Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

jk mzee wa starehe,kapozi kistarehe alituongoza kistarehe,hana njaa njaa
Screenshot_20210322-110149.jpg
 
Wacha wafu wazike wafu wenziwe
Kama mlidhani kuwa mtampangia imekula kwenu! Ni mama anayejisimamia!! Alijua Dunia nzima itaangalia uso wake! Na hilo ndilo jibu alilowapa ninyi mnaolazimisha Dunia iamini kuwa Tanzania tumeelemewa na corona!! Bi Samia Suluhu Hassan Hapangiwi!! Jibu ni kwamba hatuna tatizo kivile. Hajakataza mtu kuvaa barakoa!! Si ajabu hata wewe hapo umeandika uzi huu wala huvaagi barakoa!
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."

View attachment 1731079

Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080

Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Mbwembwe nyingi kumbe wewe ulikuwa dereva tu wa TISS 😂😂😂
 
Utumwa wa barakoa bakini nao nyie wenyewe na familia zenu! Msimpangie mama yetu!! Atavaa akijisikia kuvaa lakini si kwa shinikizo la kimataifa! Tanzania hatuna corona kivile!!
 
Inawauma Sana wazungu kuona Tanzania hatuna hofu ya corona wakati huko kwao saa hii pamoja na kupata chanjo lakini wameanza lockdown ya awamu nyingine!! Sisi tunadunda tu, maana tumemtanguliza Mungu!!
Ndiyo maana kila anayefariki wanalazimisha kuwa kafa kwa corona!! Hata Magufuli wanalazimisha hivyo!! Watukome!!
 
Ondoa "INAWEZA"
Inatumiwa kama cover kuwatisha viongozi na kuassassinate viongozi pamoja na kuua uchumi. Global reset
 
Mkuu inahitaji ushike huko usoni baada ya kumbe na mikononi.

Ni kweli kuwa sote tunapokuwa na mabarakoa uwezekano wa kuambukizana unapungua zaidi.

Madame President ni vyema avae barakoa.

Kwa kweli ni hatari kubwa na hasa mpaka huu msiba uishe, mola wetu mbona atunusuru tu?
Kwa jinsi ugonjwa huo unavyoelezeka, muda unaotumia kumchukua mtu,njia unazoweza kuambukizwa na muda uliokaa Tz tangu uingie,jinsi ambavyo shughuli zinaendelea kila siku, na ukaangalia njia zilizotumika kujikinga nao tz utagundua kuwa tayari nguvu ya Mwenyezi Mungu zinafanya kazi.

MUNGU ATUSAIDIE.
 
Kwa jinsi ugonjwa huo unavyoelezeka, muda unaotumia kumchukua mtu,njia unazoweza kuambukizwa na muda uliokaa Tz tangu uingie,jinsi ambavyo shughuli zinaendelea kila siku, na ukaangalia njia zilizotumika kujikinga nao tz utagundua kuwa tayari nguvu ya Mwenyezi Mungu zinafanya kazi.

MUNGU ATUSAIDIE.
Tuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu afubaze virusi hivyo na dunia nzima ijue kuwa kuna nchi inamtegemea Mungu ambaye wao wamemsahau na kumpuuza kwa maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Ila tahadhari pia ni muhimu.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nikweli hajaanza leo kutovaa barakoa mama D, lakini hata akianza leo sio mbaya, hali huku mtaani sio nzuri, najua wao wanajua zaidi yangu hali ilivyo lakini wanasababu zao ambazo gharama zake zimefikia pakubwa, Mama Janet sio mjinga, naamini hapo kuna ujumbe ametuma.
Na jambo la kusikitisha, viongozi wanatakiwa kumfariji mama Janet, mjane kwa kuvaa barakoa kama yeye alivyofanya,badala ya kutovaa kwa ajili ya kumuenzi Magufuli ambaye ametangulia mbele za haki!

Kwa ubishi huu,korona itagharimu maisha ya watu wengi sana!
 
...rais kaonyesha msimamo.
Big up madame president...umeanza kwa kutokuyumbishwa.
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."

View attachment 1731079

Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080

Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Mbona unalazimisha mambo,tushakwambia Tz hatuna Corona.
 
Kwani ndio leo ameanza kutokuvaa barakoa?
Jibu jepesi kwa ushauri mjaarabu. Rais is a public figure, kumuuguza Rais siyo mchezo.once bitten twice shy! There is no way lazima avae barakoa.
 
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo lingegharimu urais na uhai wake. You know the rest of the story. Kanuni za JF zinakataza kuweka links, otherwise I would have shared (it's a free ebook anyway).

But I'm not here to take credits bali kutanabaisha kuwa I am disappointed kuona Mama Samia akiendeleza "ubishi" wa mtangulizi wake katika handling ya janga hilo. I know mie si mtu sahihi kumshauri Rais wetu lakini yeye na takriban kila Mtanzania anafahamu vizuri the price late Magufuli paid kwa negligence kwenye kushughulikia janga hilo. As much as nisingependa kuwa "prophet of doom," Mama Samia anapaswa kuchukua hatua sasa, vingenevyo...

Pongezi nyingi kwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa "kuonyesha uongozi licha ya kuwa mstaafu."

View attachment 1731079

Na pongezi pia kwa mama Janeth Magufuli ambaye leo amewasili Dodoma akiwa na barakoa.
View attachment 1731080

Mama Samia anapaswa kuelewa kuwa licha ya dunia kumwangalia kwa makini endapo atachukua hatua stahili kuinusu Tanzania dhidi ya janga hilo, lakini pia anaangaliwa na mamilioni ya Watanzania kuwapa leadership katika kuikabili Korona.



Kuna watakaosema ni mapema mno "kulaumu," lakini when it comes to COVID, timing is everything.

I'm not expecting much from her, kwa sababu tatizo zaidi ni CCM na sio mtu gani anaongoza nchi, lakini hili la barakoa lipo ndani ya uwezo wake.

I stand to be corrected.

Your advice is brilliant. Masking is one of the scientific methods of curbing the pandemic.
 
Ooh uzi mzima unalia lia tu. Okay kesho atavaa mkuu. Kama mzee kavuta kwa corona mbona mkewe yupo fit au haiambukizi?(nukuu hapo juu kuwa corona imemgharimu uhai na urais)
Atakwambia alikua hakai nyumba 1 na Mama Janet, walikua wanaingia mlango mmoja ila ndani ya ule mlango kuna nyumba ingine mama janet anaenda na Mh. anaenda.

Let this people talk,you can not stop them "we can only ignore them"
 
Evarist Chahali Kama hofu yako ni maambuki ya COVID 19 fanya kitu chochote kilicho ndani ya uwezo wako kutoa suluhu kwa hao watanzania unaowaongelea hapa akiewemo rais wetu. Kumbuka hakuna rais wa nchi bila wananchi...
WaTz tuchukueni hatua za kujikinga na Covid-19 ikiwa pamoja na kuvaa barakoa. Uzembe na kupuuuza kutatumaliza. Dawa ya kiburi ni kaburi.
 
Back
Top Bottom