Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
- #501
🥴🥴🥴😁#Uzinzi haujawahi muacha mtu Salama#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥴🥴🥴😁#Uzinzi haujawahi muacha mtu Salama#
😂😂😂😂 Oi misala kama hii kama mtu hajaipitia hawezi kuelewa kama kuna mda majengo ya shule yanabadilikaga yanakuwa na muonekano kama wa motoni hivi.Huu uzi nilkuwa nauona mara nying naupotezea ila leo nilipouona tena na una comments za kutosha ikabid niupitie
Aisee umenikumbusha mqmbo mengi ya kiskul mengine nimeyafanya na mengine wameyafanya wana,umenifanya hadi niwakumbuke jamaa zang
Ilitakiwa demu umle mara moja na kesho yake asubuh ungemsafirisha kwa jamaa yake,ungeokoa hata laki na nusu
Niliwah mtengenezea lecture mikeka na ikafa yote niltaman nihame chuo na alikuwa kanipa pesa ndefu tu
Fanya upesi nipo siti ya mbele nasubiri kwa hamu sanaDaaaah 🥴🥴🥴 inaendlea bhna
Afu watoto wa kike hawanaga huo UJINGA wa kula ada
Nitaisoma Kaka, maana siko sawa kidogo.
Chuo Semester ya mwisho nilikula Ada yote 700K na home hawajui chochote ile nimemaliza tu chuo nikapata job Dispensary moja kitaa piga mzigo sana nikiwa naimani nitalipa wapi nikaona isiwe kesi nikamshirikisha Sister, Sister akampanga Mama, Mama nae sijui akampangaje Mume wake (Baba) kuna siku nimelala tu geto asubuhi nilikuwa siingiaa kazini Mshua akaniita akaniambia jiandae twende mjini nafika mjini Pale CRDB Kenyatta Road Mwanza Jengo la NSSF mzee akatoa 700K na kunikabidhi nikalipe Ada hadi leo hajawahi niuliza Ada ulipeleka wapi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uliza vizuri mkuu mimi ni shuhuda wa kula ada tena ya Form 6 na chuo mwaka wa 3 nilikula 650k ya semista nzima[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] siwez sahau ila kikubwa home hawajawahi kujua kabisaa mpaka namaliza na mpaka kesho hawatakuja kujua[emoji16][emoji16]
Chuo Semester ya mwisho nilikula Ada yote 700K na home hawajui chochote ile nimemaliza tu chuo nikapata job Dispensary moja kitaa piga mzigo sana nikiwa naimani nitalipa wapi nikaona isiwe kesi nikamshirikisha Sister, Sister akampanga Mama, Mama nae sijui akampangaje Mume wake (Baba) kuna siku nimelala tu geto asubuhi nilikuwa siingiaa kazini Mshua akaniita akaniambia jiandae twende mjini nafika mjini Pale CRDB Kenyatta Road Mwanza Jengo la NSSF mzee akatoa 700K na kunikabidhi nikalipe Ada hadi leo hajawahi niuliza Ada ulipeleka wapi!!
😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] ishu za kula ada aisee ni very sensitivuu sana yan nililipa ada kibabe sanaa tena baada ya kupata hiyo hela sikutaka hata kuinusa nililipa
ada moja kwa mojaa yani[emoji119][emoji119][emoji119] mana nilipanga boom la mwisho nikipokea ndo nilipe kheeee si tunapunguziwaga booom ile 2020 semista ya pili[emoji23][emoji119][emoji174] kidog nife
Thnx man
Analyse Palina Antonnia Depal Kapeace Numbisa baby zu Watu8 Dr Restart Kalpana Bantu Lady charrote Nylon Half american Amehlo Jane Lowassa Franky Samuel Leejay49 Nourhan Robot la Matope Elli Makindajr Vinci Dayot Upamecano IFRS Sinoni kyala Ulinamaka Joannah Nuzulati Da Vinci XV masai dada Kalpana Lovelovie Premij canoon LamzettttDevil Malaika wa Misukosuko
Intelligent businessman Mideko Cute Wife moneytalk Glenn Shunie Smart AJ Mnama Carleen Ngoniboysinai Pununkila HaMachiach Vishu Mtata
Kumbe mlikuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uliza vizuri mkuu mimi ni shuhuda wa kula ada tena ya Form 6 na chuo mwaka wa 3 nilikula 650k ya semista nzima[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] siwez sahau ila kikubwa home hawajawahi kujua kabisaa mpaka namaliza na mpaka kesho hawatakuja kujua[emoji16][emoji16]
Kumbe mlikuwepo
Maana mara nyingi ulikuwa ukitoka mkeka wa madeni,vidume ndo vilkuwa vinaongoza kwenye hiyo list
Aisee mbona hatuitani huku...mwala peke yenuAsante mjomba kanikosha [emoji847]