Mama yangu angeni-abort wakati bado niko tumboni mwake, angekuwa amenifanyia wema mkubwa sana

Mama yangu angeni-abort wakati bado niko tumboni mwake, angekuwa amenifanyia wema mkubwa sana

Mimi ningemchukulia Mungu serious kama ningekua myahudi. Maana sio kwa favor zile.
Kama hizi za Kumb 28?
"63 Tena itakuwa, kama vile alivyokuwa akifurahi BWANA juu yenu kwa kuwatendea mema na kuwafanya kuwa wengi, ndivyo atakavyofurahi BWANA juu yenu kwa kuwapoteza na kuwaangamiza; nanyi mtanyakuliwa katika hiyo nchi mwingiayo kuimiliki. 64BWANA atakutawanya katika mataifa yote, tokea ncha hii ya dunia hata ncha hii ya dunia; nawe huko utatumikia miungu mingine usiyoijua wewe wala baba zako, nayo ni miti na mawe. 65Wala katika mataifa hayo hutapata raha iwayo yote, wala hutakuwa na kituo cha wayo wa mguu wako; lakini BWANA atakupa huko moyo wa kutetema, na macho ya kuzimia, na roho ya kudhoofika; 66na uzima wako utakuwa na wasiwasi mbele yako; nawe utakuwa na woga usiku na mchana, wala hutaamini kamwe maisha yako; 67asubuhi utasema, Laiti ingekuwa jioni! Na jioni utasema, Laiti ingekuwa asubuhi! Kwa kicho cha moyo wako utakavyokucha, na kuona kwa macho yako utakavyoona"

Siku zote usipomtii BWANA Mungu kuna madhara, uwe Myahudi au Mtanzania!
 
Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, Ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, Ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, etc halafu mwisho wa siku dini zinakwambia Ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Kama usingekuwepo huu ujinga angeuandika nan???

Kila mmoja anafaida yake bandugu[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, Ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, Ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, etc halafu mwisho wa siku dini zinakwambia Ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Usihofu maisha haya hata yawe magumu au rahisi yatapita na kuna mazuri mbele. Sio rahisi kihivyo kuangamia jehanam isipokuwa kwa wale waovu kweli kweli waliokataa neema ya Mungu kabisa.
 
Vyovyote iwavyo hakuna kati yetu mwenye authority ya kuhoji kwanini wazazi wetu walituleta duniani maana hata sisi tumeshashiriki iwe kwa bahati mbaya au kwa kudhamiria kuwaleta wanetu duniani so hii imekuwa kama nature kwamba hili liwepo.

Hakuna kupoteza muda kulia lia inatubidi tu-face reality tusubiri yajayo sometimes hao mama zao waliowatoa wakiwa bado mimba huko waliko wanasota zaidi yetu sisi,who knows labda kiumbe kikiwa bado mimba kinapewa nacho ulazima wa ku-survive kikipoteza battle kinawajibika?tenda mema ishi na watu vizuri tunza uaminifu kwa watu dunia ni sisi sisi watu ukitoka nje ya circle ya watu dunia itakuwa chungu kwako.
 
Hakuna duka la mangi hapo KARIBU u uchukue sumu ya panya bill kwangu
 
Kumbuka hayo mawazo yako ni huyo Mungu ndiye aliyekupa uhuru na ubongo huo unaotumia kutiririka haya maoni yako, kumbuka wanyama ambao wanao uhai kama wewe kamwe hawawezi kutiririka jinsi wewe ulivyotiririka, je hujiulizi tofauti yako wewe na mnyama ni ipi??, kwanini ushindwe hata kutoa shukrani kwa Mungu kukuumba mtu unayejitanbua??.
Umedanganya mkuu uhuru wamawazo naakilizilitoka kwashetani aliyempa hawa tunda
 
Kumbuka hayo mawazo yako ni huyo Mungu ndiye aliyekupa uhuru na ubongo huo unaotumia kutiririka haya maoni yako, kumbuka wanyama ambao wanao uhai kama wewe kamwe hawawezi kutiririka jinsi wewe ulivyotiririka, je hujiulizi tofauti yako wewe na mnyama ni ipi??, kwanini ushindwe hata kutoa shukrani kwa Mungu kukuumba mtu unayejitanbua??.
Haya maelezo yako bado yanagongelea kwenye alichoongelea mtoa mada.
 
Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja Duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, e.t.c kisha mwisho wa siku dini zinakwambia ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Akili hiyo ni ma genius tu tunao weza kukubaliana nayo na kukuelewa ...mimi nikimwona mtoto mdogo anakufa huwa namwonea wivu sana.
 
Back
Top Bottom