Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Sijaona mahali akimshukuru Mhe. Rais kwenye hotuba yake, angalau kumtaja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatariii..sijaona mahali akimshukuru Mhe. Rais kwenye hotuba yake, angalau kumtaja tu.
Ana haraka kuliko upesiMakosa ya kurekebisha ni ziara siyo zuara, Handeni siyo Handenu, Wilaya siyo wile.
Yaani ufutiwe kesi kirahisi kiivo utasota tu . Fuata sheriaNashauri tusishikamne wakati huu tu, tushikamane kwa nyakati zote, sisi ni Tanzania na Tanzania ni sisi. Tufute kesi za unyanyasaji, tutube kama taifa, tuanze upya, tukifanya hivi naiona Tanzania yenye baraka lakini pia tusipofanya hivyo naona kinyume chake
Acha uongo mbona hata akina Halima &co wamegundua utopolo wa CHADEMA ndiyo maana wameenda kinyume. Mtu mwenye akili timamu lazima apuuze mikakati yenu.Huyu mama naye aache unafiki. waliovuruga umoja na mshikamano wetu ni CCM na Serekale yake ya awamu ya 6 wamehubiri chuki, ubaguzi dhidi ya wapinzani kana kwamba si watanzamia, sameua, wamefunga watu, wamewaita kila majina mabaya, wameua miradi ya watu kwasababu ya tofauti za kisuasa. Hata sasa wapinzani wakizushiwa vifo hakuna linalofanyika
SawaYaani ufutiwe kesi kirahisi kiivo utasota tu. Fuata sheria
Kwani wao ndio waliomficha?BAVICHA wamenuna
HABARI: Nataka kuwahakikishia, Tanzania tuko salama, ni kawaida ya mwanadamu kukaguliwa kaguliwa, mara mafua mara homa mara chochote kile, lakini niwaombe, katika wakati muhimu wa Watanzania kushikamana ni wakati huu- Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais akiwa ziarani Tanga https://t.co/14cbl8LDFwKwa nini mkuu
Duu, True
Watoto wa watu mmewashika "mateka" kinyume cha Matakwa yao ,ndio maana hata raha hawana ....ukweli utajulikana tuAcha uongo mbona hata akina Halima &co wamegundua utopolo wa chadema ndiyo maana wameenda kinyume. Mtu mwenye akili timamu lazima apuuze mikakati yenu.Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweliiiiiiiiiiiiiiiiii du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
Usinambie wale wajeda na mibunduki yao wapoMsafara una ulinzi mkubwa sana si kawaida. Hayo mambo tumezoea kuona kwenye misafara ya Magufuli tu.
Mmh
Huyu jamaa anaanza kutupa wasiwasi
Mtu mzima lazima ujue habari hii si nzuri ..ni ya maandalizi!!Tunaandaliwa kisaikolojia just in case.
SioPia pale "anapokaguliwa kaguliwa". Pengine alimaanisha "anapougua ugua"