Mama yako na Mke wako nani anastahili kukaa siti ya mbele ya Gari yako mnapotoka wote kwa pamoja?

Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Mama akatawale kwenye gari la baba (mumewe).
Mke atawale kwenye gari lao (na mumewe.)
Anayejiona yuko na mumwe ndio akae siti ya mbele.
 
Hii nzuri sana πŸ˜›
 
Ni kweli mkuu.

Siti ya nyuma ndio Executive.

Ila acha tubishanie siti ya mbele.
 
Wakuu naomba ufafanuzi katika hili.

Je Mke anapaswa kumuachia Mama siti ya mbele akae na mwanae na yeye akae siti ya nyuma.

Au Mama ndiye anayepaswa kukaa siti ya nyuma.

Naona kama hili suala ni mtambuka, naomba kujuzwa.
Nathani ni ujinga tuu kung'ang'ania siti ya mbele Kuna sku nliona board guard wa Rais anakaa mbele na Rais anakaa nyuma ,alaf ukiwa na mzazi mshamba ivyo ni hatar pia Kwa nn apiganie kukaa mbele wakat Msaidiz wako yupo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…