Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Yani kama mtu anajijua kabisa hataweza kulea mtoto na kumhudumia bora asizae kabisa.Kuna mtu aliwahi kuleta uzi humu JF kwamba haioni haja ya kuzalisha watoto wakati matunzo hana na itapelekea watoto kuteseka sana. Hoja yake ilipingwa sana na akatazamwa kwa mtazamo hasi na kumshangaa kwa nn haoni faida ya kuwa na watoto. Hapa ndio ninaamini usemi wa AKHERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI
Yani kama mtu anajijua kabisa hataweza kulea mtoto na kumhudumia bora asizae kabisa.
Ningekuwa na uwezo wa kudhibiti watu maskini wasizae kabisa ningefanya hivyo.
Mtu maskini hastahili kuzaa kabisa maana anaibebesha serikali mzigo mzito sana wa kulea ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.
Huwa nina hasira sana na wanaume wanao zalisha hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.
Mijitu ya namna hii ndio inazalisha umaskini na kuongeza idadi ya maskini kuwa wengi duniani.
Na ndio maana huwa nafurahi sana watoto wa namna hii, wanao kulia katika shida hizi, wanapokuja kufanikiwa na kuwatupilia mbali hao baba zao wapumbavu na wazembe wakwepa majukumu.
Li mzazi la namna hii siku likija kukuomba msamaha wewe mtoto wake, Unamfurumusha na mabapa ya panga akafie mbali.
Wanajuana hao tuwape muda.😂😂😂😂 bata gani?
Kwahiyo baada ya kuguswa aliishia kupiga nao picha na kujipostMkaguzi wa Polisi Michael Rasha, ameguswa na hali ya mama wa watoto nane, Belita Deus (37), ambaye alitorokwa na mumewe kutokana na ugumu wa maisha.
Itakua ya mama alie torokwaSimu iliyopiga picha IPO vizuri
HahahaWenyewe wanasema kila mtoto huja na sahani yake, sasa sijui sahani za hawa zimeenda wapi!
Kwani uchumi ndiyo unaruhusu kuzaa!? Unaweza kua na uchumi mkubwa tu na bado ukashindwa kupata hata katoto kamoja ka dawa!!Anazaaje watoto wengi kama panya wakati uchumi hauruhusu
🤣🤣🤣🤣🤣Inauma sana. Hao watoto hawana kosa lolote.
Sisi wazazi ni wavinafsi.....kwa starehe zetu wenyewe zinapelekea maumivu na mateso makali kwa watoto.
Kule Geita Mzee mmoja alizaa watoto 11 akawatelekeza wote akaenda kuoa kigoli kipya.
Yaani miafrika na ngino ni hatari
Movie au vipiWanajuana hao tuwape muda.
Watoto 8 na unaomba msaada.
Elimu inahitajika kwa Wanawake nao wajitambue sasa...watofautishe kuzagamuana kwa starehe na kubebeshwa mimba.Maskini kazi yake ni kukamuana tu.
Ukiona kijana anawaza ngono mara kwa mara mkimbie huyo ana jini la umaskini.
Serikali yenyewe inayobeba huo mzigo iko wapi?Yani kama mtu anajijua kabisa hataweza kulea mtoto na kumhudumia bora asizae kabisa.
Ningekuwa na uwezo wa kudhibiti watu maskini wasizae kabisa ningefanya hivyo.
Mtu maskini hastahili kuzaa kabisa maana anaibebesha serikali mzigo mzito sana wa kulea ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.
Watu wa vijijini wanaamini Uzazi wa Mpango ni kumzuia asizagamue/ asizagamuliwe.Elimu inahitajika kwa Wanawake nao wajitambue sasa...watofautishe kuzagamuana na kubebeshwa mimba.
Mwenye funguo za chumba cha mimba ni mwanamke.
Dunia ya saaa ina nyenzo zote za kuamua uzazi wa mhusika.
Wote hao wamezaliwa wakati wa Magufuli aliposema nyie zaeni tu serikali itawasomesha, kwahiyo wakaitikia wito.Kwa hiyo kama tunahitaji vibarua kwa ajili ya miradi, ndio uzae halafu ukimbie kulea?
Unazaa utegemee nani awalee hao wanao?