Mama Samia ameingia kwenye mtego wa wafanyabiashara kubembelezwa kulipa kodi, tumekwisha!

Mama Samia ameingia kwenye mtego wa wafanyabiashara kubembelezwa kulipa kodi, tumekwisha!

Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
 
Mkuu anzisha biashara na ewe ili ulipe kodi.
Nakushauri yafuatayo.
Nenda benki kakope.
Weka nyumba yako rehani, pesa zipo kedekede.
Anzisha kafremu au biashara yoyote unayoipenda.
Changanya.
Kalipe kodi kwa uzuri tu, usitegemee kuna mjomba atalipa kodi ili wewe ulipwe mshahara na kusugua makalio kwenye kistuli cha bar huku unakunywa serengeti lite.

Fanya kazi, anzisha biashara ili ulipe kodi.
Nina biashara na kodi nalipa,na Mimi siwezi kwenda kukopa bank kipuuzi puuzi kwa kuweka nyumba au Mali zingine.
Riba zitawamaliza,ndo Mana mnakwepa makodi.
Mlitaka msilipe ama?Tulipe Kodi kwa pamoja Kama njia zetu Ni Safi na si wengine mnalala mbele kisa Kodi,mnalimbiliza miaka10 afu mnataka niendelee kuchekewa
 
Yaani huyu mama aisee,sijui hajui athari za anayoyafanya?Yaani inafikirisha sana.Huyu ndiye tuliyeaminishwa kwamba amekaa chini ya Magufuli kwa hiyo kaiva.CCM do something and fast vinginevyo we are sliding towards Kikwete era.Utawachekeaji mabeberu,wafanyabiashara na mafisadi?

Nyie madogo upstairs bado sana.
Kuna beberu zaidi ya kakoko, Ben wa TRA,na huyo dogo alikuwa Hazina. Hapo hujagusa akina Tanroads... na hawa wote walikuwa wanafugwa na beberu mkuu aliyevaa ngozi ya kondoo....
Hayo madini ya Tanzanite na ukuta wa magumashi anayeiba kwa kushirikiana na ndg zake wa Rwanda ni nani ?
Mbona haikuwa inasema mnatuzuga tu na magawio...
Kule Kigamboni hekalu zile pesa zimetoka wapi waziri dogo wa juzi juzi tu....

Msitufanye wapumbav...tunajua mambo yenu na report ya CAG ya Jan- March zilizochotwa Hazina ikitoka sijui mtajificha wapi.... !
Mnamuombea mabaya sababu mnaona anamwaga mboga...
Pesa ikiwepo mfukoni tutalipa kodi tuu...
Mbaya hili genge lenu la wachache kujichotea kilaini huku mkizingua na fiksi za mabeberu....
 
Acha upuuzi wewe, kodi hailipwi kwa kuwanyang'anya pesa kwenye acc za watu.
Mwendazake ameiba hela nyingi za wafanyabiashara na ndo hizo zilikua zintumika kujenga chato na alikua anahifadhi mnikulu.
Huyu mnikulu alikua anatembea na mke wa jamaa flani alikua anampa vx za ikulu kwenda nazo msibani moshi na ktk harusi za wadogo zake.
Maduka ya kubadili fedha alizikomba hela zote kwa visingizio kibao, watu wamekufa kwa presha.
Maduka kariakoo yalifungwa, wafanyabiashara wamefilisika
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
 
Nyie madogo upstairs bado sana.
Kuna beberu zaidi ya kakoko, Ben wa TRA,na huyo dogo alikuwa Hazina. Hapo hujagusa akina Tanroads... na hawa wote walikuwa wanafugwa na beberu mkuu aliyevaa ngozi ya kondoo....
Hayo madini ya Tanzanite na ukuta wa magumashi anayeiba kwa kushirikiana na ndg zake wa Rwanda ni nani ?
Mbona haikuwa inasema mnatuzuga tu na magawio...
Kule Kigamboni hekalu zile pesa zimetoka wapi waziri dogo wa juzi juzi tu....

Msitufanye wapumbav...tunajua mambo yenu na report ya CAG ya Jan- March zilizochotwa Hazina ikitoka sijui mtajificha wapi.... !
Mnamuombea mabaya sababu mnaona anamwaga mboga...
Pesa ikiwepo mfukoni tutalipa kodi tuu...
Mbaya hili genge lenu la wachache kujichotea kilaini huku mkizingua na fiksi za mabeberu....
Stories za vijiweni hizi!
 
yah umeongea sahihi huyu mama inaonekana ana mhao hajatulia. Anaondokea gia ya tano hatoweza kufika mbali.
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
hatavuna mabua,kodi ni swala la kisheriaa tutalipa ssiyo kufunga acc za watu na kuwapora fedha zao bennkii kiiisiinngizzio koddii,, tajiri wa kwaanzaa afrika dangote kkalalamika swala laa kodi na uwekeezaji, mazingira yangekuwwa mazuri angeffungua viwaandaa vinngapi na kutenggeneza ajira. je mwendakwao si alikuwa anapewa mikopo na misaada wa nchi ulizzotaja, unajua deni la taifa limeongezeka sh. ngapi?
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Ukweli misuli ya serkali ilitumika kupita kiasi katika kukusanya kodi had I wafanyabiashara kufunga biashara na wengi tumeona.Anachotaka mama ni kuretain wafanyabiasha na si kuwafukuza.Hata wao wanafahamu serkali inapasa kukusanya kodi; lakini siyo kwa misuli kana kwamba mfanyabiashara ni mhalifu ktk nchi hii.Hakuna Raid ambaye angeingia madarakani bila kuleta matumai mapya.Tumwache mama afanye kazi kwa amani
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Nyoka hawezi kuishi kwa kula mkia wake.
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Tatizo mnafikili kuendesha nchi nikutumia ubabe mda wote, mama anajua, wananchi tunajua umuhim wa kodi, ila sio katika mazingira ya Sasa ya TRA , tuje na sheria rafiki , kuanzia makadirio ya kodi, ulipaji wa kodi na KWA wale wakwepaji wa kodi ,haya Mambo yawe wazi,KWA mfanyabiashara na mkusanyaji sio leo afisa wa TRA anategemea ameamukaje siku Iyo na makadirio yataenda hivyo na bahada ya mwaka unaambiwa ulikua hulipi mapato vizuri, rafiki yangu mwaka jana alipigiwa den la m300, wakati mtaji wake m60 hatufiki, kakaa siku sita Hali, mpaka ndugu wakaanza kamata KWA lazima kumnywesha uji,
 
