Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

nimejifunza kuwa MNAFIKI AKIOMBA MSAMAHA KINAFIKI USIMSAMEHE usiku atakuchoma moto
Mama Rais wangu fekyelea mbali hawa wasaliti mikono yao imejaa dhambi za Mwendazake, chunga sana Sukuma Gang
km kawaida yako Mama ukipitia humu JF usikubali mwaliko wa sherehe za Bunge trh 29 kukupongeza kwa mkopo wa vyoo na Madarasa, kataa kabisa waache wakaumane wenyewe Wabunge
 
Kwa mara ya kwanza katika Tanzania

1. Rais Mwanamke

2. Rais kugombana Na Spika Wake

3. Rais Kuombwa Msamaha na Kukataa

4. Rais Kuwaza Sana Uchaguzi
 
Wakati hayo yanafanyika huyo mama yako muimba taarabu alikuwa wapi katika serikali hii?
Mfike mahali mjifunze kuipenda nchi yenu na sio watu wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kafanya lipi la ajab ambalo kwa mwendazake halkuwepo?
Huyo Ndungai hajakuwepo nyakat hzo au huo uspika kaupata jana???
 
NILICHOJIFUNZA;
Mbali ya kumshambulia Ndugai amewaambia wananchi kwamba tozo sitapunguza hata mkilalamika na hamna cha kunifanya.
Na kwamba gharama za umeme lazima zipande na hakuna wa kunifanya chochote. Na kwa kauli hii nimejua kwanini Kalemani alifurumushwa, ni baada ya kusisitiza gharama za umeme kuwa 27,000 Tshs kote bila kujali mjini ama vijijini ...
 
Imagine having "square pegs in round holes".

Nguzo Zina pembe nne harafu mashimo ni ya duara!

Hivo ndivyo walivyo Wana ccm,harafu Wana ccm ni wepesi sana Wana "ngozi raini na nyembamba mno".

Yaani maoni tu,Raisi wa nchi anapaniki balaa,sasa hebu fikiria tungekuwa na demokrasia kama ya Kenya,Makamu wa Raisi anakupinga wazi wazi,anakupa makavu,wqbunge wa chama chako wanakutusi hadharani!!huyu mama angekufa kwa kihoro
Siasa zetu na za Kenya ni tofauti......
katiba yetu inatufanya tumuone raisi ni mungu mtu tumuogope Kenya raisi anaweza kupingwa kwa namna yyte ile mfano issue ya kesi ya BBI
 
Nyakat za mwendambingun watu wawil au watatu wanajichimbia ikulu na kuamua kukopa mihela kimya kimya halafu mzee akitoka barabarani anawaaminisha watu nchi ina mihela mingi na hawakopi.

Ameondoka kaliacha linchi halina kitu na mamirad kibao+miden mikubwa mikubwa...tena nadhan hyo vp ndiye anapaswa tumning'inize coz ndiy alikuwa anashirikiana na mzee kutupiga mchanga machoni. Kibaya sana mama naye akakubal kirahis tu huyo m-kigoma awe vice wake.

Leo wale walioshirikiana na mwendazake ndiy wanataka kumsulubu mama,ashindwe kutekeleza mamirad yale and then watujie na porojo za "Mama amefeli'....hapana,na tuseme hapana wamwache mama afanye kaz..over!
Umeandika ushuzi
 
Mimi sipingi Nchi kukopa ila ninachojiuliza ni kwamba hivi huwa tunalipa hili deni la Taifa? Ninaona kila kipindi cha Rais deni linaendelea ku skyrocket ila sijawahi kuona au kusikia trend ya ulipaji.

Kama kasi yetu ya ulipaji ni nzuri hata kama tunaendelea kukopa nilitegemea muda fulani deni lingebaki constant.

Katika kipindi cha Mkapa niliona kulikuwa na effort za kusettle deni. Sasa trend ikiendelea hivi itakuwaje huko baadae!!??
 
raisi mzuri sana
westbrookwtf.png
 
19. Rais anaona waziri mkuu ni mzigo, hivyo hawezi kufanya kazi nae, anatamani hata kesho aondolewe
 
Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.

1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.

2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.

3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.

4. Mikopo anayochukua Rais Samiah ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.

5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.

6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.

7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa sana mpaka tukaitwa high indebtet country.

8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.

9. Rais amekiri tozo ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.

10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea sana.

11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko zina tozo nyingi.

12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.

13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya Watanzania.

14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.

15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.

16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.

Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.
Kiujumla nnamchora kama kiongozi, ambae yupo daraja la Kati, kwa ujumla ametumia bunduki kuuwa ndege, kwa nn, kwa sabab 1 tu kiongozi Bora kabisa huwa Hana maamzi ya hisia, hasa kwa nafasi ya urasi, huwa anapima, anachambua, anashauliwa na anachanganya na zake,

Kwa ujumla alikuwa kwenye high temple ambayo Kama raia no 1 alipaswa kujicontrol, hii nchi Ni ngum Sana yapo mambo unahitaji kuwa mvumilivu, Sasa hebu fikiria Nan anahesabu 2025,?? [emoji15][emoji117] Ukitima btn the lines unaona si yeyote Bali Ni yy, kwa hyo anaona wote wanaopinga wanawalakin ndan yake... Ndo hapo Sasa ule wimbo wa professor j unapoapply, aliuza Chen ya bandia nae katoa hela ya bandia[emoji15][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom