Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

Nyakat za mwendambingun watu wawil au watatu wanajichimbia ikulu na kuamua kukopa mihela kimya kimya halafu mzee akitoka barabarani anawaaminisha watu nchi ina mihela mingi na hawakopi.

Ameondoka kaliacha linchi halina kitu na mamirad kibao+miden mikubwa mikubwa...tena nadhan hyo vp ndiye anapaswa tumning'inize coz ndiy alikuwa anashirikiana na mzee kutupiga mchanga machoni. Kibaya sana mama naye akakubal kirahis tu huyo m-kigoma awe vice wake.

Leo wale walioshirikiana na mwendazake ndiy wanataka kumsulubu mama,ashindwe kutekeleza mamirad yale and then watujie na porojo za "Mama amefeli'....hapana,na tuseme hapana wamwache mama afanye kaz..over!
 
23.Raisi anataka kuamini kuwa ana uwezo mkubwa wa kimawazo bila kumsikiziliza au kushauriana na mwenza wake kuendesha nchi.
 
Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.

1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.

2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.

3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.

4. Mikopo anayochukua Rais Samiah Ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.

5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.

6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.

7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa Sana mpaka tukaitwa high indebtet country.

8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.

9. Rais amekiri tozo Ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.

10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea Sana.

11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko Zina tozo nyingi.

12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.

13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya watanzania.

14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.

15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.

16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.

Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.
Hapo hakuna ulichojifunza bali unareport ambacho sote tulikisikia jana
 
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Hii nchi inapaswa iongwezwe kibabe kibabe kama Hayati JPM.....kinyume cha hapo wataisumbua sana awamu ya 6.
awamu ya 5 watu wote walikuwa na heshima lkn sasa kila mtu kaota masharubu.
🤣🤣
 
wapo wanaomuunga mkono,,na wanao munga mkono ni wale wanaofaidika na hizo mkopo,, bnafs nipo na ndugai.
Wanufaika wa hiyo mikopo hata watoto wa ndugu zako vijijini huko ni wanufaika kwan madarasa na vituo vya afya na shule zinazo jengwa zinamnufaisha nani? Kuwa na akili
 
Baada ya kufuata uapinzani bungeni kwa hila sasa upinzani upo ndani ya CCM yenyewe ambayo ni hatari zaidi kwakuwa hiyo ni sawa na vita ya wenyewe kwa wenyewe. Mbowe wanamuonea siyo gaidi ugaidi upo ndani ya ccm yenyewe

Spika na PM ni waoga sana kuwajibika. Wangwkuwa ni watu makini baada ya hotuba ile wanfejiuzulunili kumpisha rais kuunda seikali yake upya kwasababu ameshawatuhumu kumhujumu kwaajili ya 2022
Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.

1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.

2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.

3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.

4. Mikopo anayochukua Rais Samiah Ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.

5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.

6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.

7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa Sana mpaka tukaitwa high indebtet country.

8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.

9. Rais amekiri tozo Ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.

10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea Sana.

11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko Zina tozo nyingi.

12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.

13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya watanzania.

14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.

15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.

16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.

Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.
 
serikali ya jpm ilikuwa ngumu mtu kuweza kukosoa kwa hofu.

serikali ya ssh unajihisi upo huru kutoa maoni au kukosoa, ila ujiandae kuchambwa
Kwanini waanze kukosoa kwa samia wakati serikali zote ziliyafanya haya haya? Tena mengine ya ajabu kabisa kuwahi kutokea mbona walikuwa kimya na wasifiaji?

Hilo wala halina ubishi kwamba kosoa yao nia kuchonganisha na ina mambo mengi sana nyuma yake na si vinginevyo hivyo ni lazima kukemewa
 
Back
Top Bottom