Mama Salma Kikwete, kutaka wake wa viongozi wakuu wapewe pension ni kumkufuru Mungu!

Mama Salma Kikwete, kutaka wake wa viongozi wakuu wapewe pension ni kumkufuru Mungu!

Watu wanakaza ubongo tu, ila mama yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao za utumishi wa umma
Huna akili, hjyo kutoka uwalimu hadi kuwa first lady amepanda cheo. Ukishakuwa mke wa rais mstaafu, serikali imeweka utaratibu wa kuwaudumka mpaka vifo vitakapo wakuta. Sasa anataka pension ya nini?
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Alipwe pensheni kwa kutom♧wa na rais mstaafu wa nchi ama?


Apeleke kule vimiguu vyake vyembamba kama chelewa
 
We ni fala, nenda kamsikilize utaelewa, sio unaanzisha uzi kijinga kiasi hiki wakati hujamsikiliza, amesema wazi hawapewi hayo mafao pale wanapoachishwa kazi zao ambazo walikuwa wanafanya.
Povu la nini mama Salma,

Jibu hoja acha matusi
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Bungeni wamejazana wawakilishi wa chama pendwa, siyo wa wananchi..
Usishangae wakipitisha hilo 'ombi' la Salma!
 
Umejiuliza kuna maelfu ya wastaafu wangapi, wanaohangaikia mafao yao, ambayo ni kiduchu tu, lakini hawayapati?

Badala yake wanaishia kufa, kabla hawajaambulia hayo mafao yao ya kustaafu?

Huyo mama, pamoja na yeye kupewa "ulaji" wa ubunge na mwanaye naye "kuzawadiwa" ubunge/u-Naibu Waziri na Mzee Kikwete kulamba pension, ambayo ni 80% ya mshahara wa urais wakati akiwa madarakani, bado tu hajatosheka tu huyo mama??
Pension ya Kikwete sio yake, mshahara wa mwanae sio wake
na yeye ameongelea mafao ya wake wa viongozi wote wakubwa, hakuna sehemu imeandikwa wasipewe stahiki zao
 
Hawajali. Ccm ni dubwasha moja hatari sana kwa ustawi wa hii nchi. Kwa namna hiyo lazima waigomee katiba mpya.
 
Huyu mama hivi angeolewa na kinyozi naona akiona Kuna foleni ya wateja salon Kwa me wake nae angeweka foleni ya vidume nyumbani
 
Watanzania wengi tunatabia ya kukurupuka na hata kudandia mada bila kujipa muda wa kuona au kusikiliza kitu husika.

Mbona madai ya Mama Salma yako sahihi??

Amesema pension zao za kazi ambazo walikuwa wanafanya kama watumishi wa Umma wapatiwe, akaenda mbali kwa kutolea mfano yy alikuwa mwalimu akisema mara baada ya mumewe kuwa Rais aliachishwa ile kazi lkn hakupata stahiki zake kama ilivyotakiwa kwa mtumishi wa Umma pindi anapostaafu.

Kwanini sisi watanzania ni wajinga wa kudandia vitu na kuanza kulaumu bila kuelewa kitu chenyewe??
Muongo huyo au alikataa mafao kwa kipindi kile kwa kutegemea ikulu lakini kipindi yupo ikulu angetaka mafao unazani nani angemnyima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Kabla hatujamlipa pension aseme kazi aliyokuwa anafanya ni ipi na amefanya kwa kiwango kipi atuwekee na kavideo tuone uchapa kazi wake.
 
Watu wanakaza ubongo tu, ila mama yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao za utumishi wa umma
Nikweli yupo sahii kwa maslai yake na watoto wake maana watoto wake bado wadogo na ukute mume ana watoto wengi nje ya ndoa Wana mtegemea, Viongoz wa Africa tofauti na viongozi wa Mabeberu mfano Bush uwezi kusikia ana watoto zaidi ya 5 na nje ya ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichomwelewa ni kwamba anadai kabla ya waume zao kuwa viongozi wakuu (rais, vice & waziri mkuu) walikuwa na ajira zao. Baada ya waume zao kupata nyazifa za juu, walilazimika kuacha kazi zao na kufanya majukumu kama wake wa viongozi wakuu.

Sasa point yake ni haki ya mafao yao ya kazi walizokuwa wanafanya mwanzo ndo wanazitaka😎😎😎
Wewe ndio hujamuelewa
Anachotaka ni mafao kwa kazi ya first Lady siyo kwa kazi aliyokuwa anafanya kabla ya mume wake kuwa rais
 
Magufuli alitaka kuitoa serikali kutoka katika mikono ya familia chache zilizoifanya Kama 'fursa' kwa vizazi vyao ingawa naye alikuwa na mapungufu yake. Hapo hamna la ajabu ndugu yangu maana ni mwendelezo wa upigaji na nikuhakikishie kuwa 'HUYU HAJAROPOKA' soon utashika kichwa chako tena. Na haya yanatokea kwa sababu mzazi wetu hayuko home.
 
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.

Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!

Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?

Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?

Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?

Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?

Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?

Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?

Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?

Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!

Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Fact.Hawatosheki hawa.Wangejuwa wanamchi wengi huku kitaa tunaitisha siku kwa buku wasingesema uzembe huo.Kama hawajali hali zetu tunaendelea kuomba laana ziwe juu yao.
 
Back
Top Bottom