permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Yanga ilianza mashindano haya ikiwa kwenye form mbaya na ikiwa imebadili mwalimu bila sababu za msingi. Mechi ya Al Hilal nyumbani nyumbani ilipaswa tushinde. Ila kingine huyu kocha mpya wa Yanga kuna shida ya msingi hajaweza kuifanyia kazi.Ukweli Usemwe.
Kuvuka makundi kwenye Championship sio kila timu inaweza.., timu zinajipanga na hazichezi kwa mihemko... waangalie hao MC Alger walicheza kimkakati sana. Hawakutaka kufunguka sana kz walijua mpira wa Yanga, ukifunguka sana wanakuadhibu... Aina hii ya uchezaji wa Alger ndio waliokuwa wanautumia Simba., huwaoni saaana kuwa hatari lakini wanavuka.
Huyu kocha ni kama anapaswa kufukuzwa pia.Mechi ilikua Tunashindaaa,kochaa ndio tatizooo unamwacha Pacome njee Bora Angeanza na chamaa. Dube sio level za kucheza Yanga.
Bocca pengine Msiba Baba yake ingawa kunavitu Lomalisa alikuaga navyoo.
Kocha hajui mechi innataka nini,Leo ilitakiwa wachezaji wenye kujituma mwanzo mwisho, muda,zingeli,abuya dube,chama hawakustahil kabisaYanga tukubali tu tangu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace!! Yaani ni tia maji tia maji tu.
Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile. Kocha naye naye anaonekana ni mgeni wa mashindano! Kuna mapungufu mengi ya kiufundi nayo yamechangia kuindosha timu kwenye mashindano.
Huyu kocha ni kama anapaswa kufukuzwa pia.
Vipi kichaka mmehairisha kukifyeka😀, ngojea sisi tuendele kunyeshelea iwe msitu kabisa😎Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya UMISETA yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Max Nzengeli ni majeruhi. Na Abuya hakucheza. Shida ya timu ilikuwa ni kushindwa kulazimisha kuipita timu ambayo wachezaji wake wote waliamua kubaki nyuma tangu kilipoanza kipindi cha pili ili tu kuhakikisha Yanga haipati goli.Kocha hajui mechi innataka nini,Leo ilitakiwa wachezaji wenye kujituma mwanzo mwisho, muda,zingeli,abuya dube,chama hawakustahil kabisa
Furahia siku yakoHasira ya nini sasa bwa,shee
Eti kocha ndiyo mara yake ya kwanza kushiriki mashindano ya Klabu Bingwa Afrika! Bila shaka viongozi nao walicheza kamari ya hatari sana. Kwa hiyo hatuna budi kumpa muda.Huyu kocha ni kama anapaswa kufukuzwa pia.
Coach ni mzuri ila Ile timu ni ngumu mno plus pressure ya mchezoEti kocha ndiyo mara yake ya kwanza kushiriki mashindano ya Klabu Bingwa Afrika! Bila shaka viongozi nao walicheza kamari ya hatari sana. Kwa hiyo hatuna budi kumpa muda.
Wamefuzu,nipo naangalia muda huu game imerudiwa yanga wanaongoza kwa bao la mkonoPole sana kwa wanangu Vincenzo Jr ephen_ Evelyn Salt Bantu Lady ngara23 Shadeeya , Labani og , japo nipo kimya ila katika watu wananikera simba ikizingua ni hawa asee , poleni sna wanangu ndivyo mpira ulivyo✍️
Labda mechi imemkataa,hata Mzize leo game ilimkataaYanga tukubali tu tangu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace!! Yaani ni tia maji tia maji tu.
Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile. Kocha naye naye anaonekana ni mgeni wa mashindano! Kuna mapungufu mengi ya kiufundi nayo yamechangia kuindosha timu kwenye mashindano.
Vipi kichaka mmehairisha kukifyeka
Hesabu za chekechea zimewashindaWanehesabia hata vidole aisee
Mimi naona pia wanavyokimbiza kuongeza la pili.Wamefuzu,nipo naangalia muda huu game imerudiwa yanga wanaongoza kwa bao la mkono