Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Hayo mambo ya laana kuna watu hawayafikirii aise! Muhimu ni kutii mamlaka na kujiepusha kushindania na wenye mamlaka vinginevyo mnyonge utaishia kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu,maana wasukuma hamtaki vikongwe ndiyo maana mnawakata mapanga ila wanyambo/ Wahaya awana huo utamaduniLEO NDIYO NIMEAMINI WAANDISHI WA HABARI BONGO NI VITUKO...YAANI KIKONGWE WA 81 NAYE ANAITISHA PRESS conference NANYI haraka mnamkimbizia mic , Mimi siyo mwana habari ila nadhani kuna pahala mnafeli sanaaaa
Siku zote wana siasa wanakupenda ukiwa ujapata matatizo ukishapata matatizo tu wanakukimbia.Dah umeugusa moyo wangu! Kinachoniuma wale wote waliokuwa wanashirikiana nae wamekaa pembeni anapata tabu peke yake,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli uwezi kusikia mwananchi wa marekani, ujerumani, England, wakitukana serikali zao na nchi zao kwenye vyombo vya habari vya Russian, Iran, China, Korea kaskazin.Huwezikuta jamii za watu walioelimika na kustaarabika mambo haya.
Yaani hili la kabendera nikiliona nacheka tu maana wiki moja baada ya kukamatwa kwak, huku kwenye mitandao ya kijamii kulichafuka na hash tag ya FREE KABENDERA.
na kuna watu ndio wakaifanya kabisaa kuwa ajenda yao, lakini wiki mbili mbele akajikuta anabaki pekee yake, tena nakumbuka siku anaenda kusikiliza kesi yake kwa mara ya kwanza aliingia mahakamani katuna na tabasaamu kwa mbaaali huku pembeni kakaa na zito, ila alivyoanza kugundua kabaki pekee yake hata na rangi ya ngozi ake ikaanza kubadilika.
Hapa kuna funzo kubwa sana kwa kwetu sisi.
Mr perfect.Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk
Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka
Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa.Unajua kuzaa tu kulea hujui mwanamke wewe mama kabendera.Looo!!
Kuzaa hata ngedere na mbwa anazaa kazi Ni kwenye malezi ndio tofauti iliyopo Kati ya hao wanyama na binadamu
Mama kabendera hukutimiza wajibu wako Kama mama ulizaa tu uiawaachia watoto dunia ndio iwafunze
Kwa mfumo wa uongozi wa Serikali hapa Tanzania hayo unayoyaombea hayatatokea kamwe, niseme tu sahau hizo ndoto zako. Kama unafahamu wakati wa machafuko Zanzibar na DSM (mwembechai) kuna watu walisema Mkapa akitoka madarakani atapata tabu sana mara atapelekwa ICC na maneno mengi, lakini mpaka sasa hivi anakula mafao yake na hakuna wa kumgusa so ht kwa huyo unayemzungumzia itakuwa hivyo hivyo, kwa Tanzania sahau mkuu!Kuna siku baada ya kutoka kwenye madaraka mkuu wenu yatamkuta mambo na kila mtu hata aliyekuwa mpambe wake wa karibu atamkimbia na atachekwa na kila mtu hadi waliojifanya washkaji wake.
Time will tell.
Hebu simulia alivyoikosea mamlaka alifanyeje mpaka mamlaka inamwadhibu. Kwa vitendoNimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
Mama hawezi jua mishe zote za mtoto wake. Kama kabendera hana kosa naunga mkono aachiwe ila kama ana makosa hakuna wa kumsaidia hata mama alie vipi haisaidii kitu.Kabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Kabisa mkuu, hasa mama anasema Erick alikuwa anafanya kazi zake nyumbani hadi saa saba za usiku! Bila shaka hizo kazi ndio zile Makala alizokuwa anazi leta Pasco humu kila sikuDah umeugusa moyo wangu! Kinachoniuma wale wote waliokuwa wanashirikiana nae wamekaa pembeni anapata tabu peke yake,
Sent using Jamii Forums mobile app