Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Mambo 10 niliyoyaona kwenye Mechi ya Yanga Vs MC Alger

Tayari yanga wamefuzu naona wanakimbia uwanja mzima huku wamembeba side,duh kumbe naota ndoto nyingine bwana
 
Kwa Tathimini Yangu haya ndio mambo 10
1.Algers walikuja na mpango wa kuzuia kipindi cha kwanza.
Walipaki basi na Yanga wakashindwa kupress backline ya Algers.

2.Yanga hawakucheza kama team,
Kila mchezaji alitaka kuwa man of the match kitu ambacho kiliwaghalimu Yanga,Makosa ya Mzize kupiga mipira Hovyo yameikosesha Yanga nafasi muhimu.Nafikiri mzize aliagiza mzigo mpya dukani kwake.

3.Mashabiki wa Yanga hawakuitendea Haki mechi.
Mashabiki walipaswa kuujaza uwanja wa mpaka badala yake walioingia pia hawakua wkishangilia.

4.Musonda sio mchezaji wa mechi kubwa,

Musonda amefeli mapema sana leo ,sijui kwanini Kocha alimuacha akamaliza kipindi cha kwanza,Game ilimtaka Pacome zaidi.

5.Boka ni Beki wa kawaida sanaa,Lomalisa amekumbukwa leo.

Kross zake zote ziligonga mogongo ya mabeki na kutoka nje,wazili wa maji Lomalisa alikua bora zaidi

6.MC Alger na mbinu ya kupoteza muda.

Mwarabu huyu ni mwarabu upupu,amejiangusha sana,Amepoteza Muda ,zilipaswa kuongezwa zaidi ya dk 7

7.Kocha wa Yanga kutofanya Sabu.
Aucho alichoka mapema,
Duke abuya mechi ilimpasa kuingia kipindi cha pili. Kibabage alipaswa kuingia kumwaga maji zaidi ya boka.Dube mechi ilimkataa mapema chama angeiweza hii mechi.

8.Ally Kamwe ulefeli kwenye Hamasa.
Kitendo cha kushindwa kuujaza uwanja ni udhaifu wa Kamwe Ally.
Ilifika muda mpaka Manara akawa anamsaidia kupiga promo kwenye media ila hakufananya hivyo zaidi ya kujisifia yeye.Mashabiki wamezoea kwenda bureee.

9.Yanga inahitaji namba 9 aina ya Baleke,
Mipira mingi ilianguka ndani ya box la MC alger hakuwepo mmaliziaji,Nimemmkumbuka Baleke,Angewasaidia sana game ya leo.

10.Karibuni Kesho mjifunze kumfunga mwarabu nyumbani.
11. Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Kwahiyo mzee Mwaka ule ulikua unacheza cha ndimu
 
Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Hiyo ligi ya mabingwa umewahi kuwaona Simba wanaishia makundi?
 
Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
SIMBA haijawahi kushiriki hayo mashindano?????
 
Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
Essay ndefu, simba huko CAFCL hatujawahi kuishia makundi kama nyinyi
 
Kwa Tathimini Yangu haya ndio mambo 10
1.Algers walikuja na mpango wa kuzuia kipindi cha kwanza.
Walipaki basi na Yanga wakashindwa kupress backline ya Algers.

2.Yanga hawakucheza kama team,
Kila mchezaji alitaka kuwa man of the match kitu ambacho kiliwaghalimu Yanga,Makosa ya Mzize kupiga mipira Hovyo yameikosesha Yanga nafasi muhimu.Nafikiri mzize aliagiza mzigo mpya dukani kwake.

3.Mashabiki wa Yanga hawakuitendea Haki mechi.
Mashabiki walipaswa kuujaza uwanja wa mpaka badala yake walioingia pia hawakua wkishangilia.

4.Musonda sio mchezaji wa mechi kubwa,

Musonda amefeli mapema sana leo ,sijui kwanini Kocha alimuacha akamaliza kipindi cha kwanza,Game ilimtaka Pacome zaidi.

5.Boka ni Beki wa kawaida sanaa,Lomalisa amekumbukwa leo.

Kross zake zote ziligonga mogongo ya mabeki na kutoka nje,wazili wa maji Lomalisa alikua bora zaidi

6.MC Alger na mbinu ya kupoteza muda.

Mwarabu huyu ni mwarabu upupu,amejiangusha sana,Amepoteza Muda ,zilipaswa kuongezwa zaidi ya dk 7

7.Kocha wa Yanga kutofanya Sabu.
Aucho alichoka mapema,
Duke abuya mechi ilimpasa kuingia kipindi cha pili. Kibabage alipaswa kuingia kumwaga maji zaidi ya boka.Dube mechi ilimkataa mapema chama angeiweza hii mechi.

8.Ally Kamwe ulefeli kwenye Hamasa.
Kitendo cha kushindwa kuujaza uwanja ni udhaifu wa Kamwe Ally.
Ilifika muda mpaka Manara akawa anamsaidia kupiga promo kwenye media ila hakufananya hivyo zaidi ya kujisifia yeye.Mashabiki wamezoea kwenda bureee.

9.Yanga inahitaji namba 9 aina ya Baleke,
Mipira mingi ilianguka ndani ya box la MC alger hakuwepo mmaliziaji,Nimemmkumbuka Baleke,Angewasaidia sana game ya leo.

10.Karibuni Kesho mjifunze kumfunga mwarabu nyumbani.
Hiyo namba 10 ndio pointi haswa!
 
Un

Unadhani ayo ni mashindano ya chandimu,,kwakuwa yanga kashindwa kusonga mtaongea mengi but iyo ni ligi ya mabingwa sio chandimu cup mliyopo nyie,,ubora wa vilabu vilivyopo uko ni tofauti na kwenu ivyo usitambe ukimaliza maneno!
chomoa huo mwiko kwanza, viteam vya bodaboda vinaishiaga makundi
 
Back
Top Bottom