Nina biashara na kodi nalipa,na Mimi siwezi kwenda kukopa bank kipuuzi puuzi kwa kuweka nyumba au Mali zingine.
Riba zitawamaliza,ndo Mana mnakwepa makodi.
Mlitaka msilipe ama?Tulipe Kodi kwa pamoja Kama njia zetu Ni Safi na si wengine mnalala mbele kisa Kodi,mnalimbiliza miaka10 afu mnataka niendelee kuchekewa
Sasa kama una kibiashara cha mitumba usitufundishe siye magwiji.
Hulipikodi
Huna returns
Huna querterly tax
Hujaariri mtu kulipa employment taxes
Huna ofisi
Hulipi mafao ya ajira

Vileseni vyako vya kupanga mitumba barabarani vinafaa kwa kuandamana tu.
 
Maombi yangu siku zote ilikua mama asiingie mkenge wa wafanya biashara maana tunajua kitakachotokea.

Bahati mbaya mama ameuvaa mkenge wa wafanya biashara. Tusitegemee chochote cha maana kufanyika kwa miaka 4 ijayo. Mama mwenyewe amekiri kua kwa kauli yake makusanyo yatashuka, unajiuliza kwa nini yashuke?

Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha?

Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo

Kodi ni jambo ambalo halihitaji kubembelezana, hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, awe tajiri mkubwa awe mdogo hakuna. Kipindi kile Magufuli anaingia kina Azam walikutwa wanakwepa kodi ya kutosha,itakuaje kwa wafanya biashara wadogo na wa kati? Hilo liko wazi kodi ni jambo ambalo hakuna mfanya biashara anataka kulisikia.

Hakuna mfanyabiashara atakaelalamika ikiwa mfumo wa kukusanya kodi ni dhaifu, hayupo. Maana mifumo dhaifu ya kukusanya kodi ni faida kwa wafanya biashara.

Siku zote wafanya biashara hawako tayari kulipa kodi kwani itawapunguzia mapato yao.

Hizo nchi za ulaya hawabembelezani kwenye kodi na kila mwananchi anajaza tax returns awe na kazi awe hana kazi. Nchi zote zilizoendelea hawana cha msalia mtume kwenye kodi.

Sisi tunabembelezana kuhusu kulipa kodi halafu tunaenda kuomba msaada na mikopo kwa watu ambao hawabembelezani kwenye kodi, hizi ni akili ama matope?

Tanzania nchi yenye watu 60m inaenda kuomba msaada Finland nchi yenye watu 5m wakazi wa Dar tu wanazidi wananchi wa Finland, ama Norway 5m ama Sweden 10m, hii ni akili kweli? Na sababu no moja tu, Finland kila mtu analipa kodi na hakuna kubembelezana na ukikwepa kulipa kodi unafilisiwa kabisa.

Mama ameanza kupenda cheap popularity, ameanza kucheka na nyani atavuna tu mabua.
Waje watubembeleze na watumishi ktk PAYEE kama wapo serious! Wasiwe wanakata juu kwa juu😂🤣😂! Hii nchi ni yetu sote isee!
 
Mama ana matumaini kua makusanyo yakishuka baada ya muda yatapanda, yatapandaje? Nini kitayapandisha? Ukiona kiongozi hayuko firm and strong kwenye kodi, basi ujue hiyo nchi iko doomed to fail. Nashukuru hayati alikua wazi kwenye hilo, alikua wazi na firm kwenye hilo
Ana matumaini eti wale wawekezaji waliokimbia Nchi wanaweza kurudi bada miezi minne-mitano hivi na hivyo mapato yataongezeka.
 
Sasa kama una kibiashara cha mitumba usitufundishe siye magwiji.
Hulipikodi
Huna returns
Huna querterly tax
Hujaariri mtu kulipa employment taxes
Huna ofisi
Hulipi mafao ya ajira

Vileseni vyako vya kupanga mitumba barabarani vinafaa kwa kuandamana tu.
Sawa
 
Ana matumaini eti wale wawekezaji waliokimbia Nchi wanaweza kurudi bada miezi minne-mitano hivi na hivyo mapato yataongezeka.
sijasikia mahali kasema miez minne au mitano. ku gain trust ya mteja baada ya kumkimbiza ni long term project. sio kitu cha miez minne.

kuja watakuja ila sio that fast.
 
Hiiii ndo raha ya chama chetu cha mapinduzii, kila kiongozi anakubalika haraka saaanaaa kwenye jamiiii
 
Huyu mama ni dhaifu sana, na ameshajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, ngoja acheke na nyani alafu aje avune mabua, lakini muda utasema ngoja tumzoom.
Hakuna kitu kama hicho kitatokea.
Niny mlikuwa mnatumia MISULI BADALA YA AKILI!
Mama ana akili sana kuwazidi.
 
Back
Top Bottom