Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Mambo ambayo biblia, Yesu, quran, Allah na Mohamed walidaganya wafuasi wao

Tunaomba andiko ambalo Yesu alisema hayo maneno

Aya hizi zinahusiana na tabiri za Yesu kuhusu siku za mwisho wa dunia, zinapatikana katika

Matthew 24:34; Mark 13:30; and Luke 21:32. Jesus said, “Truly I say to you, this generation will not pass away until all these things take place.” The things that Jesus had been speaking of—the rise of the Antichrist, the desolation of the Holy Place, and the darkening of the sun—did not happen during the lifespan of people alive in Jesus’ day.

Obviously, Jesus lied.
 
Kuna mambo katika dunia hii dini na manabii zao waliamua kudanganya watu. Ifuatayo ni ni orodha ya mambo ambayo waliamua kudanganya.
  • Dunia ina ardhi 7 na mbingu 7 (Allah + muhamad)
  • Quran ipo moja tuu 😂😂😂😂(Hii wafuasi waliamua kudanganya ulimwengu, quran zipo nyingi tofauti)
  • Mtume kusafiri mpaka jerusalemi kwa usiku mmoja na kusali katika temple ya sulemani 😂😂😂😂 wakati kipindi hiko hiyo temple haikuwepo
Orodha itaendelea, ongezea na zako
NI MKRISTO KWA IMANI,,
MISAAFU SIO YA KUCHUKUA NA KUSOMA MSTARI MMOJA NA KUANZA UCHAMBUZI.

MFANO:
Matayo 16:23
Lakini Yesu akageuka akamwambia Petro , “Toka mbele yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo hayo si ya Mungu bali ya binadamu

SASA WENYE UHABA WA AKILI,
Tasfiri yao, Yesu ndio aliye anzisha kutukana katusi!!

Makusanyo ya sadakha kwenye mahubiri yao, ni kiasi cha 19,100 hivi!
 
Aya hizi zinahusiana na tabiri za Yesu kuhusu siku za mwisho wa dunia, zinapatikana katika

Matthew 24:34; Mark 13:30; and Luke 21:32. Jesus said, “Truly I say to you, this generation will not pass away until all these things take place.” The things that Jesus had been speaking of—the rise of the Antichrist, the desolation of the Holy Place, and the darkening of the sun—did not happen during the lifespan of people alive in Jesus’ day.

Obviously, Jesus lied.
Hapana Yesu hakudanganya,kwanza inabidi utambue haya mazungumzo alikuwa anayafanya na nani,haya mazungumzo alikuwa anawaeleza mitume wake wa4 waliomfwata kuhusu kujua hali ya hekalu lao la Ibada maana muda si mrefu aliwaambia kuwa hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine,katika majibu yake Yesu anatoa ishara inayoonyesha wakati ambao mfumo uliopo wa kiyahudi kutia ndani hekalu utakoma lakini pia anazungumzia ishara za wakati ujao zitakazowasaidia wakristo kutambua uwepo wa Yesu na karibu na mwisho wa mfumo mzima wa mambo duniani,,kwaiyo alikuwa anazungumzia swala la Israeli kuvamiwa na Roma lakini pia dalili za umalizio wa mfumo mzima wa Dunia utakaowasaidia wakristo kujua kuwa wapi siku za mwisho.
 
Vitabu vyote Kuna watu wa kawaida wanaosema uongo.

Ila Yesu Kristo pekee hajawahi kusema Uwongo.
Na alisema hadharani mbele za watu kuwa;

"Ni nani anishuhudiaye kati yenu kuwa mimi ni mwenye dhambi"

"Mimi ndio Njia, Kweli na Uzima"

Na hukujawahi tokea mtu yeyote hadi hii leo aliyempinga.
Mwaminini huyo.
Na hakuna aliyedhubutu na atakayedhubutu kupinga.
 
Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba atarudi kabla kizazi kile hakijakufa. Yani itakuwa mwisho wa dunia.

Watu wakaona hakuna haja ya kufanya kazi, kulima, kujenga, dunia inaisha katika miaka michache ijayo.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2000 bado hajarudi.

Yesu alikuwa muongo kweli.
Kwa Mungu siku 1 nikama siku elf moja, na siku elf 1 nikama siku moja! Kwahiyo kaa kwakutulia fanya yalio mema na kumtukuza Mungu .
 
Hapana Yesu hakudanganya,kwanza inabidi utambue haya mazungumzo alikuwa anayafanya na nani,haya mazungumzo alikuwa anawaeleza mitume wake wa4 waliomfwata kuhusu kujua hali ya hekalu lao la Ibada maana muda si mrefu aliwaambia kuwa hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine,katika majibu yake Yesu anatoa ishara inayoonyesha wakati ambao mfumo uliopo wa kiyahudi kutia ndani hekalu utakoma lakini pia anazungumzia ishara za wakati ujao zitakazowasaidia wakristo kutambua uwepo wa Yesu na karibu na mwisho wa mfumo mzima wa mambo duniani,,kwaiyo alikuwa anazungumzia swala la Israeli kuvamiwa na Roma lakini pia dalili za umalizio wa mfumo mzima wa Dunia utakaowasaidia wakristo kujua kuwa wapi siku za mwisho.
Alisema kwamba kizazi kile hakitakufa chote na mwisho wa dunia utafika.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2,000 imepita, mwisho wa dunia haujafika na wala Yesu hajarudi.
 
