Mkuu kumpenda ilikuwa ni lazima, kama tumeagizwa kuwapenda jirani zetu sembuse Mama Mzazi?nlikua sijuhi kama kutokupenda ni kosa
sio mama tu kuna muda najiona sijaumbwa kupenda japo yeye nilimchukia na chuki still ninayo mpaka sasa
sawa mkuuUkitaka uone Dunia chungu penda kuwawekea vinyongo na chuki watu waliotangulia mbele za haki kiufupi msamehe tu na wew ipi siku utalamba tu mchanga why ushindwe kusame
shukrani mkuuMkuu kumpenda ilikuwa ni lazima, kama tumeagizwa kuwapenda jirani zetu sembuse Mama Mzazi?
Biblia inasema Mpende Jirani yako kama unavyojipenda.
Kwahiyo hata kama ilimchukia kama Mama yako Mzazi bado ulitakiwa Kumpenda kama Jirani. Na kama ungempenda kama Jirani manake utakuwa unampenda kama unavyojipenda wewe mwenyewe
Ukifanya kwa moyo wote itakusaidia sana. Mungu Akubariki braza. Yeye ni mwenye upendo na aliyejaa msamaha na neema. Usiache hili jambo liendelee kukutesa!nashukuru sana mkuu
Kwa nini ulimchukia mama yako?Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.
Kwa nini ulimchukia mama yako?Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla.
Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha amani ya moyo na akili yangu.
Ni hivi mama yangu mzazi alikufa huku akitambua kua mimi mwanae simpendi na kweli sijawahi kumpenda. Kinachoniuma nilishindwa kulificha hili nilimuonesha moja kwa moja so hadi anakata roho alijua fika simpendi.
Kuna muda nikikaa huwa naona nilikosea sana kumuonesha chuki yangu na hili kosa huwa nalijutia sana. Kila siku nawaza namna ya kujisawazisha ila nakosa majibu.
Naombeni ushauri au maelekezo yoyote yanaweza rejesha amani ya moyo wangu.
Natanguliza shukrani.
ubarikiwe sanaUkifanya kwa moyo wote itakusaidia sana. Mungu Akubariki braza. Yeye ni mwenye upendo na aliyejaa msamaha na neema. Usiache hili jambo liendelee kukutesa!
mpaka kufikia kujiita hivi ubongo umeshakiri kwamba niko hivo yaani mikosi hainiishiMkuu, pia hii user ID badili. Mimi nakupenda. Nakupenda. Kuwa nanimanj nakupenda. Ukibadili hili jina hata mentality itabadilika. Niamini wapo watu wanaokupenda sana na madhaifu yako. Unapendwa. Hata mama naaminj alikupenda ila tu ni madhaifu ya kidunia. Ni ubinadamu tu. Hajakamilika. Lazima kuna changamoto ulikua ukipitia anaumia hata kama hasemi. Pole sana mkuu...
Hakuna sababu yeyote inayo weza kukufanya ukamchukia mama yako labda kama uligundua anataka kukutoa uhai.mambo ya kifamilia na nikiyaweka Kwene uzi mmoja itakua easy kuunganisha dot
umekomenti kama mkamilifu mkuu hongera sanaAmeshakufa sasa unataka tukushauri nini?
Uamuzj ni wako uliamua mwenyewe huku tu shirikisha
Muda wa kubadirika unao, unaweza kujisahisha kwa kuwapenda waliobaki, kama ni Baba, wadogo zako na sisi majirani.shukrani mkuu
what if ikawa ni zaidi ya kunitoa uhai?Hakuna sababu yeyote inayo weza kukufanya ukamchukia mama yako labda kama uligundua anataka kukutoa uhai.
shukraniMuda wa kubadirika unao, unaweza kujisahisha kwa kuwapenda waliobaki, kama ni Baba, wadogo zako na sisi majirani.
Amri iliyokuu ni Upendo
sawa mkuuMama ako kukubeba tumboni miezi tisa ni upendo wa ajabu kwako.hakuna wa kufananisha nao.
Alipitia mengi mazito kwa ajili yako.
Hata akosee nini kikubwa kiasi gani.hukupaswa kumchukia hata siku moja.
Unaambiwa mzazi hakosei.
Amen Mkuu, barikiwa sana 🙏shukrani
Acha kusingizia ukamilifuumekomenti kama mkamilifu mkuu hongera sana
Sasa umetuletea uzi wa kupata ushauri gani kama hadi mtu aliyefariki ungali unamchukia?nlikua sijuhi kama kutokupenda ni kosa
sio mama tu kuna muda najiona sijaumbwa kupenda japo yeye nilimchukia na chuki still ninayo mpaka sasa