Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

LEO NDIYO NIMEAMINI WAANDISHI WA HABARI BONGO NI VITUKO...YAANI KIKONGWE WA 81 NAYE ANAITISHA PRESS conference NANYI haraka mnamkimbizia mic , Mimi siyo mwana habari ila nadhani kuna pahala mnafeli sanaaaa
Pole sana mkuu,maana wasukuma hamtaki vikongwe ndiyo maana mnawakata mapanga ila wanyambo/ Wahaya awana huo utamaduni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwaamini wanasiasa ni kujipalia makaa, sisi hapa jf ni wafauata upepo tu ndio maana hapa watu walishupalia weeee lkn sasa hatuoni tena zile kelele
Yaani hili la kabendera nikiliona nacheka tu maana wiki moja baada ya kukamatwa kwak, huku kwenye mitandao ya kijamii kulichafuka na hash tag ya FREE KABENDERA.
na kuna watu ndio wakaifanya kabisaa kuwa ajenda yao, lakini wiki mbili mbele akajikuta anabaki pekee yake, tena nakumbuka siku anaenda kusikiliza kesi yake kwa mara ya kwanza aliingia mahakamani katuna na tabasaamu kwa mbaaali huku pembeni kakaa na zito, ila alivyoanza kugundua kabaki pekee yake hata na rangi ya ngozi ake ikaanza kubadilika.
Hapa kuna funzo kubwa sana kwa kwetu sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka siku Kabendera amepelekwa mahakamani na Zito akaenda kutaka kukaa pembeni yake kwenye benchi, kama vile nafasi haikutosha Zito akahamia benchi LA pembeni kuna jamaa tuliekuwa nae alisema Zito anamponza huyo jamaa.
Ile kauli sikuitilia maanani lakini badae niliielewa vizuri na ninazidi kuelewa, hawa watu ndio waliomponza na sasa anasota wao wanapiga mluzi tu mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku baada ya kutoka kwenye madaraka mkuu wenu yatamkuta mambo na kila mtu hata aliyekuwa mpambe wake wa karibu atamkimbia na atachekwa na kila mtu hadi waliojifanya washkaji wake.
Time will tell.
 
Wazazi tuache kudekeza watoto tuwafunze kuishi na wakubwa zao vizuri Wawe ndugu,watu wazima wa mitaani,ofisini, serikalini nk

Kabendera Ni zao la ujinga wa wazazi wake akiwemo mama yake hasa hakumfunza jinsi ya kuishi na watu waliomzidi kiumri na kimadaraka

Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Mama kabendera lawama zote na ziwe juu yako kwa kutomfunza vizuri mwanao Hadi kusababisha dunia ishike nafasi ya kumfunza kwa ujinga wako na kutomfunza mwanao vizuri Kama mzazi uliyemzaa.Unajua kuzaa tu kulea hujui mwanamke wewe mama kabendera.Looo!!

Kuzaa hata ngedere na mbwa anazaa kazi Ni kwenye malezi ndio tofauti iliyopo Kati ya hao wanyama na binadamu

Mama kabendera hukutimiza wajibu wako Kama mama ulizaa tu uiawaachia watoto dunia ndio iwafunze
Mr perfect.
Uliyefunzwa vizuri. Hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku baada ya kutoka kwenye madaraka mkuu wenu yatamkuta mambo na kila mtu hata aliyekuwa mpambe wake wa karibu atamkimbia na atachekwa na kila mtu hadi waliojifanya washkaji wake.
Time will tell.
Kwa mfumo wa uongozi wa Serikali hapa Tanzania hayo unayoyaombea hayatatokea kamwe, niseme tu sahau hizo ndoto zako. Kama unafahamu wakati wa machafuko Zanzibar na DSM (mwembechai) kuna watu walisema Mkapa akitoka madarakani atapata tabu sana mara atapelekwa ICC na maneno mengi, lakini mpaka sasa hivi anakula mafao yake na hakuna wa kumgusa so ht kwa huyo unayemzungumzia itakuwa hivyo hivyo, kwa Tanzania sahau mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashitaka yoote yanayomkabili kabendela ni matokeo ya ukaribu aliokuwa nao kwa marehemu Rwajabe hayo mengine ni kupotezea mda tu, Kabendera anaweza akawa anatumika ili hali wahusika wanajificha kwenye tukio ambalo huenda wanajua wakimwacha kabendera akiwa huru atalimwaga na watu watajua hata kama wanajua lakini pasiwepo wa kulielezea , kumbukeni yuko wapi Azory na story za Mkiru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Mama hawezi jua mishe zote za mtoto wake. Kama kabendera hana kosa naunga mkono aachiwe ila kama ana makosa hakuna wa kumsaidia hata mama alie vipi haisaidii kitu.
 
Wapi Gadafi, wapi Saddam, wapi Hitler, wapi Mugabe? Ukijiuliza hawa wote wako wapi basi utaelewa kuwa mambo ya dunia ni ya kupita na kwa haraka sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umeugusa moyo wangu! Kinachoniuma wale wote waliokuwa wanashirikiana nae wamekaa pembeni anapata tabu peke yake,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu, hasa mama anasema Erick alikuwa anafanya kazi zake nyumbani hadi saa saba za usiku! Bila shaka hizo kazi ndio zile Makala alizokuwa anazi leta Pasco humu kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom