TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

MUNGU amuweke mahala pema mama Kabendera..mnaosababisha mama zetu wafe kwa mawazo mlaaniwe vizazi vyenu vyote, mama zenu, shangazi zenu, binamu zenu, watoto wenu, wajukuu zenu na mpaka kuku wenu wafe pia kama ambavyo wamekufa ndugu zetu kwa sababu zenu!
Ameni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba hawawezi onekana hapa

R.I.P mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Lumumba waliokuwa wanasumbua hapa walikuwa vijana wa January makamba nape na nwigulu njemba, walioko sasa hawajui kujieleza wao ni kutumia bunduki na kuteka, Ccm yetu asili ndio ilikuwa na hoja ya mawazo kushindana kimawazo, hiii Ya sasa ya makonda ni ya kuteka na kupeleka mahakamani haiwez kuja kwenye majukwaa ndio maaana 2020 kutatokea matatizo mengi kwenye Uchaguzi maaana wao hawana hoja hawajui kujieleza au kujibu hoja wao hoja yao ni kuagiza Polis ndio nguvu walionao Ccm mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una wazazi??
Acha uongo eti watz wengi. Mtoto wake aache apate alichokuwa anakitafuta kwa hao mabeberu. Si unawaona last time walihudhuria hapo Kisutu? Walishindwaje kumsaidia huyo mama kama alikuwa kweli anahitaji msaada wa pesa za matibabu?

Kabendera anapata alichokuwa anakitaka kuna uwezekano hata Mwenyezi Mungu ameamua kumpa somo hili ili ajifunze siku nyingine aache kutumika na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania bado hatuna sheria iyo ila katiba yetu yakizamani sana naona kungekuwa na mabadiliko has a kama mtuumiwa akimpoteza mpendwa wake mama baba watoto na mke au Mme apewe ulinzi akamzike sheria zetu zinamakosa mengi sana ata msongamano wa maabusu magerezani unaweza kupunguzwa kwa kuileta katiba mpya kama mtu akikaa miaka miwili gerezani au mwaka mmoja upelelezi haujakamilika mtu apewe dhamna asikilizie kesi nje
R.I.P mama

Wenye ujuzi na sheria, kijana wake aliyepo mahabusu ataruhusiwa kuhudhuria mazishi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa
Kama utawaza kwa namna tofauti huu msiba unaweza kumfanya Eric kuwa more strong than ever.

Kuna matukio ukikutana nayo kwenye Maisha unafikia stage ya kusema to hell with this kwa maana u left no one behind.

Rest in Peace Mama Kabendera, you left your son fighting against the world.

Eric be strong no one is perfect and once they said there is Alpha means the Omega will come as well!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama mzazi wa mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019.

Amefariki akiwa Hospitali ya Amana alikokuwa akip

View attachment 1308015

Soma pia: Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Pole sana kwa Familia yake na tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu ampokee na amlaza mahala pema peponi. Tuacheni kuihusisha Kazi ya Mungu kwa Matukio yetu na hasa kwa tukio la Mwanae kwani hapa tutakuwa tunaingilia Kazi yake. Hakuna ambaye anajua kama Mwanae angekuwepo angeishi hadi hivi leo au labda angekufa tokea Kitambo. Najua ni Pigo Kubwa sana kwa Erick na litamuumiza sana kwakuwa yupo matatizoni na sina uhakika kama Sheria za Tanzania au nchi zingine huwa zinaruhusu Mahabusu au Mtuhumiwa au Mfungwa atolewe Gerezani kwenda Kumzika Mzazi wake ila ninachomuomba tu Erick ajikaze, apambanie Haki yake basi pale akitoka huko ataenda Kuzuru mahala ambapo Mama yake Mpendwa amelala Milele. Hata hivyo kupitia hiki Kifo na tukirejea nyuma jinsi Marehemu alivyokuwa akiomba Mwanawe asamehewe tunaweza Kujifunza Somo zuri sana la kwamba tunatakiwa tuwe makini sana hasa katika Nyakati hizi pale unapojipambanua kuwa Mpambanaji kwa Kwanza Kujiuliza je, huna Kundi Kubwa la Watu ambao wanakutegemea huko nyuma? Na kama lipo je, yakikupata ya Kukupata umeshawaandalia Maisha ya Wao kuishi vyema hata kama Wewe utakuwa matatizoni na wale wenye Chuki nawe? Je, hawa ambao wanakushangilia Mitaani na Mitandaoni Siku yakikupata ya Kukupata watakuwa bega kwa bega na Wewe au hata Kuwasaidia Watu wa Familia yako wakiwa na Shida? Mwisho namalizia tu kwa kusema kuwa mambo mengine huwa tunayalazimisha wenyewe na mengine tunalazimishiwa hivyo tujitahidini mno kuwa makini na kamwe tusiwaamini Watu ambao wapo karibu yetu kwani Siku zote Kikulacho Ki Nguoni mwako.

Poleni nyote kwa Msiba huu na pole tena Kwako Erick Kabendera.
 
Shocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P
Karma utaanza kwa maandiko yako ya kuchochea kukamatwa kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kuna watu wana roho mbaya sana,nimejaribu kujiweka kwenye viatu vya marehem before hajapata umauti pamoja na Erick mwenyewe.Ts very sad.
Mungu amuangazie mwanga wa milele na aipe familia ya marehem amani.

Lakn mjue karma is a bitch!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kwa Familia yake na tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu ampokee na amlaza mahala pema peponi. Tuacheni kuihusisha Kazi ya Mungu kwa Matukio yetu na hasa kwa tukio la Mwanae kwani hapa tutakuwa tunaingilia Kazi yake. Hakuna ambaye anajua kama Mwanae angekuwepo angeishi hadi hivi leo au labda angekufa tokea Kitambo. Najua ni Pigo Kubwa sana kwa Erick na litamuumiza sana kwakuwa yupo matatizoni na sina uhakika kama Sheria za Tanzania au nchi zingine huwa zinaruhusu Mahabusu au Mtuhumiwa au Mfungwa atolewe Gerezani kwenda Kumzika Mzazi wake ila ninachomuomba tu Erick ajikaze, apambanie Haki yake basi pale akitoka huko ataenda Kuzuru mahala ambapo Mama yake Mpendwa amelala Milele. Hata hivyo kupitia hiki Kifo na tukirejea nyuma jinsi Marehemu alivyokuwa akiomba Mwanawe asamehewe tunaweza Kujifunza Somo zuri sana la kwamba tunatakiwa tuwe makini sana hasa katika Nyakati hizi pale unapojipambanua kuwa Mpambanaji kwa Kwanza Kujiuliza je, huna Kundi Kubwa la Watu ambao wanakutegemea huko nyuma? Na kama lipo je, yakikupata ya Kukupata umeshawaandalia Maisha ya Wao kuishi vyema hata kama Wewe utakuwa matatizoni na wale wenye Chuki nawe? Je, hawa ambao wanakushangilia Mitaani na Mitandaoni Siku yakikupata ya Kukupata watakuwa bega kwa bega na Wewe au hata Kuwasaidia Watu wa Familia yako wakiwa na Shida? Mwisho namalizia tu kwa kusema kuwa mambo mengine huwa tunayalazimisha wenyewe na mengine tunalazimishiwa hivyo tujitahidini mno kuwa makini na kamwe tusiwaamini Watu ambao wapo karibu yetu kwani Siku zote Kikulacho Ki Nguoni mwako.

Poleni nyote kwa Msiba huu na pole tena Kwako Erick Kabendera.
Nimesoma Maelezo ya huyu mtu nimejifunza kitu kuwa kumbe hata wauwaji wanamuogopa MUNGU yani amejitahid kweli kweli kuwa mnafiki yani ukisoma utagundua kuwa Alikuwa anatype Wakati huo huo dhamira yake ikimsuta yani anaongea kuonesha kuwa hili tukio kalifurahia Lakini roho yake ikiwa inamsuta anashindwa kutamka wazi yani anakuwa mzito wa kutamka wazi kutokana na dhamira yake kumsuta, yani huyu ni mla Nyama za binadamu Lakini dhamira inamsuta kuwa anachofanya au wanachofanya ni dhambi kubwa Sana Kwa MUNGU, dhamira inamzuia kuwa wazi anajikaza ajiweke wazi kufurahi kifo hiki Lakini dhamira inamzuia na kumkataza anajikuta anakimbilia sheria Kuelezea kuwa sheria hairuhusu, yani huyu ni sawa na mtu alieua halafu akaenda kwenye msiba utamuona anavyohangaika na huyu sio Mtoto huyu ni mtu mzima tena ni msomi na Yuko kwenye cheneli kubwa Lakini mwangalie anavyotapatapa mashtole nyie cleveverbright, wala Nyama za watu nyie, mmesababisha nilie Sana halafu mnakuja humu kutetea si mkae huko huko waja nini kuelimisha humu sasa watoto wa watu wajifunze Wakati wamebambikiziwa makes ya uongo kisa wanewakosoa? Au unataka kutuaminisha kuwa Yule Erick katenda kosa? Mmeshindwa kuwachukua waliopiga hela za umma wakajiita kuwa hivyo ni vijicenti, wakasema hizo ni hela za Mboga au watu Wa Richmond ndio mnawakamata watoto wa watu kisa wamewakosoa, shenzi Sana mijitu Kama hiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jinga mahakama gani iamue wakati kila akipelekwa mahakamani wanaambiwa upelelezi bado. Yani mtu anakamatwa mwaka unaisha kila siku upelelezi bado hayo mashtaka aliyafanyia ahera ambako hawawezi kupata ushahidi? Siku nyingine ujinga wako weka pembeni huko!
Hivi Tanzania nchi ikoje hii? Unamkamataje mtu na kumfungulia mashtaka bila ushahidi? Haki za binadamu ziko wapi? Watu wanateseka tu rumande kwa makusudi tu ya kuwatesa!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom