Mama yangu angeni-abort wakati bado niko tumboni mwake, angekuwa amenifanyia wema mkubwa sana

Mama yangu angeni-abort wakati bado niko tumboni mwake, angekuwa amenifanyia wema mkubwa sana

Huna shukrani, si kwa mama yako aliyekubeba miezi tisa tumboni mwake na kukuzaa kwa uchungu mwingi, wala Muumba wako aliyekupa neema ya uhai na pumzi ya kuja kuandika ulichokiandika.

Malalamiko yako yote hayana maana. Mungu akuhurumie tu!


Malalamiko haya pia aliyatoa Nabii Ayubu.
Licha ya kuitwa mkamilifu.
Mtu kusema ukweli wa Nafsi yake ndio inatakiwa sio kunyamaza Kwa unafiki kisa unaogopa Mungu
 
Huna shukrani, si kwa mama yako aliyekubeba miezi tisa tumboni mwake na kukuzaa kwa uchungu mwingi, wala Muumba wako aliyekupa neema ya uhai na pumzi ya kuja kuandika ulichokiandika.

Malalamiko yako yote hayana maana. Mungu akuhurumie tu!
Wewe hata maandiko ujui hapo umemkosoa hata huyo mungu wako kama ni mkristo maana anasema...watesema siku hiyo itakuwa heri wanawake tasa na mimba zilizo halibika...sijui unajua nini maana yake
 
Kumbuka hayo mawazo yako ni huyo Mungu ndiye aliyekupa uhuru na ubongo huo unaotumia kutiririka haya maoni yako, kumbuka wanyama ambao wanao uhai kama wewe kamwe hawawezi kutiririka jinsi wewe ulivyotiririka, je hujiulizi tofauti yako wewe na mnyama ni ipi??, kwanini ushindwe hata kutoa shukrani kwa Mungu kukuumba mtu unayejitanbua??.
Naona unajifariji tu na mafundisho ya wahuni
 
Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja Duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, e.t.c kisha mwisho wa siku dini zinakwambia ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.

Kutokana na maisha na majaribu tunayopitia hapa Duniani, sisi binadamu uwezekano wa kwenda motoni baada ya kifo ni
Acha kumlaumu mama yako wakati uwezo wa kujiua unao.

Jiue.
 
Dunia ni sehemu ya majaribio na mitihani iwe ya kheri au shari na mitihani yote tunayopitia ina hekima kubwa zilizojificha.

Kusingekuwa na kifo thamani ya uhai isingetambulika , kusingekuwa na shida thamani ya raha na furaha isingetambulika .Hata Mama mjamzito ana beba ujauzito kwa tabu na kujifungua kwa tabu lakini matukio yote hayo yanaleta faraja kubwa baada ya kukiona na kusikia sauti ya kichanga chake kilicho hai na inafanya amthamini , kumpenda na kumchunga kwa dhati .

Kwa mfano leo mtu uambiwe tunaenda kuzama mechi ya mpira wa miguu lazima atarajie kukuta kuna wachezaji , mpira , magoli , marefa hautoona ajabu lakini sasa ukute hakuna magoli kuna mpira wa basketball 🏀 na mengine yasiyo husiana hapo utaona kuna hujuma imefanyika na sio haki . Hivyo hivyo kwa Dunia imeumbiwa na shari na shari ni sehemu na Mwenyezi Mungu kasema ametuleta hapa kama kutujaribu wapi watakaofudhu ili wapate waliyoahidiwa yake ingekuwa tupo peponi halafu mtu unakuta mambo ya hovyo kama kuugua mimi hapo mtu una haki kabisa ya kulalamika.

Sisi waislamu mafundisho yetu yanasema mtu akiwa muumini kila jambo kwake heri hata akijichoma na miba na hudhuni yake kidogo anafutiwa madhambi na kuandikiwa mema na siku ya kiama mtu atatamani kuwa angeishi maisha ya dhiki sana na maradhi makubwa hapa duniani baada ya kuona malipo kwa watu waliokuwa na subira wakati wa dhiki , majanga , maradhi yao bila kukufuru hata Manabii wamepatwa mitihani mizito sana rejea kisa cha Nabii Ayyubu (amani iwe juu yake)
 
Malalamiko haya pia aliyatoa Nabii Ayubu.
Licha ya kuitwa mkamilifu.
Mtu kusema ukweli wa Nafsi yake ndio inatakiwa sio kunyamaza Kwa unafiki kisa unaogopa Mungu
Tena mkumbushe maneno ya mungu mwenyewe kwenye biblia anasema siku hiyo itakuwa heri tasa na wasionyonyesha na mimba zilizo haribika
 
Mama yangu angenitoa na kunitupilia mbali kipindi bado niko kwenye tumbo lake la uzazi, ingekuwa ni faida kubwa sana kwangu, ningejihesabia mwenye bahati sana, sababu nisingekuwa na haja ya kuja Duniani na kupitia mateso, usaliti, hofu, Karaha za kila namna, magonjwa, e.t.c kisha mwisho wa siku dini zinakwambia ukiteleza kidogo kwenye dhambi unaenda kuchomeka motoni milele baada ya kufa.
Kwani sumu ya Panya bei gani?
 
