econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.
1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.
2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.
3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.
4. Mikopo anayochukua Rais Samiah ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.
5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.
6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.
7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa sana mpaka tukaitwa high indebtet country.
8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.
9. Rais amekiri tozo ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.
10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea sana.
11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko zina tozo nyingi.
12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.
13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya Watanzania.
14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.
15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.
16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.
Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.
1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.
2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.
3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.
4. Mikopo anayochukua Rais Samiah ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.
5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.
6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.
7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa sana mpaka tukaitwa high indebtet country.
8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.
9. Rais amekiri tozo ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.
10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea sana.
11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko zina tozo nyingi.
12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.
13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya Watanzania.
14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.
15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.
16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.
Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.