Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
dah.hata km kdg anakitaka.basi sawa wapeweNdio mkuu, ni haki yake kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah.hata km kdg anakitaka.basi sawa wapeweNdio mkuu, ni haki yake kabisa
hahahaha.mama angu na mwalimu wangu.yuko vzrMtu chake🤣🤣🤣
Wamsaidie mama Janet maana, huyu binkubwa anavyomnanga marehem mume wake sidhan kama watampa hata mirathi😆hahahaha.mama angu na mwalimu wangu.yuko vzr
nadhani hii hoja atakua alikua na mama majaliwa.mama janet
Huyo Magu si ndiyo aliwajengea majumba ya kifahari? Nchi masikini kama hii inamudu vipi kujengea marais wastaafu ambao tayari wameshatajirikia madarakani majumba ya kifahari?Huyu mabeho yuko wapi aichukue hii nchi tumechoka na dhihaka.
Na ukifuatilia atakuwa na penshion ya ualimu.
Japo Magu aliniumiza ila ni bora angekuwepo.
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.
Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!
Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?
Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?
Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?
Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?
Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?
Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?
Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?
Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!
Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
MAADUI WA MAGUFULI NDIYO MAADUI WA TZ na maadui wa magu ni TEAM MSOGA AMBAO NI UKOO WA KIKWETE NA MSKAMBA NA NAPE NA UKOO WA ROSTAM AZIZIKwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.
Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!
Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?
Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?
Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?
Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?
Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?
Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?
Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?
Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!
Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Ya hapa na paleMama Salma Kikwete, ana elimu gani?
Je aliyemuoa alipata kilaza?Wananchi wa mchinga wamepata hasara kubwa kuwa na mwakilishi kilaza kiasi hiki
Hao wamekula,wamevimbiwa,sasa wanatutapikia miguuni,huyu mama bila kuolewa na Raisi,angekuwa danga tu mtaani,maana taahaluma yake ni ualimu,sasa ameukwaa ukwasi,kila akigeuka kushoto kulia,anaona fedha za kupiga,Alipiga fedha za WAMA,sasa huyu kila kitu kakipata kiulaiini,haoni shida za wananchi,maana hata huo ubunge hakuutafuta amepewa tu on silver player,haitaji wananchi kuwa bungeni,Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.
Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!
Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje watanzania?
Hivi Katika kipindi kama hiki, ambacho Taifa linapitia Katika kipindi kigumu mno cha uchumi, kwa kupanda bei kwa kila kitu, kutokana na kupanda Sana kwa bei za mafuta, wakati kipato cha mtanzania hakijaongezeka, hivi ni wakati sahihi wa kutumbukiza maoni binafsi ya kuomba kulipwa pension kwa ajili tu ya kuwa ni mke wa Rais mstaafu?
Hata hivyo nimuulize mama Salma, hivi hatosheki na kipato anachopata cha maslahi ya ubunge wa "kupewa" wa kipato cha shilingi milioni 12 kwa mwezi, ukiacha maslahi mengine ya Mheshimiwa mbunge, kama vile "seating allowance" ya kila kikao cha Bunge kinavyoendelea?
Hebu nimuulize tena mama Salma, hivi haridhiki na pension anayolipwa mumewe, Jakaya Kikwete, ya kuwa Rais mstaafu, ambayo ni 80% ya mshahara aliokuwa akiupata alipokuwa Rais wa nchi hii?
Hebu pia nimuulize mama Salma, hivi haridhiki na "upendeleo" aliopewa mwanaye Ridhiwani Kikwete, ya ubunge, ambapo pia "amezawadiwa" u-Naibu Waziri, ambapo anapata maslahi kibao?
Hivi mama Salma, hayaoni matatizo ya mamilioni ya watanzania, wanaohangaika kila kukicha, kutafuta riziki zao za kila siku, ambao hata wakifika umri wa uzeeni hawalipwi pension yoyote?
Hivi mama Salma, hayo uliyoyaongelea Bungeni, ndiyo mawazo ya wapiga kura wako wa Jimbo la Mchinga, waliyokutuma uwasemee?
Hakika baada ya kusikia kauli za mama Salma, alizozitoa Bungeni, nmeamini kabisa, kuwa hatuna wawakilishi wa wananchi huko Bungeni, bali tuna viwavi wa CCM wanaotaka kula kwa kuvimbiwa na watuache watanzania tukiwa hatuna kitu kabisa!
Nimeamini kuwa nchi hii kuendelea kuwachagua wawakilishi toka chama tawala cha CCM ni kuendeleza laana, ambayo itaendelea kututafuna kwa vizazi vingi vijavyo!
Kwahiyo asipewe pesa zake za pension ya kazi yake ya Ualimu??Hakuna ufala wowote hapo, wanatakiwa wajisimamie kwenye biashara zao kama ambavyo wengine wanajisimamia, wasiwe wategemezi wa kodi za masikini.
Pesa zote wanazolipwa kama wastaafu serikalini asilimia 80 ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani, huduma zote za bure wanazopata, posho na mishahara wanayopokea bungeni, bado unawatetea hawa?
Kubali tu, hapo hakuna kiongozi, tuna mtu asiejielewa aliyepewa ubunge wa viti maalum kama zawadi tu.
Watu wanakaza ubongo tu, ila mama yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao za utumishi wa ummaMkuu pension ni haki yao kabisa, Alikua ni mtumishi wa Umma miaka yote kabla ya kuwa mke wa kiongozi
Kwa nini asipate stahiki zake.?
Ana shida zake binafsi, na ndugu anaoweza kuwsaidia, kumbuka anachopata mme wake sio anachopata yeye
Umejiuliza kuna maelfu ya wastaafu wangapi, wanaohangaikia mafao yao, ambayo ni kiduchu tu, lakini hawayapati?Watu wanakaza ubongo tu, ila mama yuko sahihi sana. Wapewe stahiki zao za utumishi wa umma
Ndicho Mama Samia alichoongea, kuwa wale kwa mujibu wa urefu wa kamba........Pension ya nini wakati serikali imeweka utaratibu wa kuwaudumia mpaka kifo kiwakute na kuzawadiwa jumba moja matata sana. Akubali kama wanataka pension tuwaondolee uduma wanayopata bure