Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Muacheni na huyo sawaa manabii.
Haya mambo yenu ya kupangia watu ndo maana wanakuwa na VIBURI.
Magufuli kafa na msimamo wake.
Muacheni akiona umuhimu ATAVAA.
Tusipangiane
 
Yeye na aliyekua boss wake watakua wanajua mbwinu😎
 
Uandishi wa kisharobaro huu, ni kwa nini usingeandika kwa lugha moja tu?
 
... hujaelewa ulicho-quote. Mama Janet kaonekana hadharani na barakoa leo; una maoni gani?
Nijibu kwanza hilo la Biden nililouliza na unisaidie kuelewa, ndio nipate la kukuambia kuhusu Janet
 
Pumbafu sana nimekublock kwakuwa una akili za kitoto, unaleta matusi ya nguoni kwenye jukwaa la ma GT?
Wewe nae ni GT?? Mmawia wa Kilambo hata sentensi tatu za kingereza huwezi andika
 
Mi siyo mwanasayansi lakini andiko lako wewe mbongo ambaye haujawai fanya research hata moja lina upotoshaji kuhusu barakoa.
Wanasayansi haohao walioeleza jinsi ya maambukizi covid, wameitaja barakoa kama ni kinga ya covid kwenye mkusanyiko ambapo mtu yeyote(asiyevaa barakoa) akikohoa ama kupiga chafya na hayo majimaji unayoyasema yakampata mwingine(asiyevaa barakoa) hapo infection inaweza tokea kirahisi.

Lakini baadae wakaja kusema covid kama alivyo ana uwezo wa kukaa hewani for some seconds,, saa muda huo kwa mtu ambaye hajavaa barakoa anaweza contact.

Lakini juhudi zote hizo za kupinga barakoa ni majaribio yako ya kutaka kuenzi juhudi za mzee.
Ametangulia mbele za haki.[emoji120]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Pep
Amekosea sana
 
Tumechoka kuwa na misiba mikubwa Mikubwa ni mzigo mkubwa kwa wipa kodi na wahisani. Vaeni barakoa bana.
 
Muacheni na huyo sawaa manabii.
Haya mambo yenu ya kupangia watu ndo maana wanakuwa na VIBURI.
Magufuli kafa na msimamo wake.
Muacheni akiona umuhimu ATAVAA.
Tusipangiane
MATAGA kazini
 
Lisu wakati wa kampeni alikua anavaa barakoa?au ni unafiki tu unawasumbua
huna akili wewe jamaa,kwa hiyo hamvai barakoa kwa sababu ya Lissu? ndio maana mnakufa kisenge mnakenua tu kwenye majeneza. mnazidi akili na ng'ombe
 
Hiyo ni heads up kwa Mama, forewarned is forearmed, ushauri sio ushawishi.
 
huna akili wewe jamaa,kwa hiyo hamvai barakoa kwa sababu ya Lissu? ndio maana mnakufa kisenge mnakenua tu kwenye majeneza. mnazidi akili na ng'ombe
Pumbavu sana wewe,kwani wewe mwili wako ni keki saaana hufi?machadema ni mambumbumbu,mtakaa ivyo ivyo kupinga mpk mfe. Na magu aliwanyoosha mkabaki mitandaoni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…