Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Kwa sasa ameshaonja utamu wa siasa(apart from being a first lady) naona amenogewa sasa.Inafikirisha sana, kwa umri wake alitakiwa atulie nyumbani ajitunzie heshima yake, sasa aaenda kuoambana na watoto huko bungeni
Kwa sasa ameshaonja utamu wa siasa(apart from being a first lady) naona amenogewa sasa.
Kujiajiri nyie wanyonge ndio mnapaswa mjiajiri.Sina chuki na mama lakini ukweli lazima usemwe, akichaguliwa yeye ni upotevu wa nafasi bure tu.
Mama angeweza kufanya mambo mengine na mataasisi yao akaachia wengine hiyo nafasi ya bungeni.
Kwanza yeye na mumewe wote wanapata huduma za serikali vizuri tu hana njaa ya pesa.
Kama anajiona bado kijana hapendi kukaa hivi hivi angejikita hata kwenye miradi ya kilimo na ufugaji ya familia. Watu wenye mitaji na mitandao (Business network connections) kama hawa ndio hufaa kuonesha mfano wa kufanya biashara kubwa za kusafirirsha nje bidhaa au mazao ya kilimo na ufugaji kwenda nje ya nchi. Huko atazalisha ajira nyingi sana.
Siasa awaachie wanawe akina Ridhiwan a.k.a Riz-moko (Riz1).
Hahah wazee watamaindi kishenzi.Sheria ya kugombea ubunge ibadilishwe ikiwa ni pamoja na umri wa kugombea maana naona wazee safari hii wamekomaa
Hahah wazee watamaindi kishenzi.
Hivi mkuu kwa hio huyo mama akipita kwny mchujo mume wake(JK) atakua nae anakuja kupanda jukwaani kumnadi sio?
Ngoja tuone mkuu.Iswali gumu sana kujibu, labda Riziwani
Hii inaonyesha mumewe hawezi kum-controll/kumpiga stop mipango anayotaka kufanya mkewe,wote wawili ni short-sighted au wanamjaribu mwenyekiti.Huyu nae, haridhiki yaani hadi aibu..
Hii inaonyesha mumewe hawezi kum-controll/kumpiga stop mipango anayotaka kufanya mkewe,wote wawili ni short-sighted au wanamjaribu mwenyekiti.
Kila lenye kheri mama.Nafurahi watu wanavyochukua form.Demokrasia inakua.
Ni kukosa Shukrani pia kwa miaka hio 5 aliyopewa kwa heshima ya mumewe.Nadhani mumewe angemwambia hapana hapana, acha kabisa sasa, hata ile tokea mwanzo, mtu umekuwa First Lady for 10 yrs, unahangaika hangaika na ubunge ya nini? Haya umepewa ubunge bure viti maalum 5 years, bado unang'ang'ana ya nini? Kuna tatizo mahali lazima
Wewe endelea kutuliza,Mama acha apambane.Mama angetulia tu
Anajidhalilisha tuKuna mtu anauliza eti huyu mama yupo singo kwa sasa? Yumkini anatafuta ubunge ili aweze kuendesha maisha yake kivyake maana hela za wanaume si za kutegemea😜😜😜😜😜 Anyway shikamoo mama, ukatutetee huko mjengoni ili tujiajiri tusitegemee ajira
Huyu naye hariziki tu? Badala akae alee wajukuuSalma Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kupita Chama cha Mapinduzi (CCM).
Acha aingie ulingoni apewe matusi ya kutosha/achafuliwe kwa sana tu ndipo atapata akili vizuri.
Wamekalia kuwaambia watoto wa maskini wajiajiri lkn wao kutwa kulilia ubunge.