Mama Salma Kikwete, kutaka wake wa viongozi wakuu wapewe pension ni kumkufuru Mungu!

yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao
Stahiki za mavi?

Hawastahili stahiki zozote isipokuwa kupewa stahiki za mavi tu kwa mambo waliyoyafanya nchi hii!

Tena huyo salma na mwanae Rizi ni mabingwa wa kuuza madawa ya kulevya nchini na duniani.

Tutawafurumusha wakileta za kuleta tuwachape nakozi wajue hii nchi sio milki ya genge la msoga.
 
HII MIJITU HUWA HAIRIDHIKAGI JAMANI, BWANA ANALIPWA KODI ZETU 80% NA MAKOLOKOLO KIBAO NYUMBA,MAGARI,WALINZI,AFYA ELIMU EEH, YEYE ANATUZWA 40% YA MSHAHARA WA RAIS BWANA AKIFA...MASIKINI AKIPATA
 
Elimu yake ndogo sana kukata ishues
 
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
 
HII MIJITU HUWA HAIRIDHIKAGI JAMANI, BWANA ANALIPWA KODI ZETU 80% NA MAKOLOKOLO KIBAO NYUMBA,MAGARI,WALINZI,AFYA ELIMU EEH, YEYE ANATUZWA 40% YA MSHAHARA WA RAIS BWANA AKIFA...MASIKINI AKIPATA
Kuna watu husingizia ohh wanawake uswahlinini wa hali ya chini pesa mbele

Uongo hata huko juu kuna wanawazidi wanawake wa uswahilini mfano ni huyo Salma Kikwete
 
Elimu yake ndogo sana kukata ishues
Angeongea na mumewe

Biblia kwa wakristo inaagiza kama kuna swala tata linakuchanganya mke lakonbinafsi uliyeolewa kamuulize mume wako kwanza kabla kwenda mbele kutafuta ushauri

Nina uhakika angeongea na mumewe Kikwete angeeleweshwa

Mzee Kikwete pole you have lost control.of your wife

Kustaafu tu uraisi anakuponda kuwa hata NGO hukumsaidia chochote aisee hivi Kikwete Raisi kustaafu tu mwanamke anamkana hivyo kuwa hakumsaidia .Kweli.baadhi ya wanawake mashetani akiwemo Salma Kikwete.
Kwa uroho Alionao wa hela aweza kuondoa mzee wetu Kikwete apate mafao ya kufiwa na mume

Kikwete aongezewe ulinzi

Huyu Salma hafai
 
Ile alilipwa mara moja na usikute hata fomu hakujaza wala barua ya kuajiriwa na barua ya cheo cha mwisho hakuombwa.
 
Kifupi huyo mama ni mlafi sana na h ata akipata hiyo pension inayomtoa utu bado ataona ni ndogo sana ataomba iongezwe
TUFANYE MAOMBI MAALUM KWA HAWA WANAOJIFIKIRIA WAO TU NA SIYO WANANCHI.WANGEJUWA TUNAVYOVUJA JASHO MTAANI WASINGETHUBUTU KUSEMA HAYO.
 
HUU NI UFISADI ULIOPITILIZA....
 
Huyu First Lady Mstaafu ana lake jambo. Akimaliza kipindi chake cha Ubunge atalipwa mamilioni ya pesa. Hizo bado anaziona ndogo, anataka alipwe na kiinua mgongo cha wakati alipokuwa Mwalimu. Ama kweli aliyenacho aongezewe na asiyekuwa nacho anyang'anywe hata kile kidogo alichonacho!
 
Ile NGO yake inaendeleaje? Ile pia ilikuwa njia ya kuingiza fedha bila kuulizwa maswali wakati huo akiwa kule.
 
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
Kumbuka na nyumba wanajengewa na serikali
 
Utamlaumu huyo mama bure kimsingi akili yake ndio ilipoishia, sio kiongozi kwa uwezo, bali anabebwa na huu mfumo uliojaa upendeleo. Usitegemee wazo lolote la maana kutoka kwake, hapo ndio kamaliza.
 
Tayari serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwaudumia kila kitu bule mpaka wafe na wanapata asilimia furani ya mishahara waliyokuwa wakipata wakati wakiwa madarakani. Sasa top of fhat bado udai pension kweli! Kama huo sio ulafi ni nini?
Kwani hayo mafao ni yake au ya mume wake ?

Nadhani kama endapo huyo mume wake atakufa ndiyo yeye hupewa asilimia kadhaa

Sasa kama mestaafu kwanini asilipwe
 
Mke wa Nyerere ,Mkapa na Magufuli wanapewa nadhani 70% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani kama pesa za matunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…