Mama Wema Sepetu amvaa Whozu kuishi kwa Wema

Kwa hiyo Whozu kahamia nyumbani kwa Wema 🤦‍♀️

Ila mama Wema kwa historia ndefu ya Wema kuhusu mahusiano yake hatakiwi kuongelea uhuni...hadi sasa alitakiwa kuelewa na kukubali kwamba amezaa mwanadada muhuni
Siyo kwamba Whozu kahamia kwa Wema, sema Whozu kaolewa na Wema. Hiyo wazungu wanaita matrilineal
Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtoto kapost cheti amezaliwa 1990, mama anasema anakumbuka alimzaa mtoto 1988.... patamu hapoooooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cheti ni makaratasi tu. Kizazi cha sasa ndo Wana umri sahihi maan akizaliwa tu anaingizwa kwenye mfumo na Rita. Lakini sisi wa analogi unakuta mtu ana vyeti kibao. Utamkuta ana Cha kazi tena 2 au zaidi, cha kuzugia wanawake/wanaume ili wamuone mdogo, nk
 
Hakika maana hata alivyokipost walimwengu walihoji mbona kipya sanaaaa [emoji23] Mama akaja kumaliza utata halafu yuleeee akasepa
 
Kitendo cha kuja jukwaa na celebrities na kuanza kusoma maoni na kucomment tayari una mahangaiko ya nafsi na akili, hebu tuachieni jukwaa letu tutambe nalo makasiriko yenu pelekeni siasani hukoooooo,

Nidanganye umri hadi kuchonga cheti feki ili inisaidie nini labda kama sio wazimu
 
Huna Maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…