Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Ukweli Usemwe.
Kuvuka makundi kwenye Championship sio kila timu inaweza.., timu zinajipanga na hazichezi kwa mihemko... waangalie hao MC Alger walicheza kimkakati sana. Hawakutaka kufunguka sana kz walijua mpira wa Yanga, ukifunguka sana wanakuadhibu... Aina hii ya uchezaji wa Alger ndio waliokuwa wanautumia Simba., huwaoni saaana kuwa hatari lakini wanavuka.
Yanga ilianza mashindano haya ikiwa kwenye form mbaya na ikiwa imebadili mwalimu bila sababu za msingi. Mechi ya Al Hilal nyumbani nyumbani ilipaswa tushinde. Ila kingine huyu kocha mpya wa Yanga kuna shida ya msingi hajaweza kuifanyia kazi.
 
Yanga tukubali tu tangu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace!! Yaani ni tia maji tia maji tu.

Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile. Kocha naye naye anaonekana ni mgeni wa mashindano! Kuna mapungufu mengi ya kiufundi nayo yamechangia kuindosha timu kwenye mashindano.
Kocha hajui mechi innataka nini,Leo ilitakiwa wachezaji wenye kujituma mwanzo mwisho, muda,zingeli,abuya dube,chama hawakustahil kabisa
 
Timu ikishaamua kupack basi,huwez kuifunga kwa kros kirahisi.
Pale kocha pia kachelewa kuielewa hii game na ni kama hawajui vizur wachezaji wake
Yule mzize akili ndogo nguvu nying,ndio maana akibakiwaga hata na defender mmoja miguu inatetemeka hata sehemu isiyo ya kupiga atataka kupiga na hivyo mpira kuishia kwa adui.
Kwa game ya leo mzize angeanza ila dube angetoka tu maana amekua na mfululizo wa makosa mengi,then unamweka mzize na chama pale juu,yaan mmoja anafos sana na mwingi akili nying.
Maana aliingia na unaona anapiga pasi zinafika,kafinya na kupiga ila ikapita cm chache sana kutoka golin.Alitakiwa aanze pale tena mbele sio vile amepewa majukumu ya huku chini kabisa.Pale angemilik mpira hata mara mbili Yanga wangepata penati....
Enewei kesho mje mjifunze
 
IMG_20250118_210323_468.jpg
zawadi kutoka kwa min -me
 
Kocha hajui mechi innataka nini,Leo ilitakiwa wachezaji wenye kujituma mwanzo mwisho, muda,zingeli,abuya dube,chama hawakustahil kabisa
Max Nzengeli ni majeruhi. Na Abuya hakucheza. Shida ya timu ilikuwa ni kushindwa kulazimisha kuipita timu ambayo wachezaji wake wote waliamua kubaki nyuma tangu kilipoanza kipindi cha pili ili tu kuhakikisha Yanga haipati goli.

Kwa hiyo kocha na wachezaji wake, walitakiwa kuumaliza mchezo kipindi cha kwanza. Utulivu ulikosekana, na pia kikosi kilichoanza nacho kilishindwa kumaliza mchezo ndani ya dakika 45 za kwanza.
 
Eti kocha ndiyo mara yake ya kwanza kushiriki mashindano ya Klabu Bingwa Afrika! Bila shaka viongozi nao walicheza kamari ya hatari sana. Kwa hiyo hatuna budi kumpa muda.
Coach ni mzuri ila Ile timu ni ngumu mno plus pressure ya mchezo
Mambo sio rahisi hivo, tuwe wanamichezo makocha wakubwa wanapoteza sembese Ramovic
Football huwezi kushinda mapema

Kuhusu mbinu ya kuanza na msonda
Coach akitaka apanue uwanja, maana aliamini MC Alger wataziba katikati, bahati mbaya Musonda hakuwa Bora hata Kwa 10%
 
Yanga tukubali tu tangu aondoke Mayele, hatujawahi tena kumiliki mshambuliaji wa kutumainiwa na timu. Dube anaruka ruka tu uwanjani na kuanguka hovyo! Hana nguvu, hana pace!! Yaani ni tia maji tia maji tu.

Musondo naye sijui ana shida gani! Maana hata hajitumi kivile. Kocha naye naye anaonekana ni mgeni wa mashindano! Kuna mapungufu mengi ya kiufundi nayo yamechangia kuindosha timu kwenye mashindano.
Labda mechi imemkataa,hata Mzize leo game ilimkataa
 
Kwahiyo yanga mmegoma kufyeka kichaka ili turaruliwe na wanyama wakali au mnataka kichaka kijae nyani iwe zoo
 
Back
Top Bottom