Vilaza huwa hawajui kuwa Sayansi huwa inaiga uumbaji wa Mungu.

Wanasayansi huwa ni matapeli tu.

Mungu alishafanya kila kitu.
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Hujaweza kuondoa contradictions zilizopo jatika dhana ya uwepo wa Mungu.

Unaongelea habari ya imani zaidi ya fact hapa.

Kabla ya ku dismiss watu kuwa ni vilaza.

1. Thibitisha Mungu yupo.

2. Ondoa contradictions zilizopo kwenye dhana ya kuwepo Mungu.
 
Alisema kwamba kizazi kile hakitakufa chote na mwisho wa dunia utafika.

Mpaka leo zaidi ya miaka 2,000 imepita, mwisho wa dunia haujafika na wala Yesu hajarudi.
Hapa Kuna kitu hujakielwa,hao mitume walimuuliza kuhusu kuangushwa kwa hekalu baada ya Yesu kusema hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine,hapo Yesu alikuwa anazungumzia kuhusu uvamizi ambao serikali ya Roma ingefanya kwenye taifa la Israeli,lakini baada ya kuzungumZia Israeli kuvamiwa na Roma akawa anazungumzia juu ya umalizio wa mfumo wote duniani yani siku za mwisho kwa Dunia nzima, na ni kweli mwaka wa 70W.K Israeli ilivamiwa na Roma na hekalu likavunjwa,ambapo hao mitume wanne wote walikuwepo na walishuhudia uharibu huo
 
Aya hizi zinahusiana na tabiri za Yesu kuhusu siku za mwisho wa dunia, zinapatikana katika

Matthew 24:34; Mark 13:30; and Luke 21:32. Jesus said, “Truly I say to you, this generation will not pass away until all these things take place.” The things that Jesus had been speaking of—the rise of the Antichrist, the desolation of the Holy Place, and the darkening of the sun—did not happen during the lifespan of people alive in Jesus’ day.

Obviously, Jesus lied.
Sasa mbona havihusiani na hicho kilichomaanishwa? Kizazi hiki hakitapita , hata hayo yote yatakapotimia !
 
Hapa Kuna kitu hujakielwa,hao mitume walimuuliza kuhusu kuangushwa kwa hekalu baada ya Yesu kusema hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine,hapo Yesu alikuwa anazungumzia kuhusu uvamizi ambao serikali ya Roma ingefanya kwenye taifa la Israeli,lakini baada ya kuzungumZia Israeli kuvamiwa na Roma akawa anazungumzia juu ya umalizio wa mfumo wote duniani yani siku za mwisho kwa Dunia nzima, na ni kweli mwaka wa 70W.K Israeli ilivamiwa na Roma na hekalu likavunjwa,ambapo hao mitume wanne wote walikuwepo na walishuhudia uharibu huo

New Testament Prophecies

In applying the Bible’s test for identifying false prophets, the conclusion is inescapable that Jesus was one of them. For example, he was wrong in predicting the world would end within the lifetime of his followers.

At Matthew 16:28, Jesus tells his disciples: “There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.” The people who were standing there all died eventually, and they never saw Jesus return to establish a kingdom.
 
Sasa mbona havihusiani na hicho kilichomaanishwa? Kizazi hiki hakitapita , hata hayo yote yatakapotimia !


New Testament Prophecies

In applying the Bible’s test for identifying false prophets, the conclusion is inescapable that Jesus was one of them. For example, he was wrong in predicting the world would end within the lifetime of his followers.

At Matthew 16:28, Jesus tells his disciples: “There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.” The people who were standing there all died eventually, and they never saw Jesus return to establish a kingdom.
 
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Hujaweza kuondoa contradictions zilizopo jatika dhana ya uwepo wa Mungu.

Unaongelea habari ya imani zaidi ya fact hapa.

Kabla ya ku dismiss watu kuwa ni vilaza.

1. Thibitisha Mungu yupo.

2. Ondoa contradictions zilizopo kwenye dhana ya kuwepo Mungu.
Sayansi haijawahi leta mambo tofauti na ambayo tayari yalishawahi kuwepo.

Kwenye bible tunasoma wavuvii.

Meli zilishawahi kuwepo.

Commercial airlines kimaumbo hazitofautiani na ndege wa kawaida.

Nguvu za kinyuklia pia zipo kwenye bible.

Sayansi ni imitation of God's creation.

Kuna siku niliwahi fanya research.

Nilichukua specie ya ndege , nikachora ili kuja na aina ya commercial airline, nilivyoweka ile design nikaona kuna majaribio yapo pending kudesign ndege kama hiyo.

Nika conclude kuwa sayansi huwa wanakopi uumbaji ambao tayari upo.
 
Back
Top Bottom