Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Hayo yote ili tuweze kufanikiwa kabla ya kupata mwenza ni kumshirikisha Mungu tu, kuanzia kumpata mahusiano mpaka ndoa, hizo hatua zote ukimshirikisha Mungu umefaulu sana.
Mungu yupo kila mahala lakini uharifu unatendeka kila siku, kwa nini? Amezidiwa?
 

Tena Naongezea
Hivi Sisi Wanaume....
Ngoja Nianze hivi,Wanyama Madume mfano Ng’ombe,Mbuzi,Kuku nk hawawezi kuwa na Mwanamke mmoja tuu wengi wao,Angalia Kuku Utakuta Mama Mfugaji anakuambia Ngoja Nimtafutie mitetea Hapo Dume moja Mitetea 10,
Vivyo hivyo hata Ng’ombe,Dume moja majike hata 5 nk.
Ok.
Sisi Wanaume Tunapokuwa na Michepuko kwa mfano,Nani anatuadhibu?
Hata Kama Wenzi wetu wakijua Wanafanyaje?
Kama sio Kuishia Kusikitika na Kuumia.
Wengi wetu tunawanyanyasa wanawake kwa Kuwa hawawezi Tufanya Kitu ,
Tena unaweza Kuta Jamaa nae alikuwa na Kamchepuko ka Binti jadogo say 18-25!
Au Shangingi tuu jingine Lakini Nani Anamuadhibu?
Kama Tcra Wakikagua simu ya Jamaa meseji kuanzia Januari mwaka huu Mpaka December Messji na Simu zilizopigwa mara nyingi lazima Wapate Kamchepuko kake...
Sasa Yeye nani Kamuua?[emoji3516][emoji30][emoji51][emoji51]
MUNGU tuu ndio mwwnye kutoa Adhabu ya Kuua.
Sababu ndio alieumba.
Sasa yeye jamaa kamumba?Eti katoa mahari[emoji3516]
Na Hiki kitabia Kinasambaa haswa Vijana wa sasa hivi nao wanajifanya Wanajia kupenda na Kutoa Matumizi eti akifumania na Mke wake anaua...
Wanatakiwa nao Kuuwawa tuu kama sio Jela basi Maisha.
Wazazi wamezaa halafu eti Mume wake kamuua mtoto wao.
Umemshindwa mbona Hujamrudisha kwa wazazi wao???[emoji51][emoji51][emoji51]
 


Huyu baba angemwacha tuu huyo mke wake kuliko hili balaa alilozua

Lala salama Irene
 
Naona sheria ya kuoa wanawake wengi iruhusiwe tu kunusuru wanaume wasiue mwanamke akiwa mmoja na akapata dodge kukuzidi umekwisha, utafanyiwa vituko mpaka pombe ardhi ikumeze
Nakubaliana na wewe 100%. Mkewangu angekuwa peke yake kuna hatari yangenikuta kama unayoyasema. Lakini nikampandisha cheo akawa bi mkubwa na nikahakikisha kila rafiki yake wa karibu namla kwa gharama yeyote na juzi nimemla mdogo wake mmoja mtam balaa na nimefanikiwa mwenzenu sina hata stress kabisa. Kwa nini upate shida ya kutafuta kesi ya mauaji? Hapa nilipo najisikia nipo draw na yeye. Anafikiri ananizidi kumbe nimemzidi kila anachokifanya naambiwa matokeo kaniambia mimi mchawi.😀😀😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…