Mama mzazi wa Martha Mwaipaja alia kwa uchungu, akithibitisha kuwa mwanae huyo hamsaidii kutokana na mzozo na mdogo wake Beatrice

Tutasikia mengi wakati huu, mwaka unaisha kwa kiki.
Lol
 
Huyu mama ni mnyakyusa mwenzangu maana hata kiswahili chake ni cha kinyakyusa..... Ndo nashangaa \ po nguswigha/
 
Martha anajitafutia laana bure, machozi ya mzazi sio mchezo. Mungu amsaidie sana.
 
Hawa wanaoita Mungu Mungu! Siku ya mwisho wengi watakua kwa shetani
 
Kila familia ina matatizo,acheni kuwa wasemaji. Hawa watakuja kupatana yawashuke..
 
Hawataki kusema kiini cha tatizo. Ukweli ni kwamba huyo Joan ndio mume wa Martha anamsugua rosecoco yake hao ni malesbian Joan ndiye anayeamua kila kitu sababu yeye ndio mume. That mwimbaji ni just another daudghter of satan ndio maana hawezi hata kumjali mtoto wala ndugu zake. Saitani mkubwa.
 
1)SI LAZIMA mtoto amsaidie mzazi wake.Wala si kosa kisheria mtoto asipomsaidia mzazi wake.
Si lazima mtoto awe rafiki na mzazi wake wapo watoto walioweka uadui na wazazi wao.

2)njia waliyoitumia ya kulalamika kwenye vyombo vya habari si ya busara,wangeweza kutumia vikao vya ukoo familia,au viongozi wa kiroho makanisa,ai njia nyingine tyoyote ya mabaraza ya usuluhishi ya kijamii.

3)mzazi amejishushia heshima mana afikirie kipindi kabla hajamzaa huyo mtoto au kabla mtoto hajakuwa na mad
fanikio aliyonayo,au kama asingekuwepo au asingekuwa na mafanikio aliyonayo...au aingekuwa hai...au akifikisika akawa fukara ..je maisha hayataendelea bila kuhitaji msaada wa mwanaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…