambo vp wadau??
Ninaomba radhi kwa uandishi m-bovu.
Kuna mama mmoja yeye ni mzaramo. Ni mama mkaanga Samaki amepanga chumba na sebule huku mtaani kwetu (Kodi Jumla 30,000/= kwa mwezi). Huyu mama muwewe alifariki kama mwaka na nusu hivi umepita. Sasa kulikuwa na Binti mmoja alibeba ujauzito hapa mtaani, huyo Binti hana baba wala mama (umri kama miaka 16 au 17 hivi).
Huyu Binti ni Mnyakyusa wa Mbeya wazazi wake wote walifariki katika vipindi tofauti tofauti ila wa mwisho kufa alikuwa ni mama yake mzazi.
Sasa cha kushangaza huyu mama muuza Samaki, ambaye anaishi maisha magumu mno (faida ya Samaki labda ni 10,000 tu kwa siku) ameamua kumchukua huyu binti anakaa naye hapo alipopanga ilhali hana hata undugu naye.
Wanapika, wanakula, jioni wanaenda kuuza Samaki zao za kukaanga barabarani, huyu dada akiwa na tumbo la ujauzito.
Hii roho ya huyu mama mkaanga dagaa mpaka ninaogopa kwa maana katika hali ya kawaida watu wengi wenye vipato vidogo wanaogopa mizigo zaidi, lakini huyu mama kamchukua huyu Binti anakaa naye kama vile ndugu yake. Hivi wakuu, roho kama hizi huwa mtu anazaliwa nazo au inakuwaje??
Watu wa Pwani (Wazaramo, Wandengereko,n.k) Mwenyezi Mungu awabariki sana.
NB: Mimi ni kabila la mkoa wa Mara..
Aisee hiyo ni ibilisi.mkuu hilo ni tukio moja, nikieleza hapa huwez amini jamaa ana roho mbaya mnooo.
ila yeye sasa anapenda saidiwa balaa, mtaa anao kaa hakuna mtu anapatana nae. ofisini ni mtu mkubwa tu ila akijua haumkubali ama una urafiki na mtu asiye mkubali basi anakupiga zengwe ufukuzwe
kifupi jamaa ana roho mbaya sana
Yes , I can elaborate it .Mkuu, may you please elaborate this more??