Dunia ni sehemu ya majaribio na mitihani iwe ya kheri au shari na mitihani yote tunayopitia ina hekima kubwa zilizojificha.

Kusingekuwa na kifo thamani ya uhai isingetambulika , kusingekuwa na shida thamani ya raha na furaha isingetambulika .Hata Mama mjamzito ana beba ujauzito kwa tabu na kujifungua kwa tabu lakini matukio yote hayo yanaleta faraja kubwa baada ya kukiona na kusikia sauti ya kichanga chake kilicho hai na inafanya amthamini , kumpenda na kumchunga kwa dhati .

Kwa mfano leo mtu uambiwe tunaenda kuzama mechi ya mpira wa miguu lazima atarajie kukuta kuna wachezaji , mpira , magoli , marefa hautoona ajabu lakini sasa ukute hakuna magoli kuna mpira wa basketball [emoji459] na mengine yasiyo husiana hapo utaona kuna hujuma imefanyika na sio haki . Hivyo hivyo kwa Dunia imeumbiwa na shari na shari ni sehemu na Mwenyezi Mungu kasema ametuleta hapa kama kutujaribu wapi watakaofudhu ili wapate waliyoahidiwa yake ingekuwa tupo peponi halafu mtu unakuta mambo ya hovyo kama kuugua mimi hapo mtu una haki kabisa ya kulalamika.

Sisi waislamu mafundisho yetu yanasema mtu akiwa muumini kila jambo kwake heri hata akijichoma na miba na hudhuni yake kidogo anafutiwa madhambi na kuandikiwa mema na siku ya kiama mtu atatamani kuwa angeishi maisha ya dhiki sana na maradhi makubwa hapa duniani baada ya kuona malipo kwa watu waliokuwa na subira wakati wa dhiki , majanga , maradhi yao bila kukufuru hata Manabii wamepatwa mitihani mizito sana rejea kisa cha Nabii Ayyubu (amani iwe juu yake)
Tatizo dunia ya sasa kuna waislamu na waisiharamu sasa hayo uliyo yasema yana wahusu wapi kati ya hao?
 
Wewe hata maandiko ujui hapo umemkosoa hata huyo mungu wako kama ni mkristo maana anasema...watesema siku hiyo itakuwa heri wanawake tasa na mimba zilizo halibika...sijui unajua nini maana yake
Wewe hata ukijikaza inaonekana hauko sawa tu. Unahitaji msaada!
Huwezi kuwa timamu ukaandika ulichoandika. Ni ukosefu wa shukrani!
Kuna watu hawana miko ya kuandika ujinga kama huu, pamoja na hayo wamejaa moyo wa shukrani wakijua maisha waliyopewa ni zaidi ya mikono. Wako mahospitalini wana afya mbaya ila wana shukrani.

Halafu unakuja hapa mtu na uzima wako lawama debe na kukosa shukrani na unataka nani akuunge mkono?
Pole!
 
Mshukuru mama yako maana angetoa mimba haya usingeyaona
 
Malalamiko haya pia aliyatoa Nabii Ayubu.
Licha ya kuitwa mkamilifu.
Mtu kusema ukweli wa Nafsi yake ndio inatakiwa sio kunyamaza Kwa unafiki kisa unaogopa Mungu
Umesoma Ayubu mpaka mwisho? Soma utajua Mungu alipoanza kumuhoji kuhusu malalamiko yake aliuona upumbavu wake akatubu. Kama Ayubu ni mfano basi na huyu anapaswa kutubu!
 
Kwa wakristo na waislam haya yanayotokea duniani yanatukumbusha ahadi ya Mungu wetu kuwa duniani sio kwetu. Tujitahidi kutenda mema na kuomba ili siku ya mwisho tukaishi mbinguni kwenye raha ya milele!
 
Kuhusu dunia kua ni mbaya au nzuri, inategemea na hali yako. Kuna watu wanatamani kufa wakati wowote waondoke tu hapa duniani. Na kuna watu hawatamani hata kuzeeka, wanatamani waishi milele. Kwaio usiilalamikie dunia, jilalamikie mwenyewe, kama unahitaji ushauri tuambie tutakusaidia
Hata ukiwa na maisha ya raha namna gani hapa duniani bado hakufai tu..

Mfano unaishi kwa tahadhali mda wote kuepuka ajari,magonjwa, uharifu, kuibiwa, kufungwa,kifo. Unajua siku yoyote utakufa.. unaweza kuwa unafuraha na mali nyingi ukapita mtaani ukakuta msiba unanyong'onyea.

Chamsingi kwetu sisi tunaoamini kuna ulimwengu bora zaid ya huu ambao tukimaliza safari yetu salama duniani tutaingia huko, tuishi kwa imani, kutenda mema.
 
Back
Top Bottom