Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Sinaga shangazi/dada wa baba,lkn wenye mashangazi baadhi wanasema mashangazi wanaroho mbaya si wakuishi nao,
Wapo pia ila wachache mtoto anakuwa salama kwa mama yake tu alomzaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinaga shangazi/dada wa baba,lkn wenye mashangazi baadhi wanasema mashangazi wanaroho mbaya si wakuishi nao,
Unaongea tu Mkuu 😊😊😊That situation nimeipitia,,ila mwanamke wangu afanye yote anayojua siyo kunitesea damu yangu aisee sitaona tabu kumfurusha,,maana wapo pia wenye roho ya huruma tutawezana.
Kwa sisi tuliopitia hayo maisha TUMEELEWA VIZURI SANA! YAANI TUMEELEWA MPAKA TUMEELEWA TENA! NA HATUZAI NJE NG'O! HATUTARUDIA MAKOSA!Wanaume mmesikia😣