K tamu
Huwa nina hasira sana na wanaume wanao zalisha hovyo kama mapanya halafu kulea hawawezi.
Mijitu ya namna hii ndio inazalisha umaskini na kuongeza idadi ya maskini kuwa wengi duniani.
Na ndio maana huwa nafurahi sana watoto wa namna hii, wanao kulia katika shida hizi, wanapokuja kufanikiwa na kuwatupilia mbali hao baba zao wapumbavu na wazembe wakwepa majukumu.
Li mzazi la namna hii siku likija kukuomba msamaha wewe mtoto wake, Unamfurumusha na mabapa ya panga akafie mbali.