Mambo 16 niliyojifunza kwenye hotuba ya Rais Samia - Januari 4, 2022

serikali ya jpm ilikuwa ngumu mtu kuweza kukosoa kwa hofu.

serikali ya ssh unajihisi upo huru kutoa maoni au kukosoa, ila ujiandae kuchambwa
Hayo yote yanajibiwa na mtu anaitwa Tundu Lissu, aliweza kukosoa bila hofu wakati wa JPM na wala kuchambwa hakumbabaishi, tena amesema mpango wa kurudi nchini upo. Patamu hapo.
 
Ndio mkuu huu huu...we uon ulivojaa mambo!!
Duh hata sijui kesho yetu inakuwaje,: Hii ndiyo kuniambia unataka kununua kitu cha Tsh 1000/- unasema umepungukiwa unaomba uongezwe Tsh 900/-
 
W
Umejaa husda tuu Mkuu, fitna fitna hivi na mambo yafananiayo na hayo. Hivi kweli ni busara kumnanga Rais kwenye public wakati nafasi ya kwenda kumuona private kama jambo haujalifurahia unao? Sasa acha awaadabishe.
Wewe ni tongotongo
 
Ccm sii wamoja tena, na katiba mpya ndio dawa ya tuyaonayo, uhuru wa maoni chino ya ccm umwharamishwa mbali na kuwa unatambuliwa na katiba,katiba na sheria zinaweza subirishwa na wanaccm kwa katiba ya Sasa na hakuna kuwajibishwa kunakowezekana kwani wanayokinga yakutoshitakiwa.
 
NILICHOJIFUNZA;
Mbali ya kumshambulia Ndugai amewaambia wananchi kwamba tozo sitapunguza hata mkilalamika na hamna cha kunifanya.
Eti afanye nini baada ya kurithi miradi ya marehemu? Aache pengo kati ya Tabora na Dodoma kwenye njia ya reli? Aendelee kukopa kwa siri kwenye benki za kibiashara kama marehemu na kuwaambia wananchi "ni pesa yetu"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…