Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

Naona leo umeguswa unatema madini tu.
 
Ruka ruka kama maharage yapo kwenye sufuria motoni ila tambua kuna siku utaoa hafu watu wa aina yako huwa wanakamatwa sana na wake zao hata kutamba huwezi
 
My Love,, Mwanaume atavumilia yote yampayo jaziba.


Lakini kwenye suala la Usaliti, suala linalogusa Hisia zake, Heshima yake kama Mume.


ATAKUFANYIA KITU MBAYA KAMA HANA MOYO MGUMU.
Mambo mengi ya nini mtu umeshaona hakuthamini sepa habari ya kuanza kujitia nuksi kisa mbususu inahusu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 

Mwana hii comment yako japo imenena kisela ila inaendana sana na nyakati zilizopo
 
Chanzo kitakuwa mapenzi, mke kwa vile alikuwa na kipato Cha huhakika na pesa za hongo atakuwa alidharau sana mume, wake,pia inawezekana mama alikuwa anapigwa sana miti uko ofisini dharau analeta nyumbani.
 
Walikosa nauli ya kwenda Upareni?
 
 

Attachments

  • VID-20211229-WA0174.mp4
    20.1